Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wewe ni kihiyo kweli kweli.
Unajsemea tu mambo mradi uyaseme.
Nchi zipi za ulaya wanako uza dawa wachina! najua sasa utahangaika kwenda ku-google!
Nahisi napoteza muda wangu bure tu kudiscuss na mtu kumbe mweupe kabisa kichwani