Hili kosa linafaa kumuacha kabisa huyu binti?

Hili kosa linafaa kumuacha kabisa huyu binti?

Your a weak man, how can you tolerate that bullshit?!...She is Not a Keeper piga chini and thank me later.
Super weak, mwanamke ana guts za kukupiga pection kisha achomoke na kitita chako af kizembe tu ati! Nimechukua ile hela 😅😅😅
 
Hapana.ni demu wangu sema.huwa haamin nikimwambia sina hela...sjui wanawake wengne hamna huruma au nin..tena nimejielezea sana kuwa hal ni mbaya ntampa j5 hyo hela..sasa kachkua hela hapa hata vocha siwez nunua...
Umemzoesha hela kila akitaka unampa tu huu utoto ndio umemfanya akwapue hela bila kuomba kumaninr 😅😅😅 we pambana na hali yako maana kumuacha huna ubavu huo!

Maisha demu wangu hathubutu kunifanyia huo ushenzi!
 
Wakuu ..siku mbili tatu hiz kuna majukum makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80...

Sasa nikabak na kapesa kadogo kakusukuma siku mbil tatu...

Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref...huyu bint toka hyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa

Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na pum.bu zangu tuu

Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..

Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?

Inamana tumezoeana sana ama?

Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah

Uzi tayar...
Na huyu nae kwao wanamwita mwanaume. !!!
 
Hapana.ni demu wangu sema.huwa haamin nikimwambia sina hela...sjui wanawake wengne hamna huruma au nin..tena nimejielezea sana kuwa hal ni mbaya ntampa j5 hyo hela..sasa kachkua hela hapa hata vocha siwez nunua...
Inategemea na jinsi ulivyomuanza na unavyomtreat maana kama mtu wako ukimwambia huna anaona kweli huna sasa huyo labda haaamini anahisi unamnyima tu maana kashazoea kukuona na mahela
 
Endelea nae tu mkuu sio mnapenda wenye matako na sura za kutokea [emoji28]!!! Hizo ndio gharama zenyewe najua kumuacha huwezi so pambana bro[emoji41]
Hahahahhaa...sjui kajiamin nin..hajawai hata fanya hiv...hata sku1...na nimemlilia sana kwamba hali ni mbaya. Atulie ntampa tu hyo hela..ujue wanawake hawana huruma kaka
 
Hahahahhaa...sjui kajiamin nin..hajawai hata fanya hiv...hata sku1...na nimemlilia sana kwamba hali ni mbaya. Atulie ntampa tu hyo hela..ujue wanawake hawana huruma kaka
Hawezi kuwa na huruma sababu ulishamhakikishia unazo tu na yupo sababu anazipata hizo hela😅!!!

Kama utafikia kuoa huyo demu kwa siku za usoni hakikisha hio kazi unayofanya ya kukupa hizo pesa & butters haiishi kwa namna yeyote maana hamtakatiza miezi 6 ukiwa jobless kabla hajakulambisha mchanga!
 
Umemzoesha hela kila akitaka unampa tu huu utoto ndio umemfanya akwapue hela bila kuomba kumaninr 😅😅😅 we pambana na hali yako maana kumuacha huna ubavu huo!

Maisha demu wangu hathubutu kunifanyia huo ushenzi!
Kazoeshwa hela yes ndio maana kakomba zote anajua jamaa anazo zingine kibao😄
 
Ndio..sikumpa hela. Nilimwambia sina hela ntampa hela j5....sinaga tabia ya kwamba akija bas akiondoka lazima apewe hela. Tabia hyo sinaga na siipend . Leo sjui imekuaje..na kajiamin nin...au anadaiwa vikoba nn
Itakua katingwa, chukua ushauri hapo juu mkope kidogo utairudisha ukipata....
Ila huyo mwanamke ni mwamba nimemuelewa sana...
 
Kazoeshwa hela yes ndio maana kakomba zote anajua jamaa anazo zingine kibao😄
Yeah mwanamke bana ni kitu cha kuwa nacho makini sana when making a choice! Mwanamke ambae anakosa subira to that extent hafai kuwa mke hata kidogo! Nilishapigaga chini mwanamke mzuri sana kwa tabia hio hio ya kukasirika endapo akitaka hela ukawa huna😅😅😅
 
Nenda ATM najua chenji unazo,,,mkianzaga nao kwa mbwembwe muwe mnafikiria kuwa kuna siku utakosa pia [emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan mtu unatoka had kwenda ATM kisa mtu kachkua hela yako kimasihara hiv..si utumwa huu wa papuch...dah..na hapa ATM ya umoja sjui naipata wap karib....had shamo towers kule..dah..kwel huu ni utumwa...nilichopanga mfanya baada ya hil tukio nakijua mwenyew
 
Kiufupi kakosea,yaan kitendo cha kukusearch tu tabia yake si njema imevuka mipaka.Haijalishi huwa unampa au humpi lakini huwa hatusearch wanaume.Mi mtoto mdokoz tu naweza piga nizike...naweka pesa popote na kwa muda wowote na nitaikuta hata niende wapi.Nikisema sina ni sina kilichopo kimepangiwa budget USIIBE
 
Back
Top Bottom