Hili jambo ndilo ambalo lilinishtua Baada ya Kifo cha Magufuli

Mafisadi gani hao waliosbehelekea?
 
Kipindi cha kwanza alipata 59% kipindi cha pili 80% kwa hiyo nini point yako hapo? Au ulitaka aongeze mshahara 23% halafu wake wakute 2.3%?
Ukisikia kuwa Tanzania inadharauliwa Afrika Mashariki kwa kuwa na wajinga wengi, basi wewe ni mmoja wa wajinga wenyewe.

Yaani umaamini kabisa mwaka 2020 kulikuwa na UCHAGUZI Tanzania? Watu walikwenda vituoni kuweka alama ya wino kwenye vidole.

Nani alimpigia kura Magufuli kwa wingi? Wacha uwongo wa mchana. Magufuli alimshinda Lowssa mwaka 2015 kwa wizi wa kura za kupitia kituo cha Masaki. Muulize Medestus Kapilimba, Kinana na Januari, wanajuwa walichofanya.

Mwaka 2020 aliamua kuziiba kura zote mwenyewe Magufuli kwa kutiki makaratasi kutokea Jamana Printers na Kambi ya Mbweni Kisha ma DSO na DED wakagawiwa makatasi yaliyopigwa. Zile kura tulizopiga wananchi hazikuhesabiwa kabisa.

Dhana ya kwamba Magufuli alikuwa anapendwa ni UWONGO, kadanganye wanao au wajinga wenzio
 
Nawe ni miongoni mwa mateka wa propaganda! Aliwatesaje manesi na walimu?
Kumbuka alikuwa Rais wa watanzania milioni 60, na siyo Rais wa wafanyakazi laki 6. Kwa hiyo uamuzi wowote wa busara lazima priority iwe kwa watu milioni 60 na siyo laki 6.
Kwa hiyo kwako wewe unaona ni bora kuongeza mshahara kwa kiasi cha 20,000 kwa watu laki 6 alafu ukaruhusu mahitaji muhimu yanayo wahusu watu mil 60 kupanda bei kwa zaidi ya asilimia 40!
 
Huu ndo ukweli, kwa sasa nchi haieleweki. Serikali inaanzisha tozo halafu wanakaa Vikas kujadili tozo na wanalipana posho nono.
 
Labda 2015 ninaweza kukubali lakini 2020 ninakataa kabisa maana upinzani ukikosa ushawahi kabisa na Magufuli alikonga yo yo za watu wengi haswa alivyodili na Covid-19 mitaani raia wengi walimuona bonge la shujaa wao.
 
Magufuli is no more
Kuendelea kumjadili nikumkosea heshima muache Apumzike
Kwanza he did nothing in our country that all
Kusema Magufuli hana mema yake wala hakufanya lolote zuri hilo ni kinyume na uadilifu kwani ana mema na mabaya yake hukuona alivyoweza kutokomeza uuhalifu Dar,Kibiti ,Umeme kutokatika hovyo nk mpaka upinzani umewahi kumsifia kwa mema ?

Chuki zisikunye ukose kuwa muadilifu kwa mtu.
 
Chadema kimekuwa chama cha mchongo.

Wananchi wanaumizwa na hili zimwi ccm wao wako kimya wakisubiri uchaguzi.
Viongozi wamekumbatiwa na Hangaya na wengine bado wako ukimbizini bila sababu za msingi...hovyo kabisa.
Mmezuia mkutano ya hadhara makusudi sasa tukae hvhv platform za ukosoaji mnazifunga mlitaka chadema wafanyaje?
 
Labda 2015 ninaweza kukubali lakini 2020 ninakataa kabisa maana upinzani ukikosa ushawahi kabisa na Magufuli alikonga yo yo za watu wengi haswa alivyodili na Covid-19 mitaani raia wengi walimuona bonge la shujaa wao.
Nilipouliza watu walisema hawajampa kura ila kura ni siri huenda walikuwa waongo. Mm sikumpa kura mara zote mbili japo ilijulikana hawezi acha kutangazwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…