Hili la kukopa pesa IMF/ WB kwa ajili ya Ruzuku ya Mafuta hapana

Hili la kukopa pesa IMF/ WB kwa ajili ya Ruzuku ya Mafuta hapana

Hebu nitoeni ushamba katika hili, ina maana serikali ikishalipa mishahara huwa haibakiwi na kitu hazina,

sababu karibu Kila wakitaka kufanya kitu wanakopa, lakini ndege tunaambiwa pesa inalipwa yote bila kuacha hata deni la shilingi 100,
Kama Wana jeuri ya kununua ndege cash kwa nini katika hili pia wasitoe cash kumaliza tatizo,

hapo hujakutana na msafara wa mawaziri achilia mbali ule wa raisi magari mengi kupita kiasi
Kuna vitu ambavyo waki vipunguza wanaweza kufanya mengi tuu bila mikopo

Ni mawazo yangu tuu ya kijinga
🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶🚶
Wanakomba zote
 
Hebu nitoeni ushamba katika hili, ina maana serikali ikishalipa mishahara huwa haibakiwi na kitu hazina,

sababu karibu Kila wakitaka kufanya kitu wanakopa, lakini ndege tunaambiwa pesa inalipwa yote bila kuacha hata deni la shilingi 100,
Kama Wana jeuri ya kununua ndege cash kwa nini katika hili pia wasitoe cash kumaliza tatizo,

hapo hujakutana na msafara wa mawaziri achilia mbali ule wa raisi magari mengi kupita kiasi
Kuna vitu ambavyo waki vipunguza wanaweza kufanya mengi tuu bila mikopo

Ni mawazo yangu tuu ya kijinga
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Nusu ya makusanyo yanalipa malishahara, robo inalipa Deni, iliyobaki inatumika kwenye matumizi mengine haya ya kuendesha serikali ,kidogo sana kichobaki ndio kinaenda kwenye Maendeleo.
Nchi ya kusadikika hii
 
Nusu ya makusanyo yanalipa malishahara, robo inalipa Deni, iliyobaki inatumika kwenye matumizi mengine haya ya kuendesha serikali ,kidogo sana kichobaki ndio kinaenda kwenye Maendeleo.
Nchi ya kusadikika hii
Ndio maana tunasema waondoe huo ujinga..

Imagine Afisa elimu kata anafanya Kazi gani? Futa hicho cheo na mavyeo mengine ya kipuuzi
 
Wakifuta ajira zitapungua
Mzee uwe unafikiria,Tanzania kuna kata zaidi ya 3,000 hapo unafuta hiyo ofisi ila hao watumishi ni walimu unawapanga kazini..

Inamaana hapo utakuwa umeondoa gharama ya kuendesha ofisi ikiwa ni pamoja na posho za madaraka wanazoliowa Sao hakuna ajira iliyopungua bali ume cut administration cost.
 
Pamoja na Nia njema ya kuleta unafuu wa bei za mafuta/ petroli lakini njia ya kwenda Kukopa haifai.

Tulikubaliana kama Taifa tutakopa kwa ajili ya miradi ila sio kwa ajili ya kula na mambo kama hayo.

Kwa sasa Tanzania ina nafasi ya kukopesheka na ni fursa ya kuitumia kwa ajili ya kujengea miradi ya kimkakati ya kuchochea uchumi kama Bagamoyo Port,Liganga/ Mchuchuma,Magadi soda Engaruka nk lakini sio Kukopa Ili kulipia mafuta.

Serikali isipende kutafuta njia shortcut ambazo kesho zitaumiza uchumi na maisha ya watu.Nchi nyingi zinaumizwa na mikopo kama Zambia,Kenya,Ghana,Angola,Sri Lanka nk.

Serikali inaweza kabisa kutoa ruzuku kwa kupunguza gharama zake za utawala,kwa kufanya yafuatayo'

1. Kufuta au kupunguza kwa nusu ruzuku za vyama vya siasa.

2. Kuacha kununua Magari ya serikali yanayotumia mafuta mengi kama mashangingi kwa maofisa wake isipokuwa viongozi wa kitaifa tuu.

