Mtu mjanja utakubalije kuishi chini ya uongozi wa kijinga. Huni hilo ni tatizo lako mwenyewe?Kwani mimi ndio nimewaweka madarakani wamewekwa na wajinga wenzao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu mjanja utakubalije kuishi chini ya uongozi wa kijinga. Huni hilo ni tatizo lako mwenyewe?Kwani mimi ndio nimewaweka madarakani wamewekwa na wajinga wenzao
Ni la kweli au la uongo?Sina tatizo na hilo mnalo kubaliana huko wenyewe.
Maisha yangu hayawategemei waoMtu mjanja utakubalije kuishi chini ya uongozi wa kijinga. Huni hilo ni tatizo lako mwenyewe?
Mimi nipo hapa na wewe; kama kuna mwingine huko pembeni hilo halinihusu.Ni la kweli au la uongo?
Afu watu washenzi ujue kwani ulevi ndo kosa tuu ?
Lakini unaona ni muhimu wajinga hawa wasiende kufia India ili upate unafuu!Maisha yangu hayawategemei wao
Analoamini mjinga sikuzote ndilo humtokeaLakini unaona ni muhimu wajinga hawa wasiende kufia India ili upate unafuu!
basi waache wakamalizwe na ujinga wao kwenye hospitali za India. Itakuwa nafuu kwako.Analoamini mjinga sikuzote ndilo humtokea
Mwendo wa parcel tubasi waache wakamalizwe na ujinga wao kwenye hospitali za India. Itakuwa nafuu kwako.
lakini si mtu mjinga akifundishwa na mjanja anaweza kuachana na ujinga? Kawafundishe hao viongozi kwamba hapo China hali ni nafuu zaidi. Wakiondokana na ujinga wao, na wewe utapata viongozi imara zaidi na nyote mtakuwa wajanja!Mwendo wa parcel tu
Kuna wakati mtu anatakiwa ajifunze kwa vitendolakini si mtu mjinga akifundishwa na mjanja anaweza kuachana na ujinga? Kawafundishe hao viongozi kwamba hapo China hali ni nafuu zaidi. Wakiondokana na ujinga wao, na wewe utapata viongozi imara zaidi na nyote mtakuwa wajanja!
Atajifunza vipi akisha rudi kama 'parcel'?Kuna wakati mtu anatakiwa ajifunze kwa vitendo
Wenzake waliobakiAtajifunza vipi akisha rudi kama 'parcel'?
Kwani 'parcels' zimeanza karibuni. Watajifunza lini sasa?Wenzake waliobaki
Nimefuatilia mjadala tangu umeanza kiswahili mpaka kiingereza na sasa kiswahili nimecheka sana, inaonekana mkuu Kalamu ni mtu mzima au mzee kabisa so ana busara fulani, na Mzee wa kupambania ni upcoming mtu mzima wananifurahisha sana.Nilichopenda hutumii panic wala matusi kwenye mjadala.
Hahahha.Hauna taaluma yoyote kwanza jifunze kutofautisha China na Taiwan
Hahah ila nyie wakuu.Sijaona jipya lolote hapo.
Mjadala ni hospitali za India kama vile Appolo wanako kwenda viongozi wetu.
Mjadala wa hayo madawa ukitaka nitakufundisha toka A hadi Z, bila ya wasiwasi wowote.
Apolo hawa ni wachezesha Nyaya za umeme(stima) alafu zikipiga Shoti wanaepa OloloyayeIndia iko overrated sana na Watanzania
Mtu una hela na mtumishi mkubwa tu serikalini eti unaenda India
Huwezi kusikia kiongozi mkubwa wa mataifa ya Ulaya, Far East Asia, Latin America au Middle East ameenda India
Huu utamaduni wa kwenda India sijui tumeutolea wapi?
Hahaahahah aisee.Mimi nipo hapa na wewe; kama kuna mwingine huko pembeni hilo halinihusu.
KalamuApolo hawa ni wachezesha Nyaya za umeme(stima) alafu zikipiga Shoti wanaepa Ololoyaye