Hvi ukikuta umskini nyumbani kwenu halafu ukatafuta pesa kwa nguvu zote ujanani halafu uzeeni ukala hiyo hela na malaya ukaacha familia yako hoi kipi kitakuwa na picha mbaya zaidi? Kukuta umaskini nyumbani kwenu halafu ukajitahidi kutafuta pesa na ukaipata au Kutumia pesa uliyoipata vibaya hadi familia yako ikabaki hoi? SO, THAT IS WHAT HAPPENED DURING MWINYI SENIOR'S REGIME!Hapo kwa Mwinyi umepuyanga....Mwinyi aliikuta nchi haina kitu kabisa....uchumi ulikuwa hoi....Mwinyi akainyanyua
Ajira hazipungui bali wafanyaki wanakuwa merged huko hukoHakika, ila na ajira zitapungua sana...
Ulikuwepo kipindi cha Mwinyi? .......Mwinyi alikuta nchi haina kitu...Wananchi wana hali ngumu ya kimaisha...mahitaji muhimu ya kibinadamu kama sukari, mafuta ya kupikia, sabuni, nguo upatikanaji wake ni washida..... ....pesa za kulipa watumishi wa umma hakuna.....akabadili sera na kuwapa nafuu wananchi mpaka mahitaji yote hayo hapo juu yakapatikana.......YUPI NI BABA BORA...YULE ALIESABABISHA WATOTO WAKE WAKALA MILO MITATU...AU YULE ALIEWAFANYA WATOTO WAKE WAKALA MLO MMOJA?......Hata hizo nguo za mtumba unazovaa ni Mwinyi ndio aliziruhusu....Kipindi cha Nyerere hazikuwepo, wananchi walikuwa wanavaa kaniki .....nguo zimejaaa viraka kila kona.Hvi ukikuta umskini nyumbani kwenu halafu ukatafuta pesa kwa nguvu zote ujanani halafu uzeeni ukala hiyo hela na malaya ukaacha familia yako hoi kipi kitakuwa na picha mbaya zaidi? Kukuta umaskini nyumbani kwenu halafu ukajitahidi kutafuta pesa na ukaipata au Kutumia pesa uliyoipata vibaya hadi familia yako ikabaki hoi? SO, THAT IS WHAT HAPPENED DURING MWINYI SENIOR'S REGIME!
Qoomah kweli ww, alikopa trillion 30 toka mkoonduni mwako au? Acheni kumsingizia mzee wa watu vitu vya kipumbavu namna hio! Hakuwa na mahusiano mazuri na mabeberu sasa alikopaje hela zote hizo kama sio choko choko tuMagufuli alikopa Trilioni 30 mkakaa kimya ila hiyo bilioni 100 inawawasha.
Sukuma gang MNA shida sana.
Hana lolote zaidi ya murvy kichwani huyo, mama wanaempigia chapuo na mawaziri wake wamefuja hela nyingi ndani ya miezi michache tu baada ya jembe letu kutuacha. Idadi ya hela alizokopa kwa miezi 10 ya awali tu baada ya kuachiwa nchi zinazidi alizokopa mwenzie kwa miaka 5Hebu thibitisha!
Hatimae leo umetumia kilichopo kichwani mwako vyema bila kuingiza mahaba kwa mama wa kamboPamoja na Nia njema ya kuleta unafuu wa bei za mafuta/ petroli lakini njia ya kwenda Kukopa haifai.
Tulikubaliana kama Taifa tutakopa kwa ajili ya miradi ila sio kwa ajili ya kula na mambo kama hayo.
Kwa sasa Tanzania ina nafasi ya kukopesheka na ni fursa ya kuitumia kwa ajili ya kujengea miradi ya kimkakati ya kuchochea uchumi kama Bagamoyo Port,Liganga/ Mchuchuma,Magadi soda Engaruka nk lakini sio Kukopa Ili kulipia mafuta.
Serikali isipende kutafuta njia shortcut ambazo kesho zitaumiza uchumi na maisha ya watu.Nchi nyingi zinaumizwa na mikopo kama Zambia,Kenya,Ghana,Angola,Sri Lanka nk.
Serikali inaweza kabisa kutoa ruzuku kwa kupunguza gharama zake za utawala,kwa kufanya yafuatayo'
1. Kufuta au kupunguza kwa nusu ruzuku za vyama vya siasa.
2. Kuacha kununua Magari ya serikali yanayotumia mafuta mengi kama mashangingi kwa maofisa wake isipokuwa viongozi wa kitaifa tuu.