3. Kupunguza bajeti ya mafuta Kwa viongozi wa serikali maana yanatumika kwa binafsi kuliko kwa Kazi za serikali,na wengine huwa wanaenda kubadilisha kwenye vituo vya mafuta wanapewa pesa wanatafuna.

4. Kubadili mfumo wa magari ya serikali kuwa ya gas au umeme Ili kupunguza au kuacha kutumia mafuta..Hili hata watu binafsi wawekewe hii huduma ila lazima Serikali ionyeshe mfano.

4.Kupunguza au kufuta kabisa ile inayoitwa Mfuko wa Jimbo, yaani serikali inapeleka mabilioni kwenye Mfuko wa Jimbo kwa ajili ya nini hasa?

5. Kupunguza mishahara,marupurupu nk kwa viongozi wote wa juu kuanzia kwa wakuu wa Idara na Taasisi hadi Kwa Rais wakiwemo Wabunge.

6.Kupunguza na kufuta mamikataba yasiyo na tija kwa mfano Ule wa Tanesco na wahindi kwa ajili ya software..

7.Kupunguza Utitiri wa Taasisi za serikali zinazofanya majukumu yanayofanana eg Sido,Tirdo,Temdo,NDC,CAMARTEC,Temesa,Brela,TanTrade,TIC,EPZA,Wakala wa vipimo,TBS,TBA,NHC,Watumishi Housing,Mzinga Corporation,FCC,FCT,NEEC ,kila wizara kuwa na chuo/ vyuo vyake huko kozi zinazofundishwa zipo pia kwenye vyuo vingine nk

7.Kukusanya Kodi stahiki kwa sababu TRA inazembea kukusanya na kubuni vyanzo vipya vya mapato..

Yaani haihitaji Kukopa wala kuondoa Kodi kwenye mafuta au kufuta vyanzo vya maendeleo kama Kodi za Tarura,TanRoads,Fuwasa na Reli..

Tukikomaa na hayo niliyoeleza hapo juu na mengine mtakayoongeza tutaokoa na kupata pesa nyingi sana zaidi ya bil.600 ambayo inaweza kutoa ruzuku walau kwa miezi 5- 7 wakati tunajipanga kwa hatua za mda mrefu.

Wananchi tuungane kupinga na kukataa kuchukua mkopo kwa ajili ya Ruzuku.[emoji116]

8.Ubunge wa viti maalum na wa kuteuliwa ufutwe

9.Nafasi za Mkuu wa wilaya zifutwe, wabaki DAS.

10. Ziara za mawaziri zidhibitwe, hakuna haja ya waziri Nape kuzunguka na chopa.

11.Nafasi za Manaibu waziri zipunguzwe, wabaki makatibu wakuu wa wizara.
 
8.Ubunge wa viti maalum na wa kuteuliwa ufutwe

9.Nafasi za Mkuu wa wilaya zifutwe, wabaki DAS.

10. Ziara za mawaziri zidhibitwe, hakuna haja ya waziri Nape kuzunguka na chopa.

11.Nafasi za Manaibu waziri zipunguzwe, wabaki makatibu wakuu wa wizara.
Hizo zingine zinahaitaji mchakato wa Katiba ila zile za Juu ni sheria tuu fasta zinaondolewa.
 
Mzee uwe unafikiria,Tanzania kuna kata zaidi ya 3,000 hapo unafuta hiyo ofisi ila hao watumishi ni walimu unawapanga kazini..

Inamaana hapo utakuwa umeondoa gharama ya kuendesha ofisi ikiwa ni pamoja na posho za madaraka wanazoliowa Sao hakuna ajira iliyopungua bali ume cut administration cost.
huko wanaopenda si wataziba gap la watu 3000 ambao ilibidi waajiriwe.
 
Hivi wewe uliyekariri makaratasi inakutosha kichwani kweli?

Kwa hiyo ukiunganisha mataasisi hayo kibao huokoi pesa zilizokuwa zimetengwa huko kwa ajili ya administration?

Tarura walikuwa na Meneja kila Halmashauri jumla 184 wakapunguza wakawa na Meneja kila wailaya ikapunguza gharama za utawala kwa 30% ,sasa wewe unaongea nini?

Nyie majitu ya makaratasi huwa ni zero kabisa,mna akili za makaratasi ila IQ zenu ni ndogo Sana.
Hujajadili mkopo kwa data.

