Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Hili la kifo cha Dkt. Faustine Ndugulile limeniumiza sana, shida ni nini?

Sawa. Wewe unajuwa kutumia google. Ukisha fika huko, kila kitu umemaliza. Inabaki kuja hapa JF kujigamba kwamba unajuwa maswala yote hayo ya India kuwa 'shit'!
Siku nyingine ndio uache ujuaji najua umeaibika kiaina. Kwenye mijadala kama kitu haujui usiwe na maneno mengi na ujuaji ulinde heshima yako
 
Wewe si ulisema India wanaimport APIs kutoka Taiwan
najuwa ufinyu wa uwezo wako kuelewa kilicho andikwa.

Ngoja nikufafanulie tena kwa mara ya mwisho:

Kutokana na niliyo yajuwa toka zamani, ni kuwa Taiwan ni watengenezaji na wauzaji wakubwa wa APIs. Hili nililijuwa toka zamani na nilisha husika nalo; nililo tilia shaka ni hiyo China kuwa wauzaji wakubwa kwa India, kwa sababu toka huko nyuma pia mazoea yangu nilijuwa India wanao uwezo wa kufanya hivyo.

Kwa hiyo maana yangu hapo ilikuwa kwama pengine ulikuwa na maana ya Taiwan kuiuzia India APIs; hii ilikuwa kabla hujaleta hiyo habari ya The Times of India.
Sasa kwa vile ufinyu wako ni mdogo, ukaona urukie kwenye hilo la Taiwan kuichanganya na China; jambo ambalo nalo naona umelin'gang'ania liwe la kukupa sifa juu yake.
 
Siku nyingine ndio uache ujuaji najua umeaibika kiaina. Kwenye mijadala kama kitu haujui usiwe na maneno mengi na ujuaji ulinde heshima yako
utajuaje kuwa nime aibika wakati ninakuonyesha ni jinsi gani ulivyo mtupu. Mtu unaye tegemea google kujionyesha unajuwa vitu usivyo kuwa na ufahamu juu yake
Lakini usisahau ujuaji wako: India is shit; pamoja na kwamba viongozi wako bado wanakwenda huko!

Bila shaka wewe mwenyewe ni 'shit' vilevile!
 
View attachment 3170957

Nahisi napoteza muda wangu bure tu kudiscuss na mtu kumbe mweupe kabisa kichwani
Hapa nakubaliana na wewe bruh kwa kiasi kikubwa mbali na google

Nilikuwa kwenye hizi pharmaceutical industry.... Na madawa tulikuwa tuna import china na sio sisi tuu wengi wa wafanyabiashara na makampuni ya madawa yalikuwa Yana import kutoka china kuliko India.....

Nilifanya uchunguzi wangu kwanini tusichukue India nikaambiwa wale wana tabia za kibaguzi hasa wakijua importer sio muhindi mwenzako...

Nadhani hata Kenya wana subsidiary Hawa wahindi lakini mambo yao ya hovyo

Hata madawa yakifika Tz hapa yaan ukifanya delivery kwa wahindi ukizingua kidogo tuu wanaweza kugoma kuchukua mzigo

Ila wachina wanajua kukimbizana na biznez vzr shida ya wahindi ubaguzi..
 
Hapa nakubaliana na wewe bruh kwa kiasi kikubwa mbali na google

Nilikuwa kwenye hizi pharmaceutical industry.... Na madawa tulikuwa tuna import china na sio sisi tuu wengi wa wafanyabiashara na makampuni ya madawa yalikuwa Yana import kutoka china kuliko India.....

Nilifanya uchunguzi wangu kwanini tusichukue India nikaambiwa wale wana tabia za kibaguzi hasa wakijua importer sio muhindi mwenzako...

Nadhani hata Kenya wana subsidiary Hawa wahindi lakini mambo yao ya hovyo

Hata madawa yakifika Tz hapa yaan ukifanya delivery kwa wahindi ukizingua kidogo tuu wanaweza kugoma kuchukua mzigo

Ila wachina wanajua kukimbizana na biznez vzr shida ya wahindi ubaguzi..
Unaongeza wigo kwenye mjadala, unakuwa mkubwa zaidi ya kule tuliko anzia. Sasa hata hilo la "ubaguzi" linaingia, ambalo mimi silipingi, na sijui kama wachina nao hawana ubaguzi wao. Hiyo ni 'experience' yako na hao wahindi.
Lakini pia kumbuka. Tunavyo viwanda vya dawa vya wahindi hapa hapa pia. Uganda vipo, na kwingneko.

Uhovyo haupo kwa wahindi pekee; umeenea karibu kila mahali, kila nchi.

Mjadala huu uliopo kati yangu na huyo uliye kubaliana naye ni swala la kusema Hospitali zote zilizopo India zina huduma mbaya; ndiyo sababu watu wetu hivi karibuni walipo kwenda huko hawakurudi salama. Hilo ndilo tulilo pishana kati yangu na huyu mwenzako.

sasa sijui kama hawa viongozi wetu wanao fia huko ni sababu ya ubaguzi wa wahindi, hilo kwa kweli silijui.
 
Hapa nakubaliana na wewe bruh kwa kiasi kikubwa mbali na google

Nilikuwa kwenye hizi pharmaceutical industry.... Na madawa tulikuwa tuna import china na sio sisi tuu wengi wa wafanyabiashara na makampuni ya madawa yalikuwa Yana import kutoka china kuliko India.....

Nilifanya uchunguzi wangu kwanini tusichukue India nikaambiwa wale wana tabia za kibaguzi hasa wakijua importer sio muhindi mwenzako...

Nadhani hata Kenya wana subsidiary Hawa wahindi lakini mambo yao ya hovyo

Hata madawa yakifika Tz hapa yaan ukifanya delivery kwa wahindi ukizingua kidogo tuu wanaweza kugoma kuchukua mzigo

Ila wachina wanajua kukimbizana na biznez vzr shida ya wahindi ubaguzi..
Uko sahihi mkuu. Wahindi ni wapumbavu sana wameendekeza sana ubaguzi

Wahindi wanajisikia halafu level walizo nazo bado sana. Bado wana safari ndefu sana ya kujifunza how to do business kutoka kwa Wachina

Huyu anayejiita Kalamu ndio namuelewesha hilo ila angalau mkija na wengine mumpe fact hajui chochote kuhusu pharma industry ila anajitutumua sana

Hili la kuagiza APIs kutoka China anasema atalifanyia utafiti, wakati wanaodeal na hizi mambo wanajua kuwa China ndio kabeba pharma ind ya India kwa 80% ya APIs wanaimport kutoka China

China ni miongoni mwa biggest exporters wa APIs na madawa yeye kakariri India kisa anaona madawa ya hapa Tz ni Made in India
 
Huyu anayejiita @Kalamu ndio namuelewesha hilo ila angalau mkija na wengine mumpe fact hajui chochote kuhusu pharma industry ila anajitutumua sana
Hili liweke pembeni kwa sababu sina cha kujadili na wewe juu yake mbali ya taarifa za ku-google tu. Labda uwe unatafuta kujuwa usiyo takiwa kuyajuwa kunihusu mimi binafsi; jambo ambalo sitakuruhusu ufaidike nalo.

Tuzungumzie uhovyo wa wahindi kama ulivyo uanzisha kuhusu hospitali zao, na mitaa yao, na sasa ubaguzi wao.
 
Hili liweke pembeni kwa sababu sina cha kujadili na wewe juu yake mbali ya taarifa za ku-google tu. Labda uwe unatafuta kujuwa usiyo takiwa kuyajuwa kunihusu mimi binafsi; jambo ambalo sitakuruhusu ufaidike nalo.

Tuzungumzie uhovyo wa wahindi kama ulivyo uanzisha kuhusu hospitali zao, na mitaa yao, na sasa ubaguzi wao.
Huyo jamaa kaja hapo kakubaliana na nilichosema kwani yeye ni google? Si kasema yeye ni mdau wa pharm industry au naye unamkataa? Wewe ni mdau wa pharma ind kweli mbona vitu vingi haujui. Nyinyi ndio vishoka wenyewe
 
Hili ndio tatizo lako ulivyovisema unavikana baada ya kuelimishwa na kupewa fact. Sitachoka kukumbusha ukitaka ujue mengi kuwa humble
Hii ni kutokana na ufinyu wa uelewa wako unapo soma kilicho andikwa.
Mfano ni huo wa kufikiri kuwa sijui tofauti iliyopo kati ya China na Taiwan.

Sija andika popote humu nikisema bayana., kwamba India wana agiza malighafi kutoka Taiwani. Nenda kasome nilicho andika juu ya hili.
Wewe badala ya kuelewa lilivyo letwa, unabadili kulifanya unavyo fikiri wewe.
Hili ni tatizo kwako. Na sababu kubwa ni kutokana na ufinyu wa elimu ya kukuwezesha kuelewa maana ya unacho soma.
 
Back
Top Bottom