Hili la kuweka vibao viwili Kwa Nchi Moja Tanzania na Zanzibar limekaaje?

Hili la kuweka vibao viwili Kwa Nchi Moja Tanzania na Zanzibar limekaaje?

Are these the facts or are just your feelings and imaginations brother Pascal Mayalla...?

Do you have constitutional justifications on all of these you have said..?
Kuna kitu kinaitwa "is" na "ought". Ought ndio yenye constitutional justification, lakini is ni kile kitu kinachofanyika, sio kila kitu kinachofanyika kina constitutional justification, kuna vitu kibao vinafanyika kinyume cha Katiba na mfano mzuri ni mabadiliko ya katiba ya Zanzibar yaliyounda GNU, katiba ya JMT haiyatambui haitambui GNU wala haiitambua kama Zanzibar ni nchi, Rais wa JMT anakwenda Zanzibar, anatangulia kisha anakuja Rais wa Zanzibar, kwa katiba yao Zanzibar ni nchi, kwa katiba yetu Zanzibar sio nchi ni sehemu ya JMT!. Viongozi wa Zanzibar wasiotambuliwa na katiba yetu wanapigiwa ving'ora, hivyo sio kila kitu kina constitutional justification
P
 
Muungano wa ovyo kuwahi kutokea duniani! Binafsi siupendi kabisa kwa sababu Tanganyika inatumika kuineemesha Zanzibar huku Tanganyika ikiwa haifadiki na chochote.
Leo hii Tanganyika tunatawaliwa na Mzanzibari, ardhi yetu imekuwa ya wote lakini ya Zanzibar ni Wazanzibar tu,Wazanzibar huku Tanganyika wanashika cheo chochote, wanaajiriwa kwenye kazi yoyote lakini ni marufuku Mtanganyika kugombea nafasi yoyote ya uongozi Zanzibar wala kuajiriwa, Hata kupiga kura Mtanganyika haruhusiwi labda baada ya kuishi mfululizo kwa muda usiopungua miaka 3.
Huyo Rais anayeitwa wa Muungano hana madaraka yoyote Zanzibar hata DC wa kule anaweza kumvimbia na hana ubavu wa kumtengua labda akamshitaki kwa Rais wao Uwa nashangaa sana hata sifa wanazopewa wale wanaoitwa waasisi wa Muungano sijui wanasifiwa kwa lipi wakati waliamua
Mimi naona kuusambatisha huu muungano uchwara nakuifanya kuwa mikoa ya tan" unguja na pemba na kumteua mkuu wa mkoa w unguja ewe makonda
 
Kuna kitu kinaitwa "is" na "ought". Ought ndio yenye constitutional justification, lakini is ni kile kinachofanyika, sio kila kitu kina constitutional justification na mfano mzuri ni mabadiliko ya katiba ya Zanzibar yaliyounda GNU, katiba ya JMT haiyatambui haitambui GNU wala haiitambua kama Zanzibar ni nchi, Rais wa JMT anakwenda Zanzibar, anatangulia kisha anakuja Rais wa Zanzibar, kwa katiba yao Zanzibar ni nchi, kwa katiba yetu Zanzibar sio nchi ni sehemu ya JMT!. Viongozi wa Zanzibar wasiotambuliwa na katiba yetu wanapigiwa ving'ora, hivyo sio kila kitu kina constitutional justification
P
Hi! Ni Kwa ajili yetu wenyewe,ambayo tuna weza kusema ni ya kisiasa, au kupakana mafuta Kwa mgongo.sasa kisheria tukiachana na Siasa zetu , Znz si nchi.
 
Huku zenji nchi zenye ubalozi ni nyingi tu ambazo nimeziona Oman, China, Brazil, Italy, UK, USA, Denmark, Iran, Zimbabwe na India.
Hizo nchi zote zenye ubalozi mdogo Zanzibar zinaihesabu Zanzibar as an independent entity japo ni sehemu ya JMT ndio maana Zanzibar iliweza kujiunga na OIC na kuiingiza Tanzania kwa lazima!.
P
 
Hi! Ni Kwa ajili yetu wenyewe,ambayo tuna weza kusema ni ya kisiasa, au kupakana mafuta Kwa mgongo.sasa kisheria tukiachana na Siasa zetu , Znz si nchi.
Kisheria Zanzibar sii nchi kimataifa, nchi ni moja tuu Tanzania, ila kitaifa Zanzibar ni nchi yenye utawala wake wa ndani. Kimataifa Muungano wetu ni Muungano Union wa nchi mbili kuungana na kuunda nchi moja ya JMT lakini kitaifa Muungano wetu ni Muungano wa federation yenye two states JMT na Zanzibar ndio maana tunasema Muungano wetu ni Muungano adhimu na adimu.
P
 
Acha unyumbu wako!, athari ni kubwa!, hujui tu, hujui zanzibar ni mpaka hata sitaji, lakini hii dar uliyopo ni zanzibar!, unadhani mwalimu alikuwa mjinga!
Tuimarishe muungano wetu.
Sio kwl.
Zanzibar mipaka yake haiwezi kufika dar,, hizo ni mbinu za kutisha wapinga muungano.
 