You are an innumerate.
 
Naunga mkono hoja yako

Kukopa kwa ajiri ya mafuta hapana! Je itakuwaje bei ikizidi kupanda? Tutaendelea kukopa?

Hapa zitumike njia mbadala kama hii iliyotumika sasa ya kutoa bil 100. Kukopa ni mzigo sana
Hayo mawazo ndio tulitegemea yatolewe na mawaziri wetu kama suluhisho la matatizo ya mfumuko wa bei kwa jumla na sio kupanda kwa bei ya mafuta tu. Hopefully, wabunge watapita humu na kuchota hekima wakati Hangaya yuko nje ya nchi!!
Kutafuta shortcuts za kwenda kukopa IMF/WB kwa tatizo la mafuta sio suluhisho la matatizo yetu ila ni kujiongexea matatizo!
Ziko njia nyingi za Kubana matumizi serikalini zaidi ya hizo zilizoaishwa hapo awali ambazo zikitekelezwa kwa dhati zitakuwa bora kuliko kwenda kuongeza deni la Taifa bila tija!
 
sidhani kama ni kweli bilion 100 ni fedha kidogo sana ukiangalia na ukubwa wa tatizo matajiri wachache wanaweza kukopesha serikali hiyo hela au kwa selikali kuuza bond zake hivyo sio kweli tunadanganyana
Hata mm nashangaa watu wanafurahia na kumsifisa kwa hela kidogo namna hio,bil 100 kwa serikali ni hela ndogo saaana tena saana
 
Hayo mawazo ndio tulitegemea yatolewe na mawaziri wetu kama suluhisho la matatizo ya mfumuko wa bei kwa jumla na sio kupanda kwa bei ya mafuta tu. Hopefully, wabunge watapita humu na kuchota hekima wakati Hangaya yuko nje ya nchi!!
Kutafuta shortcuts za kwenda kukopa IMF/WB kwa tatizo la mafuta sio suluhisho la matatizo yetu ila ni kujiongexea matatizo!
Ziko njia nyingi za Kubana matumizi serikalini zaidi ya hizo zilizoaishwa hapo awali ambazo zikitekelezwa kwa dhati zitakuwa bora kuliko kwenda kuongeza deni la Taifa bila tija!
Wabunge wa wapi wale pimbi wakati walipewa hiyo fursa na ndio walikuwa wanashadidia mikopo na eti kutoa Kodi wakati kuna sehemu muhimu za kuweza kutoa pesa.
 
Pamoja na Nia njema ya kuleta unafuu wa bei za mafuta/ petroli lakini njia ya kwenda Kukopa haifai.

Tulikubaliana kama Taifa tutakopa kwa ajili ya miradi ila sio kwa ajili ya kula na mambo kama hayo.

Kwa sasa Tanzania ina nafasi ya kukopesheka na ni fursa ya kuitumia kwa ajili ya kujengea miradi ya kimkakati ya kuchochea uchumi kama Bagamoyo Port,Liganga/ Mchuchuma,Magadi soda Engaruka nk lakini sio Kukopa Ili kulipia mafuta.

Serikali isipende kutafuta njia shortcut ambazo kesho zitaumiza uchumi na maisha ya watu.Nchi nyingi zinaumizwa na mikopo kama Zambia,Kenya,Ghana,Angola,Sri Lanka nk.

Serikali inaweza kabisa kutoa ruzuku kwa kupunguza gharama zake za utawala,kwa kufanya yafuatayo'

1. Kufuta au kupunguza kwa nusu ruzuku za vyama vya siasa.

2. Kuacha kununua Magari ya serikali yanayotumia mafuta mengi kama mashangingi kwa maofisa wake isipokuwa viongozi wa kitaifa tuu.

3. Kupunguza bajeti ya mafuta Kwa viongozi wa serikali maana yanatumika kwa binafsi kuliko kwa Kazi za serikali,na wengine huwa wanaenda kubadilisha kwenye vituo vya mafuta wanapewa pesa wanatafuna.

4. Kubadili mfumo wa magari ya serikali kuwa ya gas au umeme Ili kupunguza au kuacha kutumia mafuta..Hili hata watu binafsi wawekewe hii huduma ila lazima Serikali ionyeshe mfano.

