Hili la kukopa pesa IMF/ WB kwa ajili ya Ruzuku ya Mafuta hapana

Endelea hivyo hivyo kuwa na mashaka

Kwakweli hayawezi kuishaaa Mana haya madudu yote mnajadili hayajawai tokea hawamu yoyote tofauti na ya huyu Mama,kidogo na kwa kikwete Mana walikualaga hela za Dowans na umeme wao wa dharula....Alafu tuache chuki na marehemu
 
Kwakweli hayawezi kuishaaa Mana haya madudu yote mnajadili hayajawai tokea hawamu yoyote tofauti na ya huyu Mama,kidogo na kwa kikwete Mana walikualaga hela za Dowans na umeme wao wa dharula....Alafu tuache chuki na marehemu
Una uwezo mdogo Sana wa akili Mzee,ngoja niishie hapa
 
Kajipange upya,ww unatia shaka sana manaongelea madudu ya Mama mnamtwisha JPM mzigo!!!,Unatumia bln 7 kutengeneza movie alafu unaenda kukopa hela ya kuleta unafuu wa maisha??
Kwa hiyo Kuna shida kurekodi movie? Una tatizo la afya ya ubongo wako..

Turudi Kwenye mada naona unaleta mada mpya.
 
Kama wewe ulikuwepo kipindi hicho cha Mwinyi kuanzia 1985-1995 basi usingepata tabu kuelewa nilichokiandika. Kwani Nyerere alishindwa kuruhusu hayo aliyoruhusu Mwinyi? Au unataka kusema kwamba Nyerere uwezo wake kiungozi ulikuwa ni wa chini sana kuliko Mwinyi na ndio maana aling'atuka? Simtetei Nyerere wala Mwinyi ila nimeelezea facts ambazo kila aliyekuwepo kipindi hicho na alikuwa na akili timamu anajua ukweli huo.
 
Unajua sababu za Edwin Mtei kujiuzulu Ugavana wa BOT? Unaikumbuka njaa iliyotokea mwaka 1982 kwenye utawala wa Nyerere mpaka tukapewa msaada wa mahindi ya kulisha nguruwe na Marekani?.... Nyerere pamoja na mazuri yake yote, lakini kwenye uchumi ALIFELI.
 
mie sio chadema mzee na sijawahi kuwa chadema ila huwa unajiondoaga akili sana kusifia unafiki
Mnafiki ni serikali ichukue mikopo kwa miradi sio kuwapa madereva mafuta ya bei ya Chini Kwa mkopo,hiyo hapana.

Mkopo wenyewe sijui ndio huu au inakuaje๐Ÿ‘‡



 
Excellent. Wkt watu wanayaona hayo, kuna wanaopoteza muda wetu bungeni kujipigia debe waongezewe marprp na wngne, kama wake z marais wanaona wanachofanyiwa na serikali hakitoshi, wanagombea ubunge. Waanze na ya wabunge na za viongozi wa kisiasa.
Wako wagonjwa wasiojiweza na watt hawapati elimu stahiki kwa ajili ya wanasiasa kujilimbikizia miposho na mishahara ya ajabu.
Uzalendo ni pamoja na kuwakumbuka wanaoteseka
 
Ni wewe pekee ndio haujui ule mradi wa gas umeuzwa na watu walipiga 10% za kutosha.

Ungejikita kuelezea jinsi Katiba Mpya itatupunguzia hii bei ya juu kuwahi kutokea ya mafuta ungekuwa wa maana sana.

Watanzania tuna matatizo ya kulalamika tu. Seems umejawa chuki dhidi ya awamu ya tano, pole.

Hakikisha wanao wanasoma kihalali wasijekughushi vyeti kama wewe. ๐Ÿšฎ
 
Unajuwa ulicho andika? Haya bwana
 
Ameuziwa nani? Tangu lini migodi ikawa ya serikali?
 
Magari yenyewe muda mwingi yako bar
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