Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Mke wa Faustine ambae ni Program Manager pale NBTS, Magdalena Swai nilifanya nae kazi kwa karibu akiwa kama Program manager NBTS na dada yangu mkubwa huku mm nikiwa Junior pale Ocean Road Cancer Institute na kabla sijakimbilia Ottawa, Canada na kuachana na Utumishi wa Umma.

Faustine kuwa DG-WHO Africa, ni fursa na Watz wengi wangeingia huko , ila jamaa amelala kabla hata ya kukalia kiti cha enzi . kuna thin layer kati ya mafanikio ya ndoto yako na mstari wa kuzimu, a very thin layer. Carefully !

Cha kusikitisha kabisa ni haijulikani Faustine ameanza kuumwa lini na ameumwa nini. Ukiwa kiongozi na nyie viongozi tabia ya kufanya siri ugonjwa wenu hata mnapoumwa kikawaida muwe sana makini, wakati mwingine watu wanatembea humo humo, ukishakuwa kiongozi na public figure vitu kama magonjwa sio siri, ijulikane unaumwa nini.

Faustine ameenda India no one knows , tunakuja kupewa taarifa za Maiti, Mafuru kaenda India, tunakuja kupewa taarifa za maiti.

Moja ya sehemu ambazo sitamani kusikia kiongozi wenye maono ameenda kwa matibabu ni India na SA, these places ni very corrupt na system govt za nchi nyingi ikiwemo Tanzania. Kama kweli wewe ni mtu potential and public figure , those are not places to go . Bora uende hapo MNH.

Magufuli amepekekwa Hospitali , mkafanya siri, tunakuja kupewa info za maiti, yaani haijulikani mnauliwa au mnakufa. Mbona wenzetu nje kiongozi akiumwa inajulikana na inajulikana ameenda wapi, hata JK alipoumwa tupo tulioenda pale Hopkins kumcheki! This is how a leader should be , sio unafanya fanya siri then wanakuua huko unaletwa maiti na kuwekwa upande wa mizigo wa ndege.

wanajua wazi watz wamezoea tu kupewa taarifa za msiba. Hii ni mbaya sana you guys need to change. Kuna viongozi wengi sna ni wagonjwa na tumewapa nafasi kubwa za uongozi na mpo na watu wanatamani hizo nafasi au ni maadu but mnafanya siri hali zenu mnawasafirisha kwa siri then mnakuja kutupa taarifa za msiba !

Kama mnawakatishana uhai je?

Post ya Faustine ilikuwa na upinzani mkubwa sna, na fitna tulizozifanya kama taifa zinajulikana…….na kwa umoja wa taifa akashinda, lakini mapambano hayaishi hapo, kuna some people loses the battle but not war …… tulipaswa kuendelea kumlinda Faustine ….. worst enough na kwa usiri wa hovyo mkaja kumpeleka India, a very corrupt places kwenye system za govt nyingi.

Moja ya benefits alizokuwa anakwenda kupata ni salary not less than 130M on monthly , international health insurance, watoto wote wanasomeshwa majuu, wife analipwa 60% of the salary yake, anapewa nafasi 14 kila mwaka za kuajiri from his country, lots of benefits with the country recognition , it was not just a post for him , it was a post for the country.

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hilo taifa!

Poleni watanzania, tumenyang’anywa tonge mdomoni.

PIA SOMA
- TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia
ALIKUWA ANAUMWA NINI? KISUKARI?
 
Hakuwa na HIV, halafu kwa sasa HIV sio ishu tena…..

Wapo waliosema kuwa hata Ngosha ni HIV ….. but haikuwa kweli……. Nimehudumu sekta ya Afya kwenye vitengo vya ndani…… najua viongozi ambao ni HIV positive, Faustine hakuwa. Hata hivyo now days HIV sio ishu…. Hata regimen treatment yake has been improved…..

zaman watu walikuwa wanameza Vidonge 60 hadi 90, now days ni just one tablet for 3 to 6 menths, hata risk ya kidney failure imepotea , yale ma Tenofovir, Stavudine, Atazanavir yalikuwa yanamaliza Figo za watu na yalikuwa yanawaweka watu prone to Cryptococcal Meningitis , very bad fungus infection kwenye Covering ya brain na spinal cord

Now days watu wanatumia nanotechnology , Nanomedicine , liposoma Like nanoparticles, just one dose of HIV last for 6 to 12 months ndio unakuja kuchoma nyingine….. wanatumia snaa wanajeshi wa USA ambao ni HIV positive na wale top dogs

HIV sio ugonjwa tena… Malaria is still dangerous than HIV
ALIKUWA ANAUMWA NINI SASA?
 