4.Kupunguza au kufuta kabisa ile inayoitwa Mfuko wa Jimbo, yaani serikali inapeleka mabilioni kwenye Mfuko wa Jimbo kwa ajili ya nini hasa?

5. Kupunguza mishahara,marupurupu nk kwa viongozi wote wa juu kuanzia kwa wakuu wa Idara na Taasisi hadi Kwa Rais wakiwemo Wabunge.

6.Kupunguza na kufuta mamikataba yasiyo na tija kwa mfano Ule wa Tanesco na wahindi kwa ajili ya software..

7.Kupunguza Utitiri wa Taasisi za serikali zinazofanya majukumu yanayofanana eg Sido,Tirdo,Temdo,NDC,CAMARTEC,Temesa,Brela,TanTrade,TIC,EPZA,Wakala wa vipimo,TBS,TBA,NHC,Watumishi Housing,Mzinga Corporation,FCC,FCT,NEEC ,kila wizara kuwa na chuo/ vyuo vyake huko kozi zinazofundishwa zipo pia kwenye vyuo vingine nk

7.Kukusanya Kodi stahiki kwa sababu TRA inazembea kukusanya na kubuni vyanzo vipya vya mapato..

Yaani haihitaji Kukopa wala kuondoa Kodi kwenye mafuta au kufuta vyanzo vya maendeleo kama Kodi za Tarura,TanRoads,Fuwasa na Reli..

Tukikomaa na hayo niliyoeleza hapo juu na mengine mtakayoongeza tutaokoa na kupata pesa nyingi sana zaidi ya bil.600 ambayo inaweza kutoa ruzuku walau kwa miezi 5- 7 wakati tunajipanga kwa hatua za mda mrefu.

Wananchi tuungane kupinga na kukataa kuchukua mkopo kwa ajili ya Ruzuku.[emoji116]

Kwa kweli una mawazo mazr xn ndg, ingekua viongozi wetu wanauzalendo wa kweli wangeyachukua na kuyafanyia kazi

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Marehemu angekosa kuwavuruga wawekezaji, sahizi tungekuwa na LNG plant. Magari mengi, hasa madogo, yangekuwa yanatumia liquidified gas badala ya petrol. Mapato makubwa toka kwenye gas yangeweza ku-subsidize bei ya diesel. Mtu mmoja akaharibu prospects za Watanzania wote.

Leo tunaanza upya kuwabembeleza wawekezaji ambao tayari tulikuwa nao.

Baada ya kutambua kuwa ameharibu,marehemu, akaanza kuwadanganya wajinga eti gas yetu imeuzwa kwa Wachina. Na majitu majinga yakaanza kushangilia, bila ya kujiuliza hiyo gas imeuzwaje kwa Wachina!!

Nchi hii tatizo kubwa ni kukosa viongozi wenye maono na uwezo. We had agreat leader Nyerere, akaja Mwinyi, akatudondosha, Mkapa alituinua sana toka kwenye lindi la uharibifu wa uchumi, Kikwete alipoingia akatapanya pesa lakini akaweza pia kutafuta pesa, akaja Magufuli akaharibu kabisa. Akaua hata kidogo tulichokuwa tumefanikiwa. Akafukuza wawekezaji wa ndani na wa kimataifa kutokana na uongozi wake mbaya. Sasa tunaye Samia, sijui atatufikisha wapi, lakini kwa vyovyote, she is much better than Magufuli.

Suluhisho ni kuwa na katiba itakayowabana watawala kuliko hii inayompa uhuru Rais kupuyanga kama anavyotaka.
Hapo kwa Mwinyi umepuyanga....Mwinyi aliikuta nchi haina kitu kabisa....uchumi ulikuwa hoi....Mwinyi akainyanyua
 
Pamoja na Nia njema ya kuleta unafuu wa bei za mafuta/ petroli lakini njia ya kwenda Kukopa haifai.

Tulikubaliana kama Taifa tutakopa kwa ajili ya miradi ila sio kwa ajili ya kula na mambo kama hayo.

