Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni Lawyer uliyegraduate University of Dar , lakini huna knowledge ya Diplomasia. Cha ajabu unapotosha. Zanzibar hakuna Embassy (Ubalozi); bali kuna Consulate (Ubalozi mdogo). Kila nchi inaruhusiwa kuweka Consulate kama wanataka kutokana na uwigo wa shuguli zao. Kuwa na consulate ni gharama kwa nchi maskini. Siyo special treatment kama usemavyo wewe. Na kuna Ambassador na Consular General huyu ndiyo yupo Zanzibar siyo AmbassadorHivi ni vitu vidogo, kuna nchi nyingi kabla ya Muungano zilikuwa na ubalozi Tanganyika na ubalozi Zanzibar, baada ya Muungano, nyingi zilifunga balòzi zake za Zanzibar na kubaki za Tanganyika zilizogeuka za Tanzania, miongoni mwa nchi ambazo hazikufunga ubalozi wake Zanzibar ni pamoja na yale mataifa makubwa matano yenye veto UN, Marekani, Urusi, Uingereza, Ufaransa na China, India pia haikufunga. Nchi hizi zinai treat Zanzibar with a special treatment of autonomous, hivyo wakitoa mualiko Tanzania inàalikwa kama nchi Tanzania na Zanzibar inaalikwa kama autonomous part of Tanzania hivyo kila mtu na kibao chake.
Nchi ni moja tuu, JMT!.
P
Duh...!, na hivi ni vitu vidogo kuhusu ubalozi na ubalozi mdogo!.Wewe ni Lawyer uliyegraduate University of Dar , lakini huna knowledge ya Diplomasia. Cha ajabu unapotosha. Zanzibar hakuna Embassy (Ubalozi); bali kuna Consulate (Ubalozi mdogo). Kila nchi inaruhusiwa kuweka Consulate kama wanataka kutokana na uwigo wa shuguli zao. Kuwa na consulate ni gharama kwa nchi maskini. Siyo special treatment kama usemavyo wewe. Na kuna Ambassador na Consular General huyu ndiyo yupo Zanzibar siyo Ambassador
Kwa tafsiri ya uswahilini huku bila kuweka maneno kama giant na minority, ni sahihi nikisema mwl nyerere alikubali kuiua Tanganyika na kukubaliana na masharti kama yalivyo katika muungano huu chao chao, chetu chao, maana sioni dalili ya Mtanganyika kuwa rais wa zanzibar ila wao wanapeta tu kwetu sio kwamba mm ni mbinafsi kutumia neno kwetu ila kama umefika kwao na kuona siasa zao wao bado wana ubinafsi. Kwa nini nyerere alikubali masharti haya? je aliona kuilinda Ikulu na Dar es salaam kupitia bahari ya Hindi njia pekee ni kuimiliki zanzibar?Sababu ni moja tuu, they are the minority!. Muungano ni wa nchi mbili zenye equal status, kuungana na kuunda nchi moja ya JMT yenye uraia mmoja tuu wa Tanzania, kwa vile Tanganyika ni giant na Zanzibar ni minutes, inaonekana Zanzibar imemezwa na Tanganyika, Tanganyika ni the majority na Zanzibar ni the minority, Mwalimu Nyerere akaamua Tanganyika ndio ife, Zanzibar ibaki with its internal autonomous.
P
Historia ya kutatuanamar?Zanzibar ni nchi yenye historia pana kuliko hata Tanganyika na sio historia tu mpaka umaarufu.
Nikuletee picha ya Mzee wangu yupo kikaoni na bango la Zanzibar toka miaka iyo ya 80 to 90? Picha zipo hapa home ila kuziweka ni ngumuTumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
Bendera yake ipoje? Ina kiti UN?
unaniuliza mimi nchi ya tanganyika iko wp? Yaulize maccm wenzio mbona hushangai zanzibar ipo na ina kila ktu chake kama nchi wakati huohuo tanganyika hata kutajwa tu ni kosa. Nenda katafute katiba ya zanzibar uisome uone yaliyomo ajabu tanganyika haipo hakuna bendera, hakuna katiba, hakuna wimbo wa taifa nk. Ila tanganyka imemezwa na tanzania wkt huohuo zanzibar haikumezwa. Au nikuulize tu kwann zanzibar kuptia katiba yao inasema n nchi wkt tanganyka haisemwi popote. Funguka akili wewe hata mtoto mdogo nikimwelewesha ananielewa we unaleta propaganda za kiccm kwa watu wenye uelewa haya kawaambie vijijin huko.basi itabidi urudie kugoogle uelewe maana ya muungano,halafu uje uniambie kama kuna nchi ya zanzibar, nchi ya tanganyika iko wapi?
Joni acha uongoKwahiyo hata Bendera ya Zanzibar huijui.?
Zanzibar ilipata Kiti UN kabla ya Tanganyika na Kimsingi ndio hiki tunachomitumia sasa kwenye Union 😄😄🔥
Ilipata kiti UN lini Jee Tanganyika na Zanzibar nchi ipi ilianza kupata uhuruKwahiyo hata Bendera ya Zanzibar huijui.?
Zanzibar ilipata Kiti UN kabla ya Tanganyika na Kimsingi ndio hiki tunachomitumia sasa kwenye Union 😄😄🔥
Cha msingi ni kuvunja kabisa wala hauna maanaNathububu kusema ni stage moja, kuelekea kule waasisi walikokukemea!
-ipo haja ya ku format upya muungano, for much strength!,
-Tanganyika ipate na kumiliki ardhi zanzibar, (permanent) alkadhalika zanzibar upate eneo/Ardhi bara!(permanent) .... (kwa ukubwa wa kutosha)
LILE LA KUCHANGANYA MCHANGA LIMEPITWA NA WAKATI KWA SASA LETS GO DEEP!