Mke wa Faustine ambae ni Program Manager pale NBTS, Magdalena Swai nilifanya nae kazi kwa karibu akiwa kama Program manager NBTS na dada yangu mkubwa huku mm nikiwa Junior pale Ocean Road Cancer Institute na kabla sijakimbilia Ottawa, Canada na kuachana na Utumishi wa Umma.

Faustine kuwa DG-WHO Africa, ni fursa na Watz wengi wangeingia huko , ila jamaa amelala kabla hata ya kukalia kiti cha enzi . kuna thin layer kati ya mafanikio ya ndoto yako na mstari wa kuzimu, a very thin layer. Carefully !

Cha kusikitisha kabisa ni haijulikani Faustine ameanza kuumwa lini na ameumwa nini. Ukiwa kiongozi na nyie viongozi tabia ya kufanya siri ugonjwa wenu hata mnapoumwa kikawaida muwe sana makini, wakati mwingine watu wanatembea humo humo, ukishakuwa kiongozi na public figure vitu kama magonjwa sio siri, ijulikane unaumwa nini.

Faustine ameenda India no one knows , tunakuja kupewa taarifa za Maiti, Mafuru kaenda India, tunakuja kupewa taarifa za maiti.

Moja ya sehemu ambazo sitamani kusikia kiongozi wenye maono ameenda kwa matibabu ni India na SA, these places ni very corrupt na system govt za nchi nyingi ikiwemo Tanzania. Kama kweli wewe ni mtu potential and public figure , those are not places to go . Bora uende hapo MNH.

Magufuli amepekekwa Hospitali , mkafanya siri, tunakuja kupewa info za maiti, yaani haijulikani mnauliwa au mnakufa. Mbona wenzetu nje kiongozi akiumwa inajulikana na inajulikana ameenda wapi, hata JK alipoumwa tupo tulioenda pale Hopkins kumcheki! This is how a leader should be , sio unafanya fanya siri then wanakuua huko unaletwa maiti na kuwekwa upande wa mizigo wa ndege.

wanajua wazi watz wamezoea tu kupewa taarifa za msiba. Hii ni mbaya sana you guys need to change. Kuna viongozi wengi sna ni wagonjwa na tumewapa nafasi kubwa za uongozi na mpo na watu wanatamani hizo nafasi au ni maadu but mnafanya siri hali zenu mnawasafirisha kwa siri then mnakuja kutupa taarifa za msiba !

Kama mnawakatishana uhai je?

Post ya Faustine ilikuwa na upinzani mkubwa sna, na fitna tulizozifanya kama taifa zinajulikana…….na kwa umoja wa taifa akashinda, lakini mapambano hayaishi hapo, kuna some people loses the battle but not war …… tulipaswa kuendelea kumlinda Faustine ….. worst enough na kwa usiri wa hovyo mkaja kumpeleka India, a very corrupt places kwenye system za govt nyingi.

Moja ya benefits alizokuwa anakwenda kupata ni salary not less than 130M on monthly , international health insurance, watoto wote wanasomeshwa majuu, wife analipwa 60% of the salary yake, anapewa nafasi 14 kila mwaka za kuajiri from his country, lots of benefits with the country recognition , it was not just a post for him , it was a post for the country.

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hilo taifa!

Poleni watanzania, tumenyang’anywa tonge mdomoni.

PIA SOMA
- TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia
Tanzania, tume huundwa nyuma ya mikamera majibu ya hizo tume nyuma ya pazia
 
Kauli za jk na mama kwenye misiba ya ndungulile na mafuru zinaleta ukakasi!ni kama mafuru alikua team mama halafu ndungulile team jk!

