Hili la kufungwa barabara limekaaje? Kwa namna hali ilivyokuwa leo kwenye usafiri maeneo ya Posta na Kivukoni mpaka ifike hiyo tarehe 30 tutakuwa hoi

Marekani wanapishwa Wakulima na Wawekezaji wakubwa ila viongozi hawapishwi.

Bongo - Vice versa is true.
 
Nenda kwenu wageni wetu wakiondoka tutakujulisha.
 
Alipokuja Obama barabara za town zote zilifungwa na kupigwa deki...
Maeneo mengi ya katikati ya jiji barabara zinafanyiwa ukarabati kwa spidi sana, kabla ilishindikana nini kufanyika hivyo au ndio mpaka kuwe na sababu?
 
Kwa michango ya baadhi ya wadau waliopo kwenye nchi za ulaya huko hili haliwezi kufanyika.
 
Ngurdoto ilikuwa na uwezo wa kukaaa na viongozi wote hao,wakaiua,sasa angalia wanavyotesela na Jiji lisilo kuwa na mpangilio.
 
Ngurdoto ilikuwa na uwezo wa kukaaa na viongozi wote hao,wakaiua,sasa angalia wanavyotesela na Jiji lisilo kuwa na mpangilio.
Kwakweli dar haikupangiliwa kabisa, kuna maeneo ukiingia unabaki unashangaa mpangilio wa miundombinu karibia yote ulivyo wa kiwango cha chini.
 
Kwakweli dar haikupangiliwa kabisa, kuna maeneo ukiingia unabaki unashangaa mpangilio wa miundombinu karibia yote ulivyo wa kiwango cha chini.
Eneo la keko juu ya lile bonde la reli karibu na kamata,na msd Kuna viwanda vimetelekezwa ingeandaliwa barabara ya chini kwa chini mpaka airport kwa ajiri ya dharula kama hizi na eneo la bahari kwenye kisiwa kidogo pale magogoni lingegeuzwa capitol zone Ikulu Iko sehemu yenyewe harufu kali
 
Wanaomshauri Rais wanamtengenezea chuki na wananchi
 
Hata wakifunga wana options nyingi ingawa huu upuuzi hamna. Si uliona mazishi ya Lizzy hawa wanaofunga njia leo walipakiwa kwenye daladala na walitulia tuliiii.
 
Wanaomshauri Rais wanamtengenezea chuki na wananchi
Waliangalie hili, inashangaza kuna vitu kukiwa na ugeni havipewi kipaumbele kabisa. Mfano ishu ya usafi naona dustbin nyingi kila kona wakati kabla ya ugeni hakuna kitu kama hicho, je zoezi litakuwa endelevu au ndio tunafanya usafi mgeni akiwepo tu?
 
Hayo maeneo uliyoyasema yana wenyewe sidhani kama ni rahisi kuwatoa na ukizingatia ni wale wale wenye mamlaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…