Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Wewe si ulisema India wanaimport APIs kutoka TaiwanWewe utakuwa na upungufu wa akili sasa. Ni wapi nilipo sema Taiwan ni China? Hili nalo unataka liwe jambo la kujadili hapa?
Kuhusu taaluma, hilo wala usiwe na shaka juu yake. kama unataka kuliendeleza hapa, mimi sina la kuongezea juu yake.