Inawezekana team mbili zimelipana kijasusi nani ajuaye!coz marehem wote walikua na influence kimataifa na wao waliwapigia kampeni watu wao wapate walichowapigania Kwa maslahi yao!yaani jk kwa ndugulile na mafuru Kwa Mama!!
 
Mke wa Faustine ambae ni Program Manager pale NBTS, Magdalena Swai nilifanya nae kazi kwa karibu akiwa kama Program manager NBTS na dada yangu mkubwa huku mm nikiwa Junior pale Ocean Road Cancer Institute na kabla sijakimbilia Ottawa, Canada na kuachana na Utumishi wa Umma.

Faustine kuwa DG-WHO Africa, ni fursa na Watz wengi wangeingia huko , ila jamaa amelala kabla hata ya kukalia kiti cha enzi . kuna thin layer kati ya mafanikio ya ndoto yako na mstari wa kuzimu, a very thin layer. Carefully !

Cha kusikitisha kabisa ni haijulikani Faustine ameanza kuumwa lini na ameumwa nini. Ukiwa kiongozi na nyie viongozi tabia ya kufanya siri ugonjwa wenu hata mnapoumwa kikawaida muwe sana makini, wakati mwingine watu wanatembea humo humo, ukishakuwa kiongozi na public figure vitu kama magonjwa sio siri, ijulikane unaumwa nini.

Faustine ameenda India no one knows , tunakuja kupewa taarifa za Maiti, Mafuru kaenda India, tunakuja kupewa taarifa za maiti.

Moja ya sehemu ambazo sitamani kusikia kiongozi wenye maono ameenda kwa matibabu ni India na SA, these places ni very corrupt na system govt za nchi nyingi ikiwemo Tanzania. Kama kweli wewe ni mtu potential and public figure , those are not places to go . Bora uende hapo MNH.

Magufuli amepekekwa Hospitali , mkafanya siri, tunakuja kupewa info za maiti, yaani haijulikani mnauliwa au mnakufa. Mbona wenzetu nje kiongozi akiumwa inajulikana na inajulikana ameenda wapi, hata JK alipoumwa tupo tulioenda pale Hopkins kumcheki! This is how a leader should be , sio unafanya fanya siri then wanakuua huko unaletwa maiti na kuwekwa upande wa mizigo wa ndege.

wanajua wazi watz wamezoea tu kupewa taarifa za msiba. Hii ni mbaya sana you guys need to change. Kuna viongozi wengi sna ni wagonjwa na tumewapa nafasi kubwa za uongozi na mpo na watu wanatamani hizo nafasi au ni maadu but mnafanya siri hali zenu mnawasafirisha kwa siri then mnakuja kutupa taarifa za msiba !

Kama mnawakatishana uhai je?

Post ya Faustine ilikuwa na upinzani mkubwa sna, na fitna tulizozifanya kama taifa zinajulikana…….na kwa umoja wa taifa akashinda, lakini mapambano hayaishi hapo, kuna some people loses the battle but not war …… tulipaswa kuendelea kumlinda Faustine ….. worst enough na kwa usiri wa hovyo mkaja kumpeleka India, a very corrupt places kwenye system za govt nyingi.

Moja ya benefits alizokuwa anakwenda kupata ni salary not less than 130M on monthly , international health insurance, watoto wote wanasomeshwa majuu, wife analipwa 60% of the salary yake, anapewa nafasi 14 kila mwaka za kuajiri from his country, lots of benefits with the country recognition , it was not just a post for him , it was a post for the country.

Kuna kitu hakipo sawa kwenye hilo taifa!

Poleni watanzania, tumenyang’anywa tonge mdomoni.

PIA SOMA
- TANZIA - Dkt. Faustine Ndugulile aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia
Kuna mzee mmoja aliwah kusema wazuri hawafi
 
Kama taifa tumepoteza fursa kubwa sana, kama familia itakuwa huzuni isiyo bebeka kwa urahisi.
Lakini pia kupitia andiko hili kama taifa kuna kitu cha kujifunza, na kujifunza kunaambatana na gharama.
Hivi kabla yake hiyo nafasi alikuwepo nani?
 
