Watu wa ulimwengu wa giza njooni hapa mtoe maoni yenu.
Ukuaji wa diamond kutoka zero hadi hapo alipo umekuwa wa kasi isiyotegemewa.
Amezungumza akiwa anajiamini sana kuwa atakuwa tajiri namba moja duniani, hawezi kuwa na uhakika kiasi hiki bila kuwa na maagano ya siri.
View attachment 3088515
Watu sisi hatujajua kwamba kuna stage ukifika unakuja kujua kwamba kumbe kun mmbo yanwezekana.
Kuna hatua fulani ukipiga katika maisha unakuja kugundua kwamba kumbe kilichokuwa kinanikwamisha kufikia hapa ni mimi mwenyewe kuogopa kufika hapa.
Kitendo cha kujua kwamba hapa nilipofika niliwahi kufikiria zamani kwamba nitafikia na kweli nomefikia,sasa kwa nini ninauoyawazia sasa hivi yasitokee hapo baadae wakati niliyoyawazia wakati wa zamani yameshatokea sasa hivi ?
Yaani kama yanayotokea sasa hivi niliwahi kuyawazia zamani,kwa nini nitakayoyawazia sasa hivi yasitokee baadae ?
Kama ni yuleyule mmoja ambaye amefanya niliyowaza zamani yakatokea sasa hivi bas ndio huyo huyo ambaye atafanya ninayowaza sasa hivi yatokee baadae.
Hiyo naweza kuiita ni Ujasiri unaotokana na matokeo uliyoyapata,na ujasiri huo unakuongezea imani ya kuamini kwamba unayoyataka sasa hivi yanaweza kuja kutokea baadae vilevile.
Sasa diamond ameshafikia hizo level tayari,yaani Diamond kuna vitu alikuwa anawazaga zamani kabla hajatoboa sasa hivyo vitu vimeshatokea tayari katika maisha yake,so hiyo inampa sana NGUVU NA IMANI THABITI KEAMBA KUMBE YALE ANAYOYAWAZA NA KUYATAMANI NA AKAWEKA MIKAKATI YATATOKEA.
Watu wengi hapa watampinga diampnd ila kiukweli diamond ameshapata ile nguvu ya imani na ujasiri kwa sababu kuna hiyo siri ameshaijua kwamba ukitakacho kinskuea endapo utaweka mikakti ys kukifikia.
If you can ee it in your mind,you can hold it on your hand- diamond ameshaona utajiri kwenye mind yake na huo utajiri ataumiliki mikononi mwake.
Hivi kwa nini ukifumba macho na ukavuta taswira ya simba unamuona akilini ? Unadhani yule unayemuona akilini ni simba feki ama ni simba mwenyewe ?
Je ksma ukifumba macho unaweza kumuona simba original hata kama macho hayaoni,unadhani ukifumba macho na kuwaza na ukajiona wewe ni tajiri unayemiliki vitu vingi kstika akili eti hilo ni jambo feki ?
Hapana mawazo ni vitu original kabisa kwani mawazo yanaonekana sema tu hatupay atttention katika kuyaona.
Ukiwaza unataka kwenda beach kuogelea lazima ulishaona bahari na ukajiona unaogelea wewe mwenyewe,so hayo ni mawazo.
Mawazo ni maono ambayo yatakuja kuwa kweli pale tu utakapoweka mipango ya kufikia maono hayo.
Diamond asibezwe kuna kitu anakijua kuhusu haya maisha na sisi ni vyema tukajifunza kwake.