Zanzibar ni nchi ndio maana wazalendo tunapambana ipewe mamlaka kamili.
Zanzibar ilikuwa ni nchi kabla ya Muungano. Kwenye Muungano ika surrender mamlaka yake ya kuwa nchi, sovereignty kwa JMT, sasa Zanzibar sio nchi ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.
Zanzibar ikipewa mamlaka yake kamili ni kurejeshewa hadhi yake ya nchi, hivyo ni kuuvunja Muungano!.

Ukisoma zile articles za Union, Muungano wetu ulidhamiriwa kuungana for life, Muungano wa milele, ndio maana there is no provision ya kuuvunja Muungano.

P
 
Zanzibar ilikuwa ni nchi kabla ya Muungano. Kwenye Muungano ika surrender mamlaka yake ya kuwa nchi, sovereignty kwa JMT, sasa Zanzibar sio nchi ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.
Zanzibar ikipewa mamlaka yake kamili ni kurejeshewa hadhi yake ya nchi, hivyo ni kuuvunja Muungano!.

Ukisoma zile articles za Union, Muungano wetu ulidhamiriwa kuungana for life, Muungano wa milele, ndio maana there is no provision ya kuuvunja Muungano.

P
Ukiona kila siku unajaribu kuelezea kitu lakini hakieleweki, ujuwe kuna shida kubwa kwenye hicho unachotaka kukielezea.

Na kama unaamini hakina shida, basi wewe unayejaribu kukielezea ndo utakuwa una shida.
 
Ukiona kila siku unajaribu kuelezea kitu lakini hakieleweki, ujuwe kuna shida kubwa kwenye hicho unachotaka kukielezea.

Na kama unaamini hakina shida, basi wewe unayejaribu kukielezea ndo utakuwa una shida.
Naunga mkono hoja, ila pia kuna uwezekano hao unaowaelewesha wana tatizo la uwezo wa uelewa.

Galilei Galileo alipogundua telescope akasema dunia ni duara, aliuwawa kwa kosa la kumkufuru Mungu, wauawaji wake wakiamini Mungu ameumba dunia bapa!.

Hivyo sisi waelimishaji umma, hatuchoki kuendelea kuwaelimisha wananchi kuhusu jambo lolote, licha ya kufahamu kuwa wana vichwa vizito sana kuelewa.
Mimi baada ya kujigundua karama yangu ni uelimishaji umma, nimeamua kujitolea bure kuwaelimisha wananchi mambo mbalimbali ninayo yajua kupitia kufungua darasa la vipindi maalum wa redio na TV

View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=tp12EYy8dn8n3BIA
Na kwenye weekly columns kwenye magazeti mawili Nipashe na Mwananchi wakati nikikamilisha taratibu za kwenda online kwa kuanzia na website PPR Media
Naamini kabisa ipo siku Watanzania wenye vichwa vizito, watanielewa akiwemo naniliu, kusema la ukweli, ana kichwa kizito kweli kweli!, ingekuwa Watanzania ni inquisitive kutaka kujua school performances za viongozi wao, kuna watu wangeshangaa sana, inawezekana vipi mtu mwenye such poor performance darasani kuja kuwa ndie kiongozi wao!, hivyo katika hizi elimisha elimisha, hata yeye tunamsaidia maana nchi hii ni yetu sote!.
P
 
nchi ni 1 inaitwa JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ina serikali mbili.......(upo sawa mkuu)
NAJAZIA...
hapo kwenye uwakilishi hiyo zanzibar imewakilishwa kama serikali
so bila kujali nia yao ni nini,hapo kuna uwakilishi wa serikali ya TANZANIA(kama kuna faida itagwana bara na visiswani)
pia kuna uwakilishi wa serikali MAPINDUZI ZANZIBAR(kama kuna faida itaenda visiwani)
sina hakika kama kuna kosa kisheria serikali ya mapinduzi ikiwakilishwa hapo au popote
ni kama wanavyoamua kwenda (IMF) au (WB) kukopa ni sawa tu
NB: uchambuzi huo kama una makosa naruhusu kukosolewa na kusahihishwa
Miaka yote huko nyuma mbona kibao cha Zanzimbar kilikuwa hakiwekwi?
 
Zanzibar ni nchi kamili yenye wimbo wa Taifa ,bendera ya Taifa,tume ya uchaguzi ZEC,Mamlaka ya Mapato ZRA,Baraza la Mawaziri,Bunge lake .

