Squidward JF-Expert Member Joined Jul 21, 2014 Posts 7,828 Reaction score 9,546 Sep 18, 2024 #61 Uzi kama huu bila kauli ya professional wa hizi kazi Mh Rakims basi hakuna tutakachoambulia zaidi ya dhahania tu.
Uzi kama huu bila kauli ya professional wa hizi kazi Mh Rakims basi hakuna tutakachoambulia zaidi ya dhahania tu.
D Duniatunapita man Senior Member Joined May 5, 2024 Posts 181 Reaction score 252 Sep 18, 2024 #62 Hapo anajisemea TU Ili watu wamfanye mada ktk mazungumzo yao na ktk mitandao ya kijamii kama hivi
mjingamimi JF-Expert Member Joined Aug 3, 2015 Posts 42,209 Reaction score 51,004 Sep 18, 2024 #63 Apambane kwanza na MO au gsm. tunaruhusiwa kuota ndoto ila ndoto nyingine ni vichekesho
D Duniatunapita man Senior Member Joined May 5, 2024 Posts 181 Reaction score 252 Sep 18, 2024 #64 MamaSamia2025 said: Kazaa ❌ Kadhaa ✅ Mkuu unajua hadi mtu awe tajiri namba moja inatakiwa iweje? Ndoto zingine ni upuuzi kuzitamka hadharani. Click to expand... Kwanza ameshafikia kuwa tajiri wa kwanza Tanzania? Au Africa? Kabla hatujajadili habari za dunia
MamaSamia2025 said: Kazaa ❌ Kadhaa ✅ Mkuu unajua hadi mtu awe tajiri namba moja inatakiwa iweje? Ndoto zingine ni upuuzi kuzitamka hadharani. Click to expand... Kwanza ameshafikia kuwa tajiri wa kwanza Tanzania? Au Africa? Kabla hatujajadili habari za dunia
D dos.2020 JF-Expert Member Joined Feb 17, 2009 Posts 11,880 Reaction score 10,372 Sep 22, 2024 #65 mjingamimi said: Apambane kwanza na MO au gsm. tunaruhusiwa kuota ndoto ila ndoto nyingine ni vichekesho Click to expand... anaanzaje kupamabana na Mo na GSM? mkuu mbona unawakosea adabu?
mjingamimi said: Apambane kwanza na MO au gsm. tunaruhusiwa kuota ndoto ila ndoto nyingine ni vichekesho Click to expand... anaanzaje kupamabana na Mo na GSM? mkuu mbona unawakosea adabu?