Hili jambo ndilo ambalo lilinishtua Baada ya Kifo cha Magufuli

Hili jambo ndilo ambalo lilinishtua Baada ya Kifo cha Magufuli

Mimi kweli namchukia Mwendazake, Ila sikuzuii wewe kumpenda. Tubakie tu kila mtu ashinde mechi zake. Kwangu Mwendazake alikuwa mwizi wa mali ya umma, mwongo, mbaguzi wa maendeleo, mkabila, mropokaji, mbambikiaji kesi za uhujumu kwa wakosoaji, muuwaji. Kimsingi Magufuli alikuwa mtoto wa Shetani
Tatizo lako shule inakusumbua.

Akili zako zinategemea tumbo. Badala ya tumbo kutegenea akili.
 
Umeshasema Watanzania wengi wajinga na wewe una amini Magufuli alikuwa mjinga sasa hata uchaguzi ungefanyika kihalali unadhani wajinga wangemuacha mjinga mwenzao au inategemea wajinga kuchagua kitu bora ? ndio maana nina sema na nitaendelea kusema Magu 2020 kashinda kihalali .

Kuhusu wabunge naamini wengi wapo kimchongo.
Ukipata muda pita Mirembe Hospital ukapime Afya ya akili. Unakubali kuwa wabunge wengi wapo kimchongo, na unasahau kuwa huo mchongo ulichongwa na Magufuli?? Wewe ni mzima kweli upstairs?
 
Naunga mkono hoja. Ni kweli kabisa.
Kwa sasa hali ni tete. Wasiolalamika ni wale walamba asali tu.
Kwa kifupi, Nchi imeshatekwa na GENGE la WAHUNI.
 
Tatizo lako shule inakusumbua.

Akili zako zinategemea tumbo. Badala ya tumbo kutegenea akili.
Nina elimu ya Masters, nimefunfisha college watu kama wewe na nilishakuwa na mdaraka makubwa tu Serikalini.

Ninamiliki uchumi ambao hata wewe the burning spear ninaweza kukuachisha unachofanya na kukulipa mshahara uliokuwa unapata bila kunifanyia kazi yeyote
 
Kwamba bila mabaya ya mwingine mazuri yake yanakosa miguu ya kujisimamia? Kwa attitude hii mtaturuhusu tuwe na nchi bora zaidi siku moja au legacy ni muhimu zaidi?
 
Nina elimu ya Masters, nimefunfisha college watu kama wewe na nilishakuwa na mdaraka makubwa tu Serikalini.

Ninamiliki uchumi ambao hata wewe the burning spear ninaweza kukuachisha unachofanya na kukulipa mshahara uliokuwa unapata bila kunifanyia kazi yeyote
Basi utakuwa na masters ya ujinga.
Certificate is just peace of paper. What comes out head is a real education.
 
Ukipata muda pita Mirembe Hospital ukapime Afya ya akili. Unakubali kuwa wabunge wengi wapo kimchongo, na unasahau kuwa huo mchongo ulichongwa na Magufuli?? Wewe ni mzima kweli upstairs?
Mimi kwenye ubunge sina la kupinga ila mimi nimesimamia kwenye urais 2020 kwa uzoefu wangu na tathimini niliyofanya Magufuli kivyovyote ashindi kwake ni halali kutokana na wagombea wote wa upinzani kukosa ushawahi wakati ushawahi wa Magu upo juu hata sasa na hilo Balina ubishi.

Humu Jf na mitandaoni kulimponza Membe na kujiona ana wafuasi ila uchaguzi ukitoa picha hata mikutano yake watu 100 hawafiki na hata mtaani watu hawana habari nae mimi natoa picha halisi za kitaa ndiko kwenye kundi kubwa la wapiga kura.

Huku hawajui habari za utekaji ,ripoti za CAG nk watu wana vigezo vyao vya kitofauti.
IMG_20220917_103657.jpg
 
Basi utakuwa na masters ya ujinga.
Certificate is just peace of paper. What comes out head is a real education.
Mithali 26:4 Usibishane na mpumbavu sawa na upumbavu wake usije kuwa sawa na yeye ....

I log off
 
Magufuli hakuwa kiongozi na wala hakuwa na uwezo wowote.

Magufuli alikuwa mwizi fulani, mwongo na DIKTETA aliyetumia UJINGA wa Watanzania walio wengi wakamuona eti ni shujaa.

Kama unataka kutawaliwa na Magufuli kufa na wewe utamkuta huko kuzimu akakupe uwaziri wa Nishati.

Midubwasha aina ya Magufuli haitokuja kupata nafasi kamwe kwa Tanzania yetu
Point zenu ni za kumezeshwa tu aliiba nn hasa sasa huyu bi kidude kafanya nn hasa zaidi ya kushiriki na dj na walambaji wengine Kula nchi
 
Mimi kwenye ubunge sina la kupinga ila mimi nimesimamia kwenye urais 2020 kwa uzoefu wangu na tathimini niliyofanya Magufuli kivyovyote ashindi kwake ni halali kutokana na wagombea wote wa upinzani kukosa ushawahi wakati ushawahi wa Magu upo juu hata sasa na hilo Balina ubishi.