Kwa sasa Tanzania ina nafasi ya kukopesheka na ni fursa ya kuitumia kwa ajili ya kujengea miradi ya kimkakati ya kuchochea uchumi kama Bagamoyo Port,Liganga/ Mchuchuma,Magadi soda Engaruka nk lakini sio Kukopa Ili kulipia mafuta.

Serikali isipende kutafuta njia shortcut ambazo kesho zitaumiza uchumi na maisha ya watu.Nchi nyingi zinaumizwa na mikopo kama Zambia,Kenya,Ghana,Angola,Sri Lanka nk.

Serikali inaweza kabisa kutoa ruzuku kwa kupunguza gharama zake za utawala,kwa kufanya yafuatayo'

1. Kufuta au kupunguza kwa nusu ruzuku za vyama vya siasa.

2. Kuacha kununua Magari ya serikali yanayotumia mafuta mengi kama mashangingi kwa maofisa wake isipokuwa viongozi wa kitaifa tuu.

3. Kupunguza bajeti ya mafuta Kwa viongozi wa serikali maana yanatumika kwa binafsi kuliko kwa Kazi za serikali,na wengine huwa wanaenda kubadilisha kwenye vituo vya mafuta wanapewa pesa wanatafuna.

4. Kubadili mfumo wa magari ya serikali kuwa ya gas au umeme Ili kupunguza au kuacha kutumia mafuta..Hili hata watu binafsi wawekewe hii huduma ila lazima Serikali ionyeshe mfano.

4.Kupunguza au kufuta kabisa ile inayoitwa Mfuko wa Jimbo, yaani serikali inapeleka mabilioni kwenye Mfuko wa Jimbo kwa ajili ya nini hasa?

5. Kupunguza mishahara,marupurupu nk kwa viongozi wote wa juu kuanzia kwa wakuu wa Idara na Taasisi hadi Kwa Rais wakiwemo Wabunge.

6.Kupunguza na kufuta mamikataba yasiyo na tija kwa mfano Ule wa Tanesco na wahindi kwa ajili ya software..

7.Kupunguza Utitiri wa Taasisi za serikali zinazofanya majukumu yanayofanana eg Sido,Tirdo,Temdo,NDC,CAMARTEC,Temesa,Brela,TanTrade,TIC,EPZA,Wakala wa vipimo,TBS,TBA,NHC,Watumishi Housing,Mzinga Corporation,FCC,FCT,NEEC ,kila wizara kuwa na chuo/ vyuo vyake huko kozi zinazofundishwa zipo pia kwenye vyuo vingine nk

7.Kukusanya Kodi stahiki kwa sababu TRA inazembea kukusanya na kubuni vyanzo vipya vya mapato..

Yaani haihitaji Kukopa wala kuondoa Kodi kwenye mafuta au kufuta vyanzo vya maendeleo kama Kodi za Tarura,TanRoads,Fuwasa na Reli..

Tukikomaa na hayo niliyoeleza hapo juu na mengine mtakayoongeza tutaokoa na kupata pesa nyingi sana zaidi ya bil.600 ambayo inaweza kutoa ruzuku walau kwa miezi 5- 7 wakati tunajipanga kwa hatua za mda mrefu.

Wananchi tuungane kupinga na kukataa kuchukua mkopo kwa ajili ya Ruzuku.[emoji116]

We shoga acha kelele mjambiani ana upiga mwingi
 
Unapandishiwa kodi ya nyumba kisha wewe unaenda kukopa kwa riba kufidia ongezeko la kodi. Hii kwangu mm ni wrong move.
 
Magufuli alikopa Trilioni 30 mkakaa kimya ila hiyo bilioni 100 inawawasha.
Sukuma gang MNA shida sana.
Huyo mtoa mada ni team hangaya [emoji23][emoji23][emoji23] mmeanza kupakaziana wenyewe. Muacheni JPM apumzike, alikua best ma ukweli kamwe hautojificha.
 
Huyo mtoa mada ni team hangaya [emoji23][emoji23][emoji23] mmeanza kupakaziana wenyewe. Muacheni JPM apumzike, alikua best ma ukweli kamwe hautojificha.
Sinaga ushabiki maandazi kwa hiyo nikiona serikali inakosea nawajibika kutoa ushauri naoona unafaa..

Mkopo wa mafuta hapana
 
Back
Top Bottom