Nimefanya kazi na hao watu, ukisikia mtu kasomq udaktqri , Ufamasia, unesi etc jua hakuna kitu, India ni business Oriented mind , hakuna ku feli kule… utafaulishwa hata kama hutaki…… wanajua hufanyi kazi kwao utarudi kwenu

I can guarantee mtu aliyesoma Udaktar , Unesi na Ufamasia hapo MUHAS au CUHAS than any body who perused his degree in India , NEVER NEVER NEVER I say never
ahahaaaaa
 
Bongo kuta utaratibu mbaya sana wa kuficha taarifa za viongozi kama wanaumwa,tunaushia kuletewa breaking news tu kwamba mtu kaanguka. Rip Dr Ndugulile.
Athari za siasa za ujamaa hizi na ukomunisti kwa mbali....Kila kitu ni siri tu hata ambazo hazina sababu
 
Msihuzunike lipo jembe jingine
FB_IMG_1733196482970.jpg
 
Hakuwa na HIV, halafu kwa sasa HIV sio ishu tena…..

Wapo waliosema kuwa hata Ngosha ni HIV ….. but haikuwa kweli……. Nimehudumu sekta ya Afya kwenye vitengo vya ndani…… najua viongozi ambao ni HIV positive, Faustine hakuwa. Hata hivyo now days HIV sio ishu…. Hata regimen treatment yake has been improved…..

zaman watu walikuwa wanameza Vidonge 60 hadi 90, now days ni just one tablet for 3 to 6 menths, hata risk ya kidney failure imepotea , yale ma Tenofovir, Stavudine, Atazanavir yalikuwa yanamaliza Figo za watu na yalikuwa yanawaweka watu prone to Cryptococcal Meningitis , very bad fungus infection kwenye Covering ya brain na spinal cord

Now days watu wanatumia nanotechnology , Nanomedicine , liposoma Like nanoparticles, just one dose of HIV last for 6 to 12 months ndio unakuja kuchoma nyingine….. wanatumia snaa wanajeshi wa USA ambao ni HIV positive na wale top dogs

HIV sio ugonjwa tena… Malaria is still dangerous than HIV
Kwamba hii tiba imeanza tanzania??? Ya kidonge kimoja kwa miezi 6... au iko private kwa maana ya kulipia
 
India iko overrated sana na Watanzania

Mtu una hela na mtumishi mkubwa tu serikalini eti unaenda India

Huwezi kusikia kiongozi mkubwa wa mataifa ya Ulaya, Far East Asia, Latin America au Middle East ameenda India

Huu utamaduni wa kwenda India sijui tumeutolea wapi?
Kwa sababu viongozi wetu wanajua hospitali zetu ni za walala hoi na hazina huduma nzuri,Hivyo huenda India ambako viongozi wa huko India wanajua namna ya kutumia Kodi za wananchi wao kuboresha huduma za kijamii kama hospital za umma.
 
Watu wowote wasiokubali kuchangamana na Watu wanaoshirikiana nao kila kukicha Kwenye shughuli mbalimbali ni hayawani.

Asili haipo ivyo, unapokaa karibu na kitu chochote iwe waridi au kinyesi ni lazima uendanenacho baada ya muda, wao wanawezaje kua pure Kwenye race Yao eneo letu after a lot of decade.!? Jibu ni moja tu ni washenzi.

Wana ajenda zao nyingi tu, ambazo hata watoto wao waliowazaa hapa inchini hawazifahamu bado, inazoruhusu inchi hii ya matahira kuwa koloni Lao bila ya sisi kukubali hilo kuwa tunatawaliwa nao, na viongozi wetu ndio wale machifu wazamani waliouza ndugu zao kwa kuepuka ghasia, kumbe ndio wanabomoa

Watu wapo karibu 1.5B bila kuwa hayawani unategemea watasurvive vipi.? Usikae karibu na simba wala chatu mwenye njaa ni suala la muda tu

Mimi Nina uhakika kabisa kwamba 💯 Kwenye Afrika inchi ambayo iko the mostly like India na wanajihisi comfortable kuwepo Tz ni no1, so be care
 
Back
Top Bottom