Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

 
😳😳
 
India ni wana gharama za chini with compromised quality . Hâta utabibu ws shule, kwa India upo compromised sana
 
Who cares! Matonge mnapeana nyie wenyewe bila kujari watu wazuri wasomi wenye sifa walio mitaani. Mnajipa mavyeo na kugawiana kikabila na kindugu! Acha muendelee kulogana na kuuana! Mxiuuuuh!
WHO kuna kupeana vyeo ?

Hukufuatilia Interview ?
 
The innocent dies very easily but the Evel lives again and again
 
Nimeshangaa yupo kwenye vitengo vya HIV AIDs muda mrf sana kama kiongozi..
Hakuwa na HIV, halafu kwa sasa HIV sio ishu tena…..

Wapo waliosema kuwa hata Ngosha ni HIV ….. but haikuwa kweli……. Nimehudumu sekta ya Afya kwenye vitengo vya ndani…… najua viongozi ambao ni HIV positive, Faustine hakuwa. Hata hivyo now days HIV sio ishu…. Hata regimen treatment yake has been improved…..

zaman watu walikuwa wanameza Vidonge 60 hadi 90, now days ni just one tablet for 3 to 6 menths, hata risk ya kidney failure imepotea , yale ma Tenofovir, Stavudine, Atazanavir yalikuwa yanamaliza Figo za watu na yalikuwa yanawaweka watu prone to Cryptococcal Meningitis , very bad fungus infection kwenye Covering ya brain na spinal cord

Now days watu wanatumia nanotechnology , Nanomedicine , liposoma Like nanoparticles, just one dose of HIV last for 6 to 12 months ndio unakuja kuchoma nyingine….. wanatumia snaa wanajeshi wa USA ambao ni HIV positive na wale top dogs

HIV sio ugonjwa tena… Malaria is still dangerous than HIV
 
pamoja na faida ya marupurupu uliyosema ni kweli ila mimi iliniumiza sana kifo cha mzee ALLY KIBAO

Swali la kwanini waliomtangulia hawakuuawa sio swali la msingi, unless umenijibu Ngosha alifia madarakani wakati
Wenzie walifanikiwa kumaliza vipindi vyote 2?

West Africa wamechomoa tonge kwa kigezo kuwa jamaa alikuwa anaumwq umwq and he was not real fit
 

Kumbe alikua anaunwa umwa sasa mnashangaa nini kufariki?

Hizo habari za Ndugulile kuumwa umwa wanazo West Africa tu bongo hazipo?

Mtu mwenye qualifications zote kutoa uhai wa mtu kwa mshahara wa 300k USD ni uzwazwa and far fetched wakati kuna positions nyingi zinazolipa maradufu. This claim is baseless.
 
Nadia hujajibu swali, wewe hujawahi kuuumwa umwa ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…