Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
You nailed it brother.Ukisikia kuwa Tanzania inadharauliwa Afrika Mashariki kwa kuwa na wajinga wengi, basi wewe ni mmoja wa wajinga wenyewe.
Yaani umaamini kabisa mwaka 2020 kulikuwa na UCHAGUZI Tanzania? Watu walikwenda vituoni kuweka alama ya wino kwenye vidole...
Kumbe ACACIA Unaikumbuka basi inatosha...Niwekee tofauti kati ya mikataba aliyokuwa nayo ACACIA dhidi ya aliyoboresha yeye DIKTETA!! Alichofanya ni (2+2)-4
Je nawe unaisaidia nchi Kwa vitendo au Kwa maneno TU,kwamba tuangamie wote au unazile ndoto kuwa yupo atakayebadikisha haliya mambo.🚶Mafisadi Nchi nzima Yalifurahi sana. Yalifanya sherehe na kushukuru. Hapa nikafunguka macho. Huyu mtu kwa nini alichukiwa na Mafisadi? Hili lilinishtua sana...
Akili zangu mi zinaweza kuwa mbovu kulingana na jinsi ambavyo utashi wako wa kupambanua mambo ulivyo. Ukiwa umezoa ulege lege tu hutoboiHata wewe tunaweza kukuoa uRais wa Tanzania alimradi tu usiwe na akili mbovu kama Magufuli
Wacha Magufuli liende kuzimu limeuwa na kutesa wengi huku Zanzibar. Yeye ndiye alituletea majeshi yakauwa na kutesa watu katika jitihada zake Za kuwaweka madarakani Hao unaosema ni walamba asali. Seif Idi amejenga Palace karibu 30 na wengine wamehamisha pesa nje ya nchi na kupeleka watoto wao Canada ,Uk , na USMafisadi Nchi nzima Yalifurahi sana. Yalifanya sherehe na kushukuru. Hapa nikafunguka macho. Huyu mtu kwa nini alichukiwa na Mafisadi? Hili lilinishtua sana.
Nikaanza kujiuliza upya ni wapi nlikosea. Ndiyo....ni wapi nlikosea maana mimi mara ya kwanza sikuwa nakubaliana na mambo kadhaa ya Magufuli. Lakini hapa katika hili Check Engine taa ikawaka. Nikagundua kuna namna.
Sasa ndo naelewa. Naona jinsi ambavyo watu wamekuwa vigeu geu. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Panya road wamechukua nchi, ajali kila kukicha, watu wanauana na kujiua kutokana na ugumu wa maisha.
Ambao HAWALALAMIKI NI WALE WANAOLAMBA ASALI TU. HIKI NI KIPINDI AMBACHO VIONGOZI WENGI WAMETULIA. SI KWA WOGA. LA HASHA. KWA KUWA WANALAMBA ASALI.
wananchi wao wanalamba Shubiri...itawasaidia wapone. Tunakoenda hali itakuwa mbaya zaidi. Magufuli hakuwa Malaika... Ila alisaidia nchi ikawa inaeleweka. Sasa inakwenda mzoba mzoba. Inchi imefunguliwa kwa mikopo isiyo na Tija.
Tozo zimekuwa kama zote na ufanisi hakuna. Hata Saa mbovu mara mbili kwa siku inasema ukweli. Job Nduga mmoja ya Spika wa hovyo kupata kutokea Nchini. Alisema ukweli.
Ukiona hivyo, jua ana mengi ya kujifunza licha kwamba hatuko naye,Magufuli is no more
Kuendelea kumjadili nikumkosea heshima muache Apumzike
Kwanza he did nothing in our country that all
Naona mkuu umechefukwa na wasengerema hawa😅😅😅Umesahau alivyoku feerah cheti feki
Ujinga hautatawala werevu, wewe ni mjinga tu usiye na maana!Ukisikia kuwa Tanzania inadharauliwa Afrika Mashariki kwa kuwa na wajinga wengi, basi wewe ni mmoja wa wajinga wenyewe.
Yaani umaamini kabisa mwaka 2020 kulikuwa na UCHAGUZI Tanzania? Watu walikwenda vituoni kuweka alama ya wino kwenye vidole.
Nani alimpigia kura Magufuli kwa wingi? Wacha uwongo wa mchana. Magufuli alimshinda Lowssa mwaka 2015 kwa wizi wa kura za kupitia kituo cha Masaki. Muulize Medestus Kapilimba, Kinana na Januari, wanajuwa walichofanya.
Mwaka 2020 aliamua kuziiba kura zote mwenyewe Magufuli kwa kutiki makaratasi kutokea Jamana Printers na Kambi ya Mbweni Kisha ma DSO na DED wakagawiwa makatasi yaliyopigwa. Zile kura tulizopiga wananchi hazikuhesabiwa kabisa.
Dhana ya kwamba Magufuli alikuwa anapendwa ni UWONGO, kadanganye wanao au wajinga wenzio
Magufuli angemfuata Mzungu kwa mguu au gari? Angepanda ndege si angefia angani na kale ka deilfbrator kifuani? Mnamuita chuma kumbe alikuwa walking carcass tuKumbe ACACIA Unaikumbuka basi inatosha...
