Mnaposhabikia kitu kibovu, at some point lazima mpoteane.By the way watu mnaomshabikia Rais Samia Kwanini hamjuani?.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnaposhabikia kitu kibovu, at some point lazima mpoteane.By the way watu mnaomshabikia Rais Samia Kwanini hamjuani?.
Moron 🤣🤣Propoganda tu hizo...Utakuja sikia mkurugenzi wa maji Dodoma afisadi billion 10! Usimamizi mbovu
imepenya hioMoron 🤣🤣
Hebu breakdown hii tukuelewe.Magufuli alikopa Trilioni 30 mkakaa kimya ila hiyo bilioni 100 inawawasha.
Sukuma gang MNA shida sana.
Tulikubaliana kama Taifa tutakopa kwa ajili ya miradi ila sio kwa ajili ya kula na mambo kama hayo.