jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 26,329
- 25,263
Ngoja tumuulize Mzee MwanakijijiMbona nyie hamjaweka kibao Cha Arusha au Kigoma? 😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja tumuulize Mzee MwanakijijiMbona nyie hamjaweka kibao Cha Arusha au Kigoma? 😂
Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
Kwahiyo tufanyeje?Zanzibar ni nchi yenye historia pana kuliko hata Tanganyika na sio historia tu mpaka umaarufu.
Jeshi lake linaitwaje?Zanzibar ni Nchi usisahau hilo
Kwahiyo hata Bendera ya Zanzibar huijui.?
Zanzibar ilipata Kiti UN kabla ya Tanganyika na Kimsingi ndio hiki tunachomitumia sasa kwenye Union
Siyo kweli kwamba Dar ni Zanzibar.Acha unyumbu wako!, athari ni kubwa!, hujui tu, hujui zanzibar ni mpaka hata sitaji, lakini hii dar uliyopo ni zanzibar!, unadhani mwalimu alikuwa mjinga!
Tuimarishe muungano wetu.
Maana ya muungano ni nini sasa?Zanzibar ni nchi yenye historia pana kuliko hata Tanganyika na sio historia tu mpaka umaarufu.
Kumbuka bara tunakichukulia hiki kisiwa kimkakati sana, kipindi hicho ilikua lazima tukitae, iwe kwa muungano au kwa lazima. Hiki kisiwa asirimia 70. Watu wake kutoka bara ni sawa na china na taiwani, kuvunja muungano ni gumu sana, bora kufikiria njia nyingine.ni muda sasa tanganyika tuvunje huu muungano hakuna maana hapo
tukiteke sivyoKumbuka bara tunakichukulia hiki kisiwa kimkakati sana, kipindi hicho ilikua lazima tukitae, iwe kwa muungano au kwa lazima. Hiki kisiwa asirimia 70. Watu wake kutoka bara ni sawa na china na taiwani, kuvunja muungano ni gumu sana, bora kufikiria njia nyingine.
Kisiwa hicho kinaumuhimu sana kwa bara we acha tu.Zenji wanataka hata leo, tatizo ni wabara hawataki kabisa kuiacha zenji
Sasa mnalazimisha nini kama hamna maslahi ?, yaani nashindwa hata kuelewa,
Hakuna Hilo kisheria ni Jamuhuri ya Muungano wa TanzaniaKuna mambo Zenji inasimama kama nchi, labda tujue huo mjumuiko ulikuwa ni wa nini?
Inatakiwa iwe sawa kwa wote ili kuodoa, huu mngawanyiko!?nchi ni 1 inaitwa JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, ina serikali mbili.......(upo sawa mkuu)
NAJAZIA...
hapo kwenye uwakilishi hiyo zanzibar imewakilishwa kama serikali
so bila kujali nia yao ni nini,hapo kuna uwakilishi wa serikali ya TANZANIA(kama kuna faida itagwana bara na visiswani)
pia kuna uwakilishi wa serikali MAPINDUZI ZANZIBAR(kama kuna faida itaenda visiwani)
sina hakika kama kuna kosa kisheria serikali ya mapinduzi ikiwakilishwa hapo au popote
ni kama wanavyoamua kwenda (IMF) au (WB) kukopa ni sawa tu
NB: uchambuzi huo kama una makosa naruhusu kukosolewa na kusahihishwa
Aliwachanganya Kikwete hapo...Wengine husema Zanzibar ni nchi ndani, na siyo nje! Yaani tukitoka nje Tanzania ni nchi moja, lakini tukiwa ndani ni nchi mbili.
🤣Halafu anayekula share mbili tumbo lake dogo
Kumbuka kwenye uhuru watu wengi kutoka bara ndo ulipiganea uhuru kupatikana zanzibar, make zanzibar ilipokua inavamiwa na waarabu kutoka oman, walichukua watumwa kutoka bara na kuwatumikisha kwenye mashamba ya mikafuu na kilimo cha nazi, kilikua kisiwa cha wavuvi kutoka bara, waarabu wakatoka na kutuachia machotara wengine, wazanzibara na wabara wakaamua kuungana make walikua na utamaduni mmoja, sasahv wengine kunajiona tofauti, bila kujua historia.Zanzibar wamemwaga DAMU kupambana Uhuru wao,hawakupewa Uhuru Mezani kama sisi.
Tuheshimu Hilo,tuendelee kuishi vizuri.
Kwenye keyboard?Tanganyika yetu tunaitaka
Tatizo wewe nakuona kama uelewi wezio wanahoji kwanini isiwe? TANZANIA TU?KATIBA YA ZANZIBAR INASEMA ZANZIBAR NI NCHI sjui kama unalijua hli.
MpakaTumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
Mpaka sada hajatambua tu.Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?