OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,569
- 24,812
Mbona nakuwa na pete ya ndoa na unasema alikuwa na mke?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana nilikwqmbia hii field wewe huijui hilo hata sio la kulifnyia utafiti kwa mtu wa pharmaceutical analijua hilo kitambo iko hivyoHuko nako ulisha fika, au unaambiwa tu?
Hiyo habari ya APIs ninaifanyia kazi, usiwe na shaka. lakini najuwa huwezi kueleza chochote kuhusu India wapate APIs toka China
EEEeeeeenHEEEEEE!Ndio maana nilikwqmbia hii field wewe huijui hilo hata sio la kulifnyia utafiti kwa mtu wa pharmaceutical analijua hilo kitambo iko hivyo
China wana supply chain kubwa katika kutengenezs hizo APIshalafu ndio wauze dawa zilizo tengenezwa kwa wingi nje, na isiwe China wenyewe.
Hata hilo la APIs sijui ulilidakia wapi, na haraka haraka ukakimbilia ku-google, ili taarifa hiyo uilete hapa.
Nilishakwambia be humble ueleweshweEEEeeeeenHEEEEEE!
Kwa hiyo wewe ni mtu wa "Pharmaceutical"; ndio nani huyo?
nani kakwambia anafanyia utafiti---; wewe kweli ni kiazi hasa!
Duh!China wana supply chain kubwa katika kutengenezs hizo APIs
Sasa ulitaka niweke neno gani? Haya toa hiyo supply chain weka unalotakaDuh!
Hapa sijui unataka kusema nini! Unajisikia ukiweka 'jargon' ya 'supply chain' itakufanya uonekane kuwa unaelewa unacho zungumzia?
Nina hakika ya asili mia moja, kwamba kama ni kueleweshwa, siyo na mtu asiye juwa kitu husika kama wewe. Wewe hata basic 'background' ya mambo hayo huna kabisa. halafu unataka unieleweshe?Nilishakwambia be humble ueleweshwe
Wewe upo kwenye maswala hayo ya 'supply chain'?Sasa ulitaka niweke neno gani? Haya toa hiyo supply chain weka unalotaka
Najua unagain vituNina hakika ya asili mia moja, kwamba kama ni kueleweshwa, siyo na mtu asiye juwa kitu husika kama wewe. Wewe hata basic 'background' ya mambo hayo huna kabisa. halafu unataka unieleweshe?
Hata nilipo anza sikuwa chini kiasi ulichopo wewe sasa hivi katika hayo unayo zungumzia.Najua unagain vitu
Wewe jamaa hata dogo wa darasa la tatu anakushinda, great thinker unayeshindwa kutofautisha China na Taiwan
Umeelewa maana ya huo msemo?Wewe upo kwenye maswala hayo ya 'supply chain'?
Sasa hivi umeweza kutofautisha kati ya China na Taiwan?Hata nilipo anza sikuwa chini kiasi ulichopo wewe sasa hivi katika hayo unayo zungumzia.
Taiwan ni watengenezaji na supplier wazuri sana wa APIs kama ulikuwa hujui. Nilikuwekea mfano huo hapo lakini kwa akili yako ndogo hukuweza kutambua nilicho lenga ukielewe.Sasa hivi umeweza kutofautisha kati ya China na Taiwan?
India wanaimport kutoka wapi Taiwan au China?Taiwan ni watengenezaji na supplier wazuri sana wa APIs kama ulikuwa hujui. Nilikuwekea mfano huo hapo lakini kwa akili yako ndogo hukuweza kutambua nilicho lenga ukielewe.
Sasa unaniuliza jambo ambalo nimekwambia ninalifanyia kazi? Hiyo habari ya gazeti "The Times of India" uliyo iokota sijui wapi, nataka ku-verify, niwe na uhakika nayo; kwa sababu ufahamu wangu wa siku nyingi haukuwa hivyo.India wanaimport kutoka wapi Taiwan au China?
Nani alikwambia China hawatengenezi madawa? Mbona wanaexport sana nchi za UlayaSasa unaniuliza jambo ambalo nimekwambia ninalifanyia kazi? Hiyo habari ya gazeti "The Times of India" uliyo iokota sijui wapi, nataka ku-verify, niwe na uhakika nayo; kwa sababu ufahamu wangu wa siku nyingi haukuwa hivyo.
Mimi siyo mtu wa kuokoteza vihabari vya juu juu bila ya kuvielewa undani wake kama ulivyo wewe. Mimi siishii kwenye ku-google.
Ungekuwa makini, ungejibu hoja kwa nini India anunue APIs kwa wingi toka China, atengeze dawa za kuuza duniani; lakini China mwenyewe, anaye tengeneza kwa wingi APIs hizo yeye hatengenezi kiasi hicho cha dawa kuuza nje!
najuwa uwezo wako upo chini, huwezi kujibu hoja kama hiyo.
Ni wapi nilipo sema China hawatengenezi madawa? Unaona ulivyo mbumbumbu, lakini?Nani alikwambia China hawatengenezi madawa?
China wanaexport madawa nchi za UlayaNi wapi nilipo sema China hawatengenezi madawa? Unaona ulivyo mbumbumbu, lakini?
Wewe ni kihiyo kweli kweli.China wanaexport madawa nchi za Ulaya