Humu Jf na mitandaoni kulimponza Membe na kujiona ana wafuasi ila uchaguzi ukitoa picha hata mikutano yake watu 100 hawafiki na hata mtaani watu hawana habari nae mimi natoa picha halisi za kitaa ndiko kwenye kundi kubwa la wapiga kura.

Huku hawajui habari za utekaji ,ripoti za CAG nk watu wana vigezo vyao vya kitofauti.
View attachment 2359642
Kadri ya unavyozidi kuandika ndiyo unavyodhihirisha UZEZETA wako. Yaani Kauli kwa Ma DED kutishiwa kumtangaza mshindi wa upinzani aliyotoa Magufuli huisikia? Au hukusikia idadi ya wagombea wa upinzani walivyokuwa DISQUALIFIED kwenye kujaza forms huku CCM wote wakipita un opposed?

Unamuongelea Membe wakati mpinzani mkubwa wa 2020 alikuwa Tundu Lissu. Wewe hili siyo jukwaa lako. Ondoka nenda Mhusiano na mapenzi.

Mbona watu wengine vichwa vyenu vigumu?
 
Kadri ya unavyozidi kuandika ndiyo unavyodhihirisha UZEZETA wako. Yaani Kauli kwa Ma DED kutishiwa kumtangaza mshindi wa upinzani aliyotoa Magufuli huisikia? Au hukusikia idadi ya wagombea wa upinzani walivyokuwa DISQUALIFIED kwenye kujaza forms huku CCM wote wakipita un opposed?

Unamuongelea Membe wakati mpinzani mkubwa wa 2020 alikuwa Tundu Lissu. Wewe hili siyo jukwaa lako. Ondoka nenda Mhusiano na mapenzi.

Mbona watu wengine vichwa vyenu vigumu?
Tundu Lisu 2020 ushawishi wake ulikuwa mdogo sana ukicompare na Lowassa ilivyokuwa 2015.
 
Mafisadi Nchi nzima Yalifurahi sana. Yalifanya sherehe na kushukuru. Hapa nikafunguka macho. Huyu mtu kwa nini alichukiwa na Mafisadi? Hili lilinishtua sana.

Nikaanza kujiuliza upya ni wapi nlikosea. Ndiyo....ni wapi nlikosea maana mimi mara ya kwanza sikuwa nakubaliana na mambo kadhaa ya Magufuli. Lakini hapa katika hili Check Engine taa ikawaka. Nikagundua kuna namna.

Sasa ndo naelewa. Naona jinsi ambavyo watu wamekuwa vigeu geu. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Panya road wamechukua nchi, ajali kila kukicha, watu wanauana na kujiua kutokana na ugumu wa maisha.

Ambao HAWALALAMIKI NI WALE WANAOLAMBA ASALI TU. HIKI NI KIPINDI AMBACHO VIONGOZI WENGI WAMETULIA. SI KWA WOGA. LA HASHA. KWA KUWA WANALAMBA ASALI.

wananchi wao wanalamba Shubiri...itawasaidia wapone. Tunakoenda hali itakuwa mbaya zaidi. Magufuli hakuwa Malaika... Ila alisaidia nchi ikawa inaeleweka. Sasa inakwenda mzoba mzoba. Inchi imefunguliwa kwa mikopo isiyo na Tija.

Tozo zimekuwa kama zote na ufanisi hakuna. Hata Saa mbovu mara mbili kwa siku inasema ukweli. Job Nduga mmoja ya Spika wa hovyo kupata kutokea Nchini. Alisema ukweli.
We mafisadi unawatambuaje? wale walikuwa watanzania tena walikuwa wametapakaa nchi nzima, siyo Mbeya, Arusha, Dar.
 
Mafisadi Nchi nzima Yalifurahi sana. Yalifanya sherehe na kushukuru. Hapa nikafunguka macho. Huyu mtu kwa nini alichukiwa na Mafisadi? Hili lilinishtua sana.

Nikaanza kujiuliza upya ni wapi nlikosea. Ndiyo....ni wapi nlikosea maana mimi mara ya kwanza sikuwa nakubaliana na mambo kadhaa ya Magufuli. Lakini hapa katika hili Check Engine taa ikawaka. Nikagundua kuna namna.

Sasa ndo naelewa. Naona jinsi ambavyo watu wamekuwa vigeu geu. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Panya road wamechukua nchi, ajali kila kukicha, watu wanauana na kujiua kutokana na ugumu wa maisha.

Ambao HAWALALAMIKI NI WALE WANAOLAMBA ASALI TU. HIKI NI KIPINDI AMBACHO VIONGOZI WENGI WAMETULIA. SI KWA WOGA. LA HASHA. KWA KUWA WANALAMBA ASALI.

wananchi wao wanalamba Shubiri...itawasaidia wapone. Tunakoenda hali itakuwa mbaya zaidi. Magufuli hakuwa Malaika... Ila alisaidia nchi ikawa inaeleweka. Sasa inakwenda mzoba mzoba. Inchi imefunguliwa kwa mikopo isiyo na Tija.

Tozo zimekuwa kama zote na ufanisi hakuna. Hata Saa mbovu mara mbili kwa siku inasema ukweli. Job Nduga mmoja ya Spika wa hovyo kupata kutokea Nchini. Alisema ukweli.
Bora ya yoote hayo, kuliko kuisha kwa hofu ya kutekwa nakupigwa risasi au kupewa case
 
Back
Top Bottom