Na hakuthubutu kumfwata mzungu wala Muarabu Dubai dadeki hata Sherehe za Maadhimisho sio tija nikupiga kazi
Kakaaa tuliza mshono tupambane na tozo
Ukiwa na akili mbovu kama mungu wako Magufuli, tunakusepesha tu. Hii siyo nchi ya washamba wa KolomijeAkili zangu mi zinaweza kuwa mbovu kulingana na jinsi ambavyo utashi wako wa kupambanua mambo ulivyo. Ukiwa umezoa ulege lege tu hutoboi
We huna elimu ya ndege wewee...Magufuli angemfuata Mzungu kwa mguu au gari? Angepanda ndege si angefia angani na kale ka deilfbrator kifuani? Mnamuita chuma kumbe alikuwa walking carcass tu
Hata mwenye elimu ya ndege hajui facts zote za aviation. Mimi nimeandika from medical background juu ya impact ya radio active material ndani ya defilbrator.We huna elimu ya ndege wewee...
Acha usanii hapaa
Sheria zipo kwa ajili ya kudhibiti tabia za binaadam.Mafisadi Nchi nzima Yalifurahi sana. Yalifanya sherehe na kushukuru. Hapa nikafunguka macho. Huyu mtu kwa nini alichukiwa na Mafisadi? Hili lilinishtua sana.
Nikaanza kujiuliza upya ni wapi nlikosea. Ndiyo....ni wapi nlikosea maana mimi mara ya kwanza sikuwa nakubaliana na mambo kadhaa ya Magufuli. Lakini hapa katika hili Check Engine taa ikawaka. Nikagundua kuna namna.
Sasa ndo naelewa. Naona jinsi ambavyo watu wamekuwa vigeu geu. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Panya road wamechukua nchi, ajali kila kukicha, watu wanauana na kujiua kutokana na ugumu wa maisha.
Ambao HAWALALAMIKI NI WALE WANAOLAMBA ASALI TU. HIKI NI KIPINDI AMBACHO VIONGOZI WENGI WAMETULIA. SI KWA WOGA. LA HASHA. KWA KUWA WANALAMBA ASALI.
wananchi wao wanalamba Shubiri...itawasaidia wapone. Tunakoenda hali itakuwa mbaya zaidi. Magufuli hakuwa Malaika... Ila alisaidia nchi ikawa inaeleweka. Sasa inakwenda mzoba mzoba. Inchi imefunguliwa kwa mikopo isiyo na Tija.
Tozo zimekuwa kama zote na ufanisi hakuna. Hata Saa mbovu mara mbili kwa siku inasema ukweli. Job Nduga mmoja ya Spika wa hovyo kupata kutokea Nchini. Alisema ukweli.
Acha upumbavu. Kama hutaki tozo hamia Burundi. Yule ni marehemu tu hafufuki tena ndo imeisha hiyo!Mafisadi Nchi nzima Yalifurahi sana. Yalifanya sherehe na kushukuru. Hapa nikafunguka macho. Huyu mtu kwa nini alichukiwa na Mafisadi? Hili lilinishtua sana.
Nikaanza kujiuliza upya ni wapi nlikosea. Ndiyo....ni wapi nlikosea maana mimi mara ya kwanza sikuwa nakubaliana na mambo kadhaa ya Magufuli. Lakini hapa katika hili Check Engine taa ikawaka. Nikagundua kuna namna.
Sasa ndo naelewa. Naona jinsi ambavyo watu wamekuwa vigeu geu. Hali ya maisha imekuwa ngumu. Panya road wamechukua nchi, ajali kila kukicha, watu wanauana na kujiua kutokana na ugumu wa maisha.
Ambao HAWALALAMIKI NI WALE WANAOLAMBA ASALI TU. HIKI NI KIPINDI AMBACHO VIONGOZI WENGI WAMETULIA. SI KWA WOGA. LA HASHA. KWA KUWA WANALAMBA ASALI.
wananchi wao wanalamba Shubiri...itawasaidia wapone. Tunakoenda hali itakuwa mbaya zaidi. Magufuli hakuwa Malaika... Ila alisaidia nchi ikawa inaeleweka. Sasa inakwenda mzoba mzoba. Inchi imefunguliwa kwa mikopo isiyo na Tija.
Tozo zimekuwa kama zote na ufanisi hakuna. Hata Saa mbovu mara mbili kwa siku inasema ukweli. Job Nduga mmoja ya Spika wa hovyo kupata kutokea Nchini. Alisema ukweli.
Ni kweli,coz inasemekana alikukula bure 0713 yako.Ye mwenyewe alikuw fisadi
Unategemea mi nakamatika kiboya 😂Ukiwa na akili mbovu kama mungu wako Magufuli, tunakusepesha tu. Hii siyo nchi ya washamba wa Kolomije
Mimi kweli namchukia Mwendazake, Ila sikuzuii wewe kumpenda. Tubakie tu kila mtu ashinde mechi zake. Kwangu Mwendazake alikuwa mwizi wa mali ya umma, mwongo, mbaguzi wa maendeleo, mkabila, mropokaji, mbambikiaji kesi za uhujumu kwa wakosoaji, muuwaji. Kimsingi Magufuli alikuwa mtoto wa ShetaniUjinga hautatawala werevu, wewe ni mjinga tu usiye na maana!
Na ikiwa hupendi nyuzi zinamhusu JPM, hautazizuia Kwa mandishi ya kijinga, bora uwe unapita kama huoni, maana zitaendelea!
Haupendi.....! Jinyonge upotee ili usione jina Magufuli likitajwa,