3. Kupunguza bajeti ya mafuta Kwa viongozi wa serikali maana yanatumika kwa binafsi kuliko kwa Kazi za serikali,na wengine huwa wanaenda kubadilisha kwenye vituo vya mafuta wanapewa pesa wanatafuna.
4. Kubadili mfumo wa magari ya serikali kuwa ya gas au umeme Ili kupunguza au kuacha kutumia mafuta..Hili hata watu binafsi wawekewe hii huduma ila lazima Serikali ionyeshe mfano.
4.Kupunguza au kufuta kabisa ile inayoitwa Mfuko wa Jimbo, yaani serikali inapeleka mabilioni kwenye Mfuko wa Jimbo kwa ajili ya nini hasa?
5. Kupunguza mishahara,marupurupu nk kwa viongozi wote wa juu kuanzia kwa wakuu wa Idara na Taasisi hadi Kwa Rais wakiwemo Wabunge.
6.Kupunguza na kufuta mamikataba yasiyo na tija kwa mfano Ule wa Tanesco na wahindi kwa ajili ya software..
7.Kupunguza Utitiri wa Taasisi za serikali zinazofanya majukumu yanayofanana eg Sido,Tirdo,Temdo,NDC,CAMARTEC,Temesa,Brela,TanTrade,TIC,EPZA,Wakala wa vipimo,TBS,TBA,NHC,Watumishi Housing,Mzinga Corporation,FCC,FCT,NEEC ,kila wizara kuwa na chuo/ vyuo vyake huko kozi zinazofundishwa zipo pia kwenye vyuo vingine nk
7.Kukusanya Kodi stahiki kwa sababu TRA inazembea kukusanya na kubuni vyanzo vipya vya mapato..
Yaani haihitaji Kukopa wala kuondoa Kodi kwenye mafuta au kufuta vyanzo vya maendeleo kama Kodi za Tarura,TanRoads,Fuwasa na Reli..
Tukikomaa na hayo niliyoeleza hapo juu na mengine mtakayoongeza tutaokoa na kupata pesa nyingi sana zaidi ya bil.600 ambayo inaweza kutoa ruzuku walau kwa miezi 5- 7 wakati tunajipanga kwa hatua za mda mrefu.
Wananchi tuungane kupinga na kukataa kuchukua mkopo kwa ajili ya Ruzuku.π
Kwani serikali inaajiri kwa sababu ya kukusaidia wewe jobless? Ina ajiri kulingana na mahitaji na uwezo..huko wanaopenda si wataziba gap la watu 3000 ambao ilibidi waajiriwe.
maranyingi tumekuwa tukipingana sana kwa hoja bhana @ Sunk Cost Fallacy ila kwa bandiko lako la leo nimekuelewa sana kakaPamoja na Nia njema ya kuleta unafuu wa bei za mafuta/ petroli lakini njia ya kwenda Kukopa haifai.
Tulikubaliana kama Taifa tutakopa kwa ajili ya miradi ila sio kwa ajili ya kula na mambo kama hayo.
Kwa sasa Tanzania ina nafasi ya kukopesheka na ni fursa ya kuitumia kwa ajili ya kujengea miradi ya kimkakati ya kuchochea uchumi kama Bagamoyo Port,Liganga/ Mchuchuma,Magadi soda Engaruka nk lakini sio Kukopa Ili kulipia mafuta.
Serikali isipende kutafuta njia shortcut ambazo kesho zitaumiza uchumi na maisha ya watu.Nchi nyingi zinaumizwa na mikopo kama Zambia,Kenya,Ghana,Angola,Sri Lanka nk.
Serikali inaweza kabisa kutoa ruzuku kwa kupunguza gharama zake za utawala,kwa kufanya yafuatayo'
1. Kufuta au kupunguza kwa nusu ruzuku za vyama vya siasa.
2. Kuacha kununua Magari ya serikali yanayotumia mafuta mengi kama mashangingi kwa maofisa wake isipokuwa viongozi wa kitaifa tuu.
3. Kupunguza bajeti ya mafuta Kwa viongozi wa serikali maana yanatumika kwa binafsi kuliko kwa Kazi za serikali,na wengine huwa wanaenda kubadilisha kwenye vituo vya mafuta wanapewa pesa wanatafuna.
4. Kubadili mfumo wa magari ya serikali kuwa ya gas au umeme Ili kupunguza au kuacha kutumia mafuta..Hili hata watu binafsi wawekewe hii huduma ila lazima Serikali ionyeshe mfano.
4.Kupunguza au kufuta kabisa ile inayoitwa Mfuko wa Jimbo, yaani serikali inapeleka mabilioni kwenye Mfuko wa Jimbo kwa ajili ya nini hasa?
5. Kupunguza mishahara,marupurupu nk kwa viongozi wote wa juu kuanzia kwa wakuu wa Idara na Taasisi hadi Kwa Rais wakiwemo Wabunge.
6.Kupunguza na kufuta mamikataba yasiyo na tija kwa mfano Ule wa Tanesco na wahindi kwa ajili ya software..
7.Kupunguza Utitiri wa Taasisi za serikali zinazofanya majukumu yanayofanana eg Sido,Tirdo,Temdo,NDC,CAMARTEC,Temesa,Brela,TanTrade,TIC,EPZA,Wakala wa vipimo,TBS,TBA,NHC,Watumishi Housing,Mzinga Corporation,FCC,FCT,NEEC ,kila wizara kuwa na chuo/ vyuo vyake huko kozi zinazofundishwa zipo pia kwenye vyuo vingine nk
7.Kukusanya Kodi stahiki kwa sababu TRA inazembea kukusanya na kubuni vyanzo vipya vya mapato..
Yaani haihitaji Kukopa wala kuondoa Kodi kwenye mafuta au kufuta vyanzo vya maendeleo kama Kodi za Tarura,TanRoads,Fuwasa na Reli..
Tukikomaa na hayo niliyoeleza hapo juu na mengine mtakayoongeza tutaokoa na kupata pesa nyingi sana zaidi ya bil.600 ambayo inaweza kutoa ruzuku walau kwa miezi 5- 7 wakati tunajipanga kwa hatua za mda mrefu.
Wananchi tuungane kupinga na kukataa kuchukua mkopo kwa ajili ya Ruzuku.[emoji116]
Chief kaona hii ni shortcut solution ya ku solve hili tatizo kumbe hajui kama anaongeza ukubwa wa tatizoNaunga mkono hoja yako
Kukopa kwa ajiri ya mafuta hapana! Je itakuwaje bei ikizidi kupanda? Tutaendelea kukopa?
Hapa zitumike njia mbadala kama hii iliyotumika sasa ya kutoa bil 100. Kukopa ni mzigo sana
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Hivi wewe uliyekariri makaratasi inakutosha kichwani kweli?
Kwa hiyo ukiunganisha mataasisi hayo kibao huokoi pesa zilizokuwa zimetengwa huko kwa ajili ya administration?
Tarura walikuwa na Meneja kila Halmashauri jumla 184 wakapunguza wakawa na Meneja kila wailaya ikapunguza gharama za utawala kwa 30% ,sasa wewe unaongea nini?
Nyie majitu ya makaratasi huwa ni zero kabisa,mna akili za makaratasi ila IQ zenu ni ndogo Sana.
mawazo yako sio mabaya sana ila inatakiwa ufahamu kuwa ile pesa inayotumika kununua ndege ni pesa ambayo imesha pangiwa bajet kupitia wizara yake husikaHebu nitoeni ushamba katika hili, ina maana serikali ikishalipa mishahara huwa haibakiwi na kitu hazina,
sababu karibu Kila wakitaka kufanya kitu wanakopa, lakini ndege tunaambiwa pesa inalipwa yote bila kuacha hata deni la shilingi 100,
Kama Wana jeuri ya kununua ndege cash kwa nini katika hili pia wasitoe cash kumaliza tatizo,
hapo hujakutana na msafara wa mawaziri achilia mbali ule wa raisi magari mengi kupita kiasi
Kuna vitu ambavyo waki vipunguza wanaweza kufanya mengi tuu bila mikopo
Ni mawazo yangu tuu ya kijinga
[emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124][emoji124]
Ww ulienda shule.Pamoja na Nia njema ya kuleta unafuu wa bei za mafuta/ petroli lakini njia ya kwenda Kukopa haifai.
Tulikubaliana kama Taifa tutakopa kwa ajili ya miradi ila sio kwa ajili ya kula na mambo kama hayo.
Kwa sasa Tanzania ina nafasi ya kukopesheka na ni fursa ya kuitumia kwa ajili ya kujengea miradi ya kimkakati ya kuchochea uchumi kama Bagamoyo Port,Liganga/ Mchuchuma,Magadi soda Engaruka nk lakini sio Kukopa Ili kulipia mafuta.
Serikali isipende kutafuta njia shortcut ambazo kesho zitaumiza uchumi na maisha ya watu.Nchi nyingi zinaumizwa na mikopo kama Zambia,Kenya,Ghana,Angola,Sri Lanka nk.
Serikali inaweza kabisa kutoa ruzuku kwa kupunguza gharama zake za utawala,kwa kufanya yafuatayo'
1. Kufuta au kupunguza kwa nusu ruzuku za vyama vya siasa.
2. Kuacha kununua Magari ya serikali yanayotumia mafuta mengi kama mashangingi kwa maofisa wake isipokuwa viongozi wa kitaifa tuu.
3. Kupunguza bajeti ya mafuta Kwa viongozi wa serikali maana yanatumika kwa binafsi kuliko kwa Kazi za serikali,na wengine huwa wanaenda kubadilisha kwenye vituo vya mafuta wanapewa pesa wanatafuna.
4. Kubadili mfumo wa magari ya serikali kuwa ya gas au umeme Ili kupunguza au kuacha kutumia mafuta..Hili hata watu binafsi wawekewe hii huduma ila lazima Serikali ionyeshe mfano.
4.Kupunguza au kufuta kabisa ile inayoitwa Mfuko wa Jimbo, yaani serikali inapeleka mabilioni kwenye Mfuko wa Jimbo kwa ajili ya nini hasa?
5. Kupunguza mishahara,marupurupu nk kwa viongozi wote wa juu kuanzia kwa wakuu wa Idara na Taasisi hadi Kwa Rais wakiwemo Wabunge.
6.Kupunguza na kufuta mamikataba yasiyo na tija kwa mfano Ule wa Tanesco na wahindi kwa ajili ya software..
7.Kupunguza Utitiri wa Taasisi za serikali zinazofanya majukumu yanayofanana eg Sido,Tirdo,Temdo,NDC,CAMARTEC,Temesa,Brela,TanTrade,TIC,EPZA,Wakala wa vipimo,TBS,TBA,NHC,Watumishi Housing,Mzinga Corporation,FCC,FCT,NEEC ,kila wizara kuwa na chuo/ vyuo vyake huko kozi zinazofundishwa zipo pia kwenye vyuo vingine nk
7.Kukusanya Kodi stahiki kwa sababu TRA inazembea kukusanya na kubuni vyanzo vipya vya mapato..
Yaani haihitaji Kukopa wala kuondoa Kodi kwenye mafuta au kufuta vyanzo vya maendeleo kama Kodi za Tarura,TanRoads,Fuwasa na Reli..
Tukikomaa na hayo niliyoeleza hapo juu na mengine mtakayoongeza tutaokoa na kupata pesa nyingi sana zaidi ya bil.600 ambayo inaweza kutoa ruzuku walau kwa miezi 5- 7 wakati tunajipanga kwa hatua za mda mrefu.
Wananchi tuungane kupinga na kukataa kuchukua mkopo kwa ajili ya Ruzuku.[emoji116]
Nilienda choo cha mama yako,Ww ulienda shule.
Hujanielewa. Nakupongeza kwa bandiko lako. Tofautisha nukta na kiulizoNilienda choo cha mama yako
ππππ Sorry mkuu,tunatakiwa kulingana kuepusha balaa kama hili πHujanielewa. Nakupongeza kwa bandiko lako. Tofautisha nukta na kiulizo
Marehemu angekosa kuwavuruga wawekezaji, sahizi tungekuwa na LNG plant. Magari mengi, hasa madogo, yangekuwa yanatumia liquidified gas badala ya petrol. Mapato makubwa toka kwenye gas yangeweza ku-subsidize bei ya diesel. Mtu mmoja akaharibu prospects za Watanzania wote.
Leo tunaanza upya kuwabembeleza wawekezaji ambao tayari tulikuwa nao.
Baada ya kutambua kuwa ameharibu,marehemu, akaanza kuwadanganya wajinga eti gas yetu imeuzwa kwa Wachina. Na majitu majinga yakaanza kushangilia, bila ya kujiuliza hiyo gas imeuzwaje kwa Wachina!!
Nchi hii tatizo kubwa ni kukosa viongozi wenye maono na uwezo. We had agreat leader Nyerere, akaja Mwinyi, akatudondosha, Mkapa alituinua sana toka kwenye lindi la uharibifu wa uchumi, Kikwete alipoingia akatapanya pesa lakini akaweza pia kutafuta pesa, akaja Magufuli akaharibu kabisa. Akaua hata kidogo tulichokuwa tumefanikiwa. Akafukuza wawekezaji wa ndani na wa kimataifa kutokana na uongozi wake mbaya. Sasa tunaye Samia, sijui atatufikisha wapi, lakini kwa vyovyote, she is much better than Magufuli.
Suluhisho ni kuwa na katiba itakayowabana watawala kuliko hii inayompa uhuru Rais kupuyanga kama anavyotaka.
Endelea hivyo hivyo kuwa na mashakaMimi nikishaona Mtu anamsifia huyu mwanamke nakuwa tayari shakuwa na mashaka nae!,uliqnza vizuri ukamaliza hivyoo kabsaaaa