umesahau mwembedezoNa haya majina mwembe Zenji ndio hatari[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
1. Mwembe beni
2. Mwemne mimba
3. Mwembe tayari
4. Mwembe hatari
5. Mwembe ladu
6. Mwembe mchomeke
7. Mwembe makumbi
8. Mwembe madema
9. Mwembe ki.papuchi
10. Mwembe togwa
11. Mwembe mdogo
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
kwa kuongezea kaburi kikombe, kibanda maiti, pita na zako na doleNilisahau mwembe shauri
Mwembe dezoumesahau mwembedezi
smartphone hiziMwembe dezo
Dah umenikumbusha enzi za umisetta.....wanafunzi waliokuwa wanasoma Senge sec walikuwa wanapata sana shida.......wakati wakuitwa sasa loh. ......mechi ya jioni itakuwa kati ya wanafunzi wa Ikungi na wanafunzi wa Senge[emoji23] [emoji23]Senge-Singida
Na wala sio Nyamshimo ni NyashimoSio Musoma, ni Magu
Hahahaahhaa maeneo ya NATAShamba la Nyege hulali njaa pale!!
Majimoto lina ugumu gani kutamkaSumbawanga Kuna majimoto na mkunduakwa
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kati ya lindi na ikwiriri kuna sehemu maarufu panaitwa mkundu si mali.
Ahsante Moderator[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahahahahhhh nani kasema mkuu???Kati ya lindi na ikwiriri kuna sehemu maarufu panaitwa mkundusimali.
mchambawimakwa kuongezea kaburi kikombe, kibanda maiti, pita na zako na dole