Hili la kuweka vibao viwili Kwa Nchi Moja Tanzania na Zanzibar limekaaje?

Hili la kuweka vibao viwili Kwa Nchi Moja Tanzania na Zanzibar limekaaje?

Wakati tunaingia kwenye ule Muungano ile 1964, hakuna mtu yeyote aliyeulizwa, ila kwa upande wa Tanganyika Bunge la Tanganyika angalau lili ratify ule mkataba na kutunga sheria ya Muungano, lakini Zanzibar hakukufanyika ratification yoyote!, bali ni Rais Karume aliwaita wana Balozi na kuwaeleza tumeungana!. Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

Enzi za Nyerere, Mwinyi Mkapa na JK, ilikuwa ni mwiko kuujadili Muungano, chuma kilipoingia , JPM akatoa onto la fyoko fyoko Chonde Chonde Ndugu zetu Wazanzibari, Msilete Fyoko Fyoko, Mtaumia bure! aliyeruhusu watu kuujadili Muungano ni huyu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Hivyo elimu ya Muungano is made very simple!.
P
Shukran Mkuu kwa hizi sentensi za kijasiri. Binafsi, sioni cha kuongeza wala kujadili zaidi ya hapo.
 
Huyu mama akimaliza muda wake hivyo vituko hutaviona tena.

Watu wanapenda sana uchawa , Yote hayo yanafanyika kumfurahisha mtu,

At what expense?
 
Wenye nchi wasipokuwa makini kila kitu kitapelekwa zanzibar. Ila wenye nchi wako busy kusifu kwa nyimbo na mapambio huku wakikenua meno tu. Sijui kwanini hii nchi haina wazalendo walioko kwenye ngazi za maamuzi.
 
Hivi huna hata elimu ya kujua a chart of management? Or
A vertical organizational chart?

Endelea kufrahisha kijiwe bwashee
Wewe ndiyo unafurahisha kijiwe,si useme tu kwa mujibu wa katiba ibara fulani au kipengele fulani cha sheria atachukua hatua gani,simple tu.
 
Wewe nawe maswali gani haya?
Yaani wawapige nyie waache kuwapiga Wachina?
Swali ni je, Mchina anajua huo utofauti?🤣🤣🤣
Kwa kweli Mchina hawezi kujua, maana Mchina hajui Siasa , anajua mambo ya kuzalisha, sayansi,tekenolojia na Uchumi
 
Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi

Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
Mzee nakushauri uendelee na my
Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi

Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
mzee nakushauri uendelee na mambo yako mengine kwa sababu utakuja kuchanganyikiwa bure. Hata hao walioweka hivyo vibao hawana majibu
 
Kwa kweli Mchina hawezi kujua, maana Mchina hajui Siasa , anajua mambo ya kuzalisha, sayansi,tekenolojia na Uchumi
Na humo humo ndimo ccm wanapitia kuwaibia! Hawawezi kufanya hivyo kule England!
Once a thief always a thief!
 
Sijui tuwaeleze vipi ninyi MACHOGO WA BARA, Siye hatuwataki ninyi wala muungano na machogo yenu
Hakika. Miaka yote nimekaa Unguja na Pemba huo ndo msimamo wa wenyeji!
Sijui kwanini wadanganyika hawaamki usingizini!
Au ni Raha sana kuwa na koloni?
 
Mzee nakushauri uendelee na my

mzee nakushauri uendelee na mambo yako mengine kwa sababu utakuja kuchanganyikiwa bure. Hata hao walioweka hivyo vibao hawana majibu
Mkuu ukapotelea wapi aisee?
 
Back
Top Bottom