Hili la Diamond kujihakikishia kuwa atakuwa tajiri namba moja duniani linaashiria nini katika ulimwengu wa giza?

Hili la Diamond kujihakikishia kuwa atakuwa tajiri namba moja duniani linaashiria nini katika ulimwengu wa giza?

Kuna kiwango cha ndoto. Tufikie hatua tuwe wa kweli tuache kujazana ujinga. Suala la Diamond kusema anataka kuwa Tajiri namba moja Duniani inaonesha hana uelewa. Elimu yake ndogo.... Hilo haliwezekanani hadi Kiama. HALITATOKEA.

NI SAWA NA lukas Mwanamshamba aseme ana ndoto ya kuja kuwa Rais wa Tanzania au Africa. Halafu mkaaanza kumsifia.... Ni kuonesha wote ni wendawazimu. Hamjielewi.

Utajiri wa kwanza kwa wanamuziki Tanzania. Yes possible kabisa huo ndo uwezo wake. Kwa Afrika wanamuziki. Yes anaweza amua na kupambana. Duniani? NO.

Hawa watu kabla hawajaongea wapewe darasa kwanza. Wasiropoke ujinga. Wakaonekana vilaza na kituko.


JUMATATU NJEMA.
Wewe unaota kuwa tajiri wa ngapi?
 
Kuna kiwango cha ndoto. Tufikie hatua tuwe wa kweli tuache kujazana ujinga. Suala la Diamond kusema anataka kuwa Tajiri namba moja Duniani inaonesha hana uelewa. Elimu yake ndogo.... Hilo haliwezekanani hadi Kiama. HALITATOKEA.

NI SAWA NA lukas Mwanamshamba aseme ana ndoto ya kuja kuwa Rais wa Tanzania au Africa. Halafu mkaaanza kumsifia.... Ni kuonesha wote ni wendawazimu. Hamjielewi.

Utajiri wa kwanza kwa wanamuziki Tanzania. Yes possible kabisa huo ndo uwezo wake. Kwa Afrika wanamuziki. Yes anaweza amua na kupambana. Duniani? NO.

Hawa watu kabla hawajaongea wapewe darasa kwanza. Wasiropoke ujinga. Wakaonekana vilaza na kituko.


JUMATATU NJEMA.
Hahahahaaa, Mond ni genius.

Lengo lake ni kumake headline, ndicho ulichofanya wewe hapa.
 
Kazaa ❌ Kadhaa ✅
Mkuu unajua hadi mtu awe tajiri namba moja inatakiwa iweje? Ndoto zingine ni upuuzi kuzitamka hadharani.
Lbda ungepata nafasi ya kumuuliza atatimizaje ndoto yake ,unaweza kukuta wewe ni mwalimu wa sarufi za kiswahili lakini hujawahi hata kuota kua mwalimu wa darasa unaona ni too much of a dream sasa mtu akikwambia ndoto zake ni lazima uzione nyevu
 
Back
Top Bottom