Unataka niseme kipi tena kuhusu hili.
Mjadala wangu na wewe unajuwa ulipo anzia. Rudi huko huko tuendelee nao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unataka niseme kipi tena kuhusu hili.
Nakubaliana na ule msemo China means businessMaybe yeye sijui anataka kumaanisha nini lakini
Wahindi wanaonekana kuipenda kazi yao hasa wamejichanganya na sisi watu weusi ndo maana tunawaona hivyo labda na nidhamu ya kazi kutuzidi
Kingine ile wanajua kumuandaa mwendelezaji wa biashara zao tofaut na sisi mpk mtu afe ugomvi uibuke labda ufananishe wahindi na waafrica
Lakini wahindi na wachina aseeh
Wachina watu wengi hasa nasema kwa kumaanisha
Tuliwahi kumwambia mchina by saa sita tunakuwa tumefanya payment for our new containers Ila kufika saa sita hatujalipa mtandao benk hausomi na hapo tushalipia kama nusu ya mzigo
Mzigo tumekuja kupata third consignment
Uone mchina alivyo chapu kwenye biashara....
Kenya is very best aiseeTunawaona wahindi ni Bora sijui kwa sababu kitu kidogo utasikia kafia India basi wabongo tunaona ni sifa kibao kumbe hamna kipya mbona sauzi Kuna hospital kibao tuu wanaenda watu na sio India ?
Kenya hapo wako vizuri tuu.... Tz siasa na ulimbukeni mwingi ndo kinachotuponza bruh,
Wachangiaji wengine wa huo mjadala zisome comments zao ndio maana nakutagUnataka niseme kipi tena kuhusu hili.
Mjadala wangu na wewe unajuwa ulipo anzia. Rudi huko huko tuendelee nao.
Ndiyo, kuna takataka nyingi huko; lakini pia kuna sehemu za maana, kama hospitali maalum wanako tibiwa baadhi ya viongozi wetu na watu wengine toka mataifa mbalimbali duniani.
Wenyeji wanazikimbia Watanzania washamba wanazikimbilia, kurudi ni mwendo wa parcel tuNdiyo, kuna takataka nyingi huko; lakini pia kuna sehemu za maana, kama hospitali maalum wanako tibiwa baadhi ya viongozi wetu na watu wengine toka mataifa mbalimbali duniani.
Mimi na wewe,. najibu hoja zako hata kama ni za kipuuzi nitazijibu. Hospitali za India wanako kwenda kutibiwa waTanzania mbali mbali ni tofauti na zile hospitali za umma ambazo huduma zake ni hafifu zaidi. Unasemaje kuhusu hilo?Wachangiaji wengine wa huo mjadala zisome comments zao ndio maana nakutag
Hizohizo unazoziita hospitali maalumu viongozi wa India wanazikimbia wanaenda kutibiwa Marekani na Ulaya ni muhimu kwa wajinga wajinga kutoka Tanzania. India ni takatakaMimi na wewe,. najibu hoja zako hata kama ni za kipuuzi nitazijibu. Hospitali za India wanako kwenda kutibiwa waTanzania mbali mbali ni tofauti na zile hospitali za umma ambazo huduma zake ni hafifu zaidi. Unasemaje kuhusu hilo?
kuna hospitali wapi ambapo watu huwa hawafi, unajuwa? Ni watanzania wangapi wamekwenda huko na kutibiwa na wakarudi hapa wakiwa na hali nzuri.Wenyeji wanazikimbia Watanzania washamba wanazikimbilia, kurudi ni mwendo wa parcel tu
Sasa si bora ukafie Muhimbili kuliko usafiri umbali mrefu urudi kama mzigo. Ni Watanzania wangapi wametibiwa hapahapa Tz na wamepona bila kwenda India?kuna hospitali wapi ambapo watu huwa hawafi, unajuwa? Ni watanzania wangapi wamekwenda huko na kutibiwa na wakarudi hapa wakiwa na hali nzuri.
Hao unao waita "wajinga wajinga" ndio viongozi wako hao. Waulize inakuwaje wewe usiye kuwa mjinga unayajuwa yote ya hospitali hizo, lakini wao wakawa wajinga kiasi kile.Hizohizo unazoziita hospitali maalumu viongozi wa India wanazikimbia wanaenda kutibiwa Marekani na Ulaya ni muhimu kwa wajinga wajinga kutoka Tanzania. India ni takataka
Naona hapo juu kasema walevi wawili 😂😂
Kwani mtu akiwa kiongozi inaondoa ujinga na ulimbukeni wake?Hao unao waita "wajinga wajinga" ndio viongozi wako hao. Waulize inakuwaje wewe usiye kuwa mjinga unayajuwa yote ya hospitali hizo, lakini wao wakawa wajinga kiasi kile.
kawaulize hao viongozi wako, bila shaka watakuwa na majibu.Sasa si bora ukafie Muhimbili kuliko usafiri umbali mrefu urudi kama mzigo. Ni Watanzania wangapi wametibiwa hapahapa Tz na wamepona bila kwenda India?
Best Drs ni waliosomea China at least, na waliosomea bongo au ulaya, pia Turky, ila india ni big NOOOOONimefanya kazi na hao watu, ukisikia mtu kasomq udaktqri , Ufamasia, unesi etc jua hakuna kitu, India ni business Oriented mind , hakuna ku feli kule… utafaulishwa hata kama hutaki…… wanajua hufanyi kazi kwao utarudi kwenu
I can guarantee mtu aliyesoma Udaktar , Unesi na Ufamasia hapo MUHAS au CUHAS than any body who perused his degree in India , NEVER NEVER NEVER I say never
Kenya is very best aisee
Hapana. Ila cha kusikitisha ni kwa mtu kama wewe usiye kuwa mjinga ukajikuta katika hali uliyomo, chini ya wajinga hao. Huoni hili lina sikitsha sana?Kwani mtu akiwa kiongozi inaondoa ujinga na ulimbukeni wake?
🤣🤣🤣 huu ndio ukweli halisi kutoka kwa mlevi mwenzanguNaona hapo juu kasema walevi wawili 😂😂
Akaombe taarifa TMDA ajue kati ya mchina na muhindi nan exporter kwa hapa Tz maybe coz
Ukiwa unaagiza contena likifika lazima ujaze TMDA IMPORT PERMIT na ukikosea utaambiwa hapa jaza hv na sio hivi na utaonyesha contena linatoka kwa supplier au manufacturer kutoka wapi ?
Hata kujaza TMDA PREMISES PERMIT mbn lazima uonyeshe supplier wako
Aende TMDA hapo external aombe tuu takwimu ajifanye hata ni mwanafunzi au anataka kujua kwa kuangalia soko liko wapi!
Kwani mimi ndio nimewaweka madarakani wamewekwa na wajinga wenzaoHapana. Ila cha kusikitisha ni kwa mtu kama wewe usiye kuwa mjinga ukajikuta katika hali uliyomo, chini ya wajinga hao. Huoni hili lina sikitsha sana?
Sina tatizo na hilo mnalo kubaliana huko wenyewe.