Hili jina limenishinda kutamka

umesahau mwembedezo
 
Senge-Singida
Dah umenikumbusha enzi za umisetta.....wanafunzi waliokuwa wanasoma Senge sec walikuwa wanapata sana shida.......wakati wakuitwa sasa loh. ......mechi ya jioni itakuwa kati ya wanafunzi wa Ikungi na wanafunzi wa Senge[emoji23] [emoji23]
 
Na haya majina asili yake ni nini haswa, maaana kwa kweli kuna sehemu mpka unapata woga mtu akikutambulisha/kukaribisha hasa mikoa hiyo ya juuu ndio wana majina ya ajabu sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…