Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono hoja, akopeshwe 20 ila ajitahidi kuwa mwaminifu akiipata tu arudishe....Mpigie simu mkope hata 20k, mwambie utamrudishia... Anaweza kukuhurumia labda
Acha kuokoteza kila takataka na kupeleka nyumbani kwako. Heshimu chumba/nyumba yako kidoogoWakuu ..siku mbili tatu hiz kuna majukum makubwa nimefanya sasa kwa asilimia kubwa nimekwangua mfuko wangu na akiba karibu asilimia 80...
Sasa nikabak na kapesa kadogo kakusukuma siku mbil tatu...
Sasa kuna bint huyu shemej yenu kaja hapa kwangu tokea siku ya sabasaba kaondoka leo mda si mref...huyu bint yan sijui..akil yake huwa ni nin..huyu bint aliniomba kias flan cha pesa nkamwambia sina kwasasa nmetumia hela nying mda si mref...huyu bint toka hyo siku anaongea vimaneno maneno vya kukera tokea hyo j5 had jana nkamwambia wee ndugu yangu una tatzo gan...akanijib wee kama huna hela mbona tunakula makuku na kunywa kila siku hapa...nkamwambia hvyo unavyokula umeona nimetoka nje kwenda kununua?au unakula vilivyohifadhiwa kwenye jokofu ..unapika na kula...bas toka hyo siku ya j5 anakunja mdomo tu..sasa
Ndan kwenye surual nilikua kama na lak2 hiv..ya kusukuma gurudum ....sasa sjui kanipekua..yaan huwez amin...binti kachkua hyo hela yoote...hapa nmebak na pum.bu zangu tuu
Ila nna hasira had natetemeka..halaf katuma msg..ndio nimechkua hela..
Well...kiukwel mim mtu kuchkua hela bila ridhaa sipend....yaan dah..well..hyo hela sio ishu.magoli yangu yananipa tu hata kesho asubuh...ila sasa unachkuaje hela namna hyo?
Inamana tumezoeana sana ama?
Hiv kosa kama hili si la kumuacha kabisa binti huyu au ni hasira tu wakuu..hahahah
Uzi tayar...
Hahahahah akija utapiga atachukua laki 2 ingine tena! 😂Yaan mtu unatoka had kwenda ATM kisa mtu kachkua hela yako kimasihara hiv..si utumwa huu wa papuch...dah..na hapa ATM ya umoja sjui naipata wap karib....had shamo towers kule..dah..kwel huu ni utumwa...nilichopanga mfanya baada ya hil tukio nakijua mwenyew
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wait!!! Kwani ulipanga kumpa ngapi akiwa anaondoka? Au ulijiandaa na "thank you baby it was fantastic and enjoyable"
Yaan hyo kususa niliopanga kuufanya mwez mzima huu..atajuta..hapa katuma msg nmekaa kimyaa...tena kanipa sababu aisee..nahis kama amenisaidia aisee..yaan hata kuja ona hela yanguMpigie simu mkope hata 20k, mwambie utamrudishia... Anaweza kukuhurumia labda
Asiporudisha ajue next time ikitokea tena atakosa mkopo so it's up to him😂😂Naunga mkono hoja, akopeshwe 20 ila ajitahidi kuwa mwaminifu akiipata tu arudishe....
Ndio option aliyonayo kwa sasakwamba akope pesa yake atarudisha! hii dunia ina vituko sana
IBA UFE Japo sijafika kwako ila najua kauli mbiu hii inatenda miujiza mjengoni 😅😅😅Kiufupi kakosea,yaan kitendo cha kukusearch tu tabia yake si njema imevuka mipaka.Haijalishi huwa unampa au humpi lakini huwa hatusearch wanaume.Mi mtoto mdokoz tu naweza piga nizike...naweka pesa popote na kwa muda wowote na nitaikuta hata niende wapi.Nikisema sina ni sina kilichopo kimepangiwa budget USIIBE
Nmemwambia kuwa katika makosa ambayo kawai fanya..hilo ni kosa kubwa sana...sasa tena nadhan kanipa sabab ..yaan kanisaidia...hato kuja iona hela yangu had mwaka huu unaisha mam.ae zakeUmemzoesha hela kila akitaka unampa tu huu utoto ndio umemfanya akwapue hela bila kuomba kumaninr [emoji28][emoji28][emoji28] we pambana na hali yako maana kumuacha huna ubavu huo!
Maisha demu wangu hathubutu kunifanyia huo ushenzi!
Atakukimbia kabla ya mwaka kuisha kama ukianza huo msimamo!😂😂😂Nmemwambia kuwa katika makosa ambayo kawai fanya..hilo ni kosa kubwa sana...sasa tena nadhan kanipa sabab ..yaan kanisaidia...hato kuja iona hela yangu had mwaka huu unaisha mam.ae zake
Ni mwanamke asie na akil bas...after a long explanation kuwa sina hela anafanya hvyo...sasa atajuta..tena ndo amenipa sabab...yaan ni kama kanisaidia ..hatoiona hela yangu had mwaka huu unaishaInategemea na jinsi ulivyomuanza na unavyomtreat maana kama mtu wako ukimwambia huna anaona kweli huna sasa huyo labda haaamini anahisi unamnyima tu maana kashazoea kukuona na mahela
Usimuache bana kama ni pisi kali, kwani laki 2 kitu gani! Pesa ni maua kumbukaYaan hyo kususa niliopanga kuufanya mwez mzima huu..atajuta..hapa katuma msg nmekaa kimyaa...tena kanipa sababu aisee..nahis kama amenisaidia aisee..yaan hata kuja ona hela yangu
Hahaha mbona Kama unaniambia mm mkuu mda s mrefu nimetoka kusema maneno hayo kwa mzaramo wangu kutoka mwanalumangoWait!!! Kwani ulipanga kumpa ngapi akiwa anaondoka? Au ulijiandaa na "thank you baby it was fantastic and enjoyable"
Kiufupi sifai mkuu,hata kwenye Game ni ivoivo ukinikosea nategea muda unaotaka kupiz nachomoa ngoma naruka utabaki unahaha na kurusha manii kama bomba la maji lililopigwa msumariIBA UFE Japo sijafika kwako ila najua kauli mbiu hii inatenda miujiza mjengoni 😅😅😅
Siwez oa hii manzi asee...nakula nae ujana tu...matatoo hayo yote naoaje kwa mfanoHawezi kuwa na huruma sababu ulishamhakikishia unazo tu na yupo sababu anazipata hizo hela[emoji28]!!!
Kama utafikia kuoa huyo demu kwa siku za usoni hakikisha hio kazi unayofanya ya kukupa hizo pesa & butters haiishi kwa namna yeyote maana hamtakatiza miezi 6 ukiwa jobless kabla hajakulambisha mchanga!
Eeh ndio maisha yalipofikia yani, demu wako anaweza akaku rob kisha ukaomba mkopo kwake akupatie sehem ya hela zako!kwamba akope pesa yake atarudisha! hii dunia ina vituko sana
Na haujampa? Bora akuibie tu....Hahaha mbona Kama unaniambia mm mkuu mda s mrefu nimetoka kusema maneno hayo kwa mzaramo wangu kutoka mwanalumango