Hili la kuweka vibao viwili Kwa Nchi Moja Tanzania na Zanzibar limekaaje?

Hili la kuweka vibao viwili Kwa Nchi Moja Tanzania na Zanzibar limekaaje?

Shida ni kwamba, hata kama ukielezea vipi, maswali hayaishi.

Huu muungano mwishowe utakuja kufanywa kama dini. Ukiuliza asili yake ni dhambi au unakufuru.

Kuna maswali mengi sana lakini mwisho wa siku unaambiwa jibu hilohilo moja kwa maswali yote…

Kwamba Zanzibar siyo nchi.

Kuna shida kubwa sana.

Kuna viashiria vingi sana vinavyoonyesha tofauti na kauli zenu ndo maana hizi back and forth hazitaweza kwisha.
hivi mkuu huyo bwana mayala n mwanasheria kbs hv ni kweli hajui katiba ya zanzibar inasema zanzibar ni nchi sa yeye anakataa kwa kutumia ktu gn sasa zaid ya ugari maana ukshakuwa mwanaccm huwa wanatoa akili na ubongo wanakuwekea upumbavu we yafatilie humu utayagundua tu.
 
hivi mkuu huyo bwana mayala n mwanasheria kbs hv ni kweli hajui katiba ya zanzibar inasema zanzibar ni nchi sa yeye anakataa kwa kutumia ktu gn sasa zaid ya ugari maana ukshakuwa mwanaccm huwa wanatoa akili na ubongo wanakuwekea upumbavu we yafatilie humu utayagundua tu.
Nchi haitokani na wewe mwenyewe kusema ni nchi. Zanzibar ilikuwa nchi na Tanganyika ilikuwa nchi. Lakini ziliacha kuwa nchi zilipoungana na Umoja wa Mataifa kuwa na Bendera moja inayo simamia hizi Tanganyika na Znz. Nimeisha kutumia viti sababu viti zinaweza kuweko 10 lakini sehemu ya Bendera kuwakilisha nchi Moja.
 
Nchi haitokani na wewe mwenyewe kusema ni nchi. Zanzibar ilikuwa nchi na Tanganyika ilikuwa nchi. Lakini ziliacha kuwa nchi zilipoungana na Umoja wa Mataifa kuwa na Bendera moja inayo simamia hizi Tanganyika na Znz. Nimeisha kutumia viti sababu viti zinaweza kuweko 10 lakini sehemu ya Bendera kuwakilisha nchi Moja.
unavijua vigezo vya sehemu kuitwa nchi? Zanzibar wanavyo vyote kama ulikuwa hujui zanzibar wana bendera yao, wana wimbo wa taifa, wana katiba yao, wana rais wao, wana bunge lao, wana wimbo wao wa taifa, wana mahakama zao haya yote n nje ya mambo ya muungano haya swali vya tanganyka viko wapi? Ninasktika sn kwmb kuna majitu yapo humu jf naamin yamesoma bt hayajui haya sa huko vjijin sjui itakuaje au ndo mnajzma data mpo humu kutetea hata yasiyowezekana chawa bhana sa hapo umetetea nn we si jinga kbs wewe.
 
unauliza swali la kijinga sn mwinyi hakwenda kwasababu za ksiasa za kiccm ili wajinga msiamshwe sa hata nikikuliza hapo kwan mwinyi siyo rais wa zanzibar? Katiba ya zanzibar kwan hamtambui kama rais wa nchi? Kwan hujui kwmb matukio yote ya ktaifa ya zanzibar akienda rais wa tz yan wa muungano hujui anayekuwa mkuu ni rais wa zanzibar, hata mizinga 21 anapgiwa rais wa zanzibar kama ulikuwa hujui nakujuza hata misafara ya kuingia uwanjan anayekuwa wa mwsho kuingia kama top wa wote n rais wa zanzibar sasa yakatae na haya nikuone ulivyo mpumbavu kbs. Cha ajabu hauhoji kwann tanganyka hakuna rais, hakuna bunge, hakuna wimbo wa taifa, hakuna vitambulisho vya mkazi ila tuna mambo ya muungano tu. Cha ajabu hauhoji kwann zanzibar hata kodi wana taasisi yao nje kbs ya TRA hauhoji kwann usajiri wa magari ukienda na gari umeisajili huku bara ukienda nayo zanzibar hawautambui usajiri huo.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kumjibu mtu mjinga, ni kichaa tu au mlevi anaweza kufanya hivyo.
 
Shida ni kwamba, hata kama ukielezea vipi, maswali hayaishi.

Huu muungano mwishowe utakuja kufanywa kama dini. Ukiuliza asili yake ni dhambi au unakufuru.

Kuna maswali mengi sana lakini mwisho wa siku unaambiwa jibu hilohilo moja kwa maswali yote…

Kwamba Zanzibar siyo nchi.

Kuna shida kubwa sana.

Kuna viashiria vingi sana vinavyoonyesha tofauti na kauli zenu ndo maana hizi back and forth hazitaweza kwisha.
Tatizo ni elimu ya uraia kuhusu huu Muungano wetu adhimu. Tangu tumeungana, hakujawahi kutolewa elimu ya uraia kuwafundisha Watanzania kuhusu Muungano.
P
 
Halafu watanganyika walivyowapumbavu wao kibao chao wanaandika Tanzania badala ya Tanganyika.kiufupi viongozi wa Tanganyika ni majuha na majinga.safi sana Zanzibar Kwa kujitambua.ikiwezekana na umoja wa mataifa iwe hivohivo.Muungano wa kijinga kama huu ni kichaa tu ndiyo anaweza kuupenda
Wapo busy na ubaya ubwela.
 
Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi

Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
Hahahaaa hapo utasikia unataka kuharibu amani ya nchi! Nchi iliyojaliwa ni moja Tanzania , Zanzibar ni sehemu ya Tanzania kimataifa, kwani siyo nchi inayotambuliwa na UN. Huo ni wizi na ufujaji wa pesa za walipa kodi.
 
Zanzibar ilikuwa ni nchi kabla ya Muungano. Kwenye Muungano ika surrender mamlaka yake ya kuwa nchi, sovereignty kwa JMT, sasa Zanzibar sio nchi ni sehemu ya JMT yenye utawala wake wa ndani.
Zanzibar ikipewa mamlaka yake kamili ni kurejeshewa hadhi yake ya nchi, hivyo ni kuuvunja Muungano!.

Ukisoma zile articles za Union, Muungano wetu ulidhamiriwa kuungana for life, Muungano wa milele, ndio maana there is no provision ya kuuvunja Muungano.

P
 

Attachments

  • 1725579530364.png
    1725579530364.png
    172.4 KB · Views: 2
Jaribu tu kidogo kutufundisha leo kuhusu uhalali wa hilo bro
Mkuu Nsarigoko , tumefundisha sana humu kuhusu huu Muungano wetu adhimu na adimu, ila kwa vile kila siku jf wanajiunga wanachama wapya, na sisi tunapaswa kuendelea kufundisha kila uchao Hoja za Utanganyika na Uzanzibari ni Hoja Muflis za Ujinga wa Ukosefu Elimu ya Uraia. Tuwatoe Ujinga Huu Kwa Elimu ya Uraia au Tuwaache na Ujinga Wao? pia
karibu darasa langu la Muungano
-
P.
 
Tatizo ni elimu ya uraia kuhusu huu Muungano wetu adhimu. Tangu tumeungana, hakujawahi kutolewa elimu ya uraia kuwafundisha Watanzania kuhusu Muungano.
P
Unaamini kuna elimu ya uraia inayoweza kuuelezea au kuufafanua huu muungano wa "aina yake"? Kwanza, kuna mtu (Mtanzania) anayeuelewa huu muungano kiasi cha kuweza kuwaelimisha wengine pasipo shaka yoyote?
 
Unaamini kuna elimu ya uraia inayoweza kuuelezea au kuufafanua huu muungano wa "aina yake"? Kwanza, kuna mtu (Mtanzania) anayeuelewa huu muungano kiasi cha kuweza kuwaelimisha wengine pasipo shaka yoyote?
Mkuu Drifter Tupo watu kibao humu tunao uelewa vizuri sana kabisa huu Muungano wetu adhimu na adimu karibu
Hoja za Utanganyika na Uzanzibari ni Hoja Muflis za Ujinga wa Ukosefu Elimu ya Uraia. Tuwatoe Ujinga Huu Kwa Elimu ya Uraia au Tuwaache na Ujinga Wao? pia
karibu darasa langu la Muungano
-
P.
 
Mkuu Drifter Tupo watu kibao humu tunao uelewa vizuri sana kabisa huu Muungano wetu adhimu na adimu karibu
Hoja za Utanganyika na Uzanzibari ni Hoja Muflis za Ujinga wa Ukosefu Elimu ya Uraia. Tuwatoe Ujinga Huu Kwa Elimu ya Uraia au Tuwaache na Ujinga Wao? pia
karibu darasa langu la Muungano
-
P.
Sawa. Naiona kazi yako “nzito”. Mtihani uko kwa Watanzania “wa kawaida” kuipitia hiyo “maktaba” nzima ndipo wauelewe muungano wao adhimu. Inanikumbusha katuni ya Kipanya akielimishwa na Afande jinsi “Mo Dewji alivyopatikana” baada ya kutekwa!

Halafu Mkuu, ni kama vile huu muungano ni somo gumu sana (sijui kama quantum physics au molecular biology vile); inakuwaje? Wale watu wa 1964 waliwezaje kuuchangamkia hivyo hivyo ulivyo kirahisi rahisi tu? Leo sisi na ma PhD kibao tunasota kuuelewa?

Anyways. Tuendelee kupeana matumaini. Huenda hatimaye wengi watapata mwanga wa kuuelewa. Sasa hivi acha tubaki sisi wachache wenye “kuuelewa”.
 
Muungano wa ovyo kuwahi kutokea duniani! Binafsi siupendi kabisa kwa sababu Tanganyika inatumika kuineemesha Zanzibar huku Tanganyika ikiwa haifadiki na chochote.
Leo hii Tanganyika tunatawaliwa na Mzanzibari, ardhi yetu imekuwa ya wote lakini ya Zanzibar ni Wazanzibar tu,Wazanzibar huku Tanganyika wanashika cheo chochote, wanaajiriwa kwenye kazi yoyote lakini ni marufuku Mtanganyika kugombea nafasi yoyote ya uongozi Zanzibar wala kuajiriwa, Hata kupiga kura Mtanganyika haruhusiwi labda baada ya kuishi mfululizo kwa muda usiopungua miaka 3.
Huyo Rais anayeitwa wa Muungano hana madaraka yoyote Zanzibar hata DC wa kule anaweza kumvimbia na hana ubavu wa kumtengua labda akamshitaki kwa Rais wao! Uwa nashangaa sana hata sifa wanazopewa wale wanaoitwa waasisi wa Muungano sijui wanasifiwa kwa lipi wakati waliamua kwa makusudi kuisambaratisha nchi yetu tukufu ya Tanganyika!
Duh, duh, hii kali sasa,
Yaani dc wa mjini magharibi au wete anaweza kumvimbia mama?
Nafkiri unachangamsha baraza mkuu
 
Halafu Mkuu, ni kama vile huu muungano ni somo gumu sana (sijui kama quantum physics au molecular biology vile); inakuwaje? Wale watu wa 1964 waliwezaje kuuchangamkia hivyo hivyo ulivyo kirahisi rahisi tu? Leo sisi na ma PhD kibao tunasota kuuelewa?
Wakati tunaingia kwenye ule Muungano ile 1964, hakuna mtu yeyote aliyeulizwa, ila kwa upande wa Tanganyika Bunge la Tanganyika angalau lili ratify ule mkataba na kutunga sheria ya Muungano, lakini Zanzibar hakukufanyika ratification yoyote!, bali ni Rais Karume aliwaita wana Balozi na kuwaeleza tumeungana!. Je, wajua kuwa Zanzibar haikuridhia Muungano? Ina Maana Gani?

Enzi za Nyerere, Mwinyi Mkapa na JK, ilikuwa ni mwiko kuujadili Muungano, chuma kilipoingia , JPM akatoa onto la fyoko fyoko Chonde Chonde Ndugu zetu Wazanzibari, Msilete Fyoko Fyoko, Mtaumia bure! aliyeruhusu watu kuujadili Muungano ni huyu "Watu waachwe Huru kuujadili Muungano"- VP, Samia Suluhu Hassan. Huyu mama anaongea vizuri kwa Unyenyekevu mpaka raha. Huchoki kumsikiliza
Hivyo elimu ya Muungano is made very simple!.
P
 
Back
Top Bottom