Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Huko nako ulisha fika, au unaambiwa tu?
Hiyo habari ya APIs ninaifanyia kazi, usiwe na shaka. lakini najuwa huwezi kueleza chochote kuhusu India wapate APIs toka China
Ndio maana nilikwqmbia hii field wewe huijui hilo hata sio la kulifnyia utafiti kwa mtu wa pharmaceutical analijua hilo kitambo iko hivyo
 
Ndio maana nilikwqmbia hii field wewe huijui hilo hata sio la kulifnyia utafiti kwa mtu wa pharmaceutical analijua hilo kitambo iko hivyo
EEEeeeeenHEEEEEE!
Kwa hiyo wewe ni mtu wa "Pharmaceutical"; ndio nani huyo?

nani kakwambia anafanyia utafiti---; wewe kweli ni kiazi hasa!
 
Nina hakika ya asili mia moja, kwamba kama ni kueleweshwa, siyo na mtu asiye juwa kitu husika kama wewe. Wewe hata basic 'background' ya mambo hayo huna kabisa. halafu unataka unieleweshe?
Najua unagain vitu

Wewe jamaa hata dogo wa darasa la tatu anakushinda, great thinker unayeshindwa kutofautisha China na Taiwan
 
Najua unagain vitu

Wewe jamaa hata dogo wa darasa la tatu anakushinda, great thinker unayeshindwa kutofautisha China na Taiwan
Hata nilipo anza sikuwa chini kiasi ulichopo wewe sasa hivi katika hayo unayo zungumzia.

Actually, kama hukuelewa nilicho lenga nilipo itaja Taiwan, ni kuwa Taiwan ni watengenezaji na source nzuri sana ya APIS duniani. Lakini naona hilo akili yako ndogo haikulipata.
 
India wanaimport kutoka wapi Taiwan au China?
Sasa unaniuliza jambo ambalo nimekwambia ninalifanyia kazi? Hiyo habari ya gazeti "The Times of India" uliyo iokota sijui wapi, nataka ku-verify, niwe na uhakika nayo; kwa sababu ufahamu wangu wa siku nyingi haukuwa hivyo.
Mimi siyo mtu wa kuokoteza vihabari vya juu juu bila ya kuvielewa undani wake kama ulivyo wewe. Mimi siishii kwenye ku-google.

Ungekuwa makini, ungejibu hoja kwa nini India anunue APIs kwa wingi toka China, atengeze dawa za kuuza duniani; lakini China mwenyewe, anaye tengeneza kwa wingi APIs hizo yeye hatengenezi kiasi hicho cha dawa kuuza nje!

Najuwa uwezo wako upo chini, huwezi kujibu hoja kama hiyo.
 
Sasa unaniuliza jambo ambalo nimekwambia ninalifanyia kazi? Hiyo habari ya gazeti "The Times of India" uliyo iokota sijui wapi, nataka ku-verify, niwe na uhakika nayo; kwa sababu ufahamu wangu wa siku nyingi haukuwa hivyo.
Mimi siyo mtu wa kuokoteza vihabari vya juu juu bila ya kuvielewa undani wake kama ulivyo wewe. Mimi siishii kwenye ku-google.

Ungekuwa makini, ungejibu hoja kwa nini India anunue APIs kwa wingi toka China, atengeze dawa za kuuza duniani; lakini China mwenyewe, anaye tengeneza kwa wingi APIs hizo yeye hatengenezi kiasi hicho cha dawa kuuza nje!

najuwa uwezo wako upo chini, huwezi kujibu hoja kama hiyo.
Nani alikwambia China hawatengenezi madawa? Mbona wanaexport sana nchi za Ulaya
 
Back
Top Bottom