Muungano huu wa Tanganyika na Zanzibar tuliungana kwa mambo 11 Kisha yakaongezwa Hadi kufikia 22 na baadaye suala la mafuta likaondolewa kwenye Muungano baada ya Zanzibar kugundua uwepo wa mafuta katika ardhi Yao,hivyo basi mambo hayo ya Muungano ni sehemu ndogo sana ya kuweza kuondoa utaifa wa Taifa husika.

Kwa wale wasomi wa kweli wanajua kuwa Tanganyika ilipoteza utaifa Wake mara tu baada ya kuungana.
 
Naunga mkono hoja, ila pia kuna uwezekano hao unaowaelewesha wana tatizo la uwezo wa uelewa.

Galilei Galileo alipogundua telescope akasema dunia ni duara, aliuwawa kwa kosa la kumkufuru Mungu, wauawaji wake wakiamini Mungu ameumba dunia bapa!.

Hivyo sisi waelimishaji umma, hatuchoki kuendelea kuwaelimisha wananchi kuhusu jambo lolote, licha ya kufahamu kuwa wana vichwa vizito sana kuelewa.
Mimi baada ya kujigundua karama yangu ni uelimishaji umma, nimeamua kujitolea bure kuwaelimisha wananchi mambo mbalimbali ninayo yajua kupitia kufungua darasa la vipindi maalum wa redio na TV

View: https://youtu.be/ZJIKhnZCf04?si=tp12EYy8dn8n3BIA
Na kwenye weekly columns kwenye magazeti mawili Nipashe na Mwananchi wakati nikikamilisha taratibu za kwenda online kwa kuanzia na website PPR Media
Naamini kabisa ipo siku Watanzania wenye vichwa vizito, watanielewa akiwemo naniliu, kusema la ukweli, ana kichwa kizito kweli kweli!, ingekuwa Watanzania ni inquisitive kutaka kujua school performances za viongozi wao, kuna watu wangeshangaa sana, inawezekana vipi mtu mwenye such poor performance darasani kuja kuwa ndie kiongozi wao!, hivyo katika hizi elimisha elimisha, hata yeye tunamsaidia maana nchi hii ni yetu sote!.
P

Shida ni kwamba, hata kama ukielezea vipi, maswali hayaishi.

Huu muungano mwishowe utakuja kufanywa kama dini. Ukiuliza asili yake ni dhambi au unakufuru.

Kuna maswali mengi sana lakini mwisho wa siku unaambiwa jibu hilohilo moja kwa maswali yote…

Kwamba Zanzibar siyo nchi.

Kuna shida kubwa sana.

Kuna viashiria vingi sana vinavyoonyesha tofauti na kauli zenu ndo maana hizi back and forth hazitaweza kwisha.
 
Walioalikwa china ni marais wa nchi unadhani ni kwa nini Mwinyi akwenda?
unauliza swali la kijinga sn mwinyi hakwenda kwasababu za ksiasa za kiccm ili wajinga msiamshwe sa hata nikikuliza hapo kwan mwinyi siyo rais wa zanzibar? Katiba ya zanzibar kwan hamtambui kama rais wa nchi? Kwan hujui kwmb matukio yote ya ktaifa ya zanzibar akienda rais wa tz yan wa muungano hujui anayekuwa mkuu ni rais wa zanzibar, hata mizinga 21 anapgiwa rais wa zanzibar kama ulikuwa hujui nakujuza hata misafara ya kuingia uwanjan anayekuwa wa mwsho kuingia kama top wa wote n rais wa zanzibar sasa yakatae na haya nikuone ulivyo mpumbavu kbs. Cha ajabu hauhoji kwann tanganyka hakuna rais, hakuna bunge, hakuna wimbo wa taifa, hakuna vitambulisho vya mkazi ila tuna mambo ya muungano tu. Cha ajabu hauhoji kwann zanzibar hata kodi wana taasisi yao nje kbs ya TRA hauhoji kwann usajiri wa magari ukienda na gari umeisajili huku bara ukienda nayo zanzibar hawautambui usajiri huo.
 
Shida ni kwamba, hata kama ukielezea vipi, maswali hayaishi.

Huu muungano mwishowe utakuja kufanywa kama dini. Ukiuliza asili yake ni dhambi au unakufuru.

Kuna maswali mengi sana lakini mwisho wa siku unaambiwa jibu hilohilo moja kwa maswali yote…

Kwamba Zanzibar siyo nchi.

Kuna shida kubwa sana.

Kuna viashiria vingi sana vinavyoonyesha tofauti na kauli zenu ndo maana hizi back and forth hazitaweza kwisha.
achana na kichaa huyo chawa mkubwa unadhan haujui ukweli? Anaujua kbs ila ameacha ubongo anafkria kwa kutumia ugari.
 
Back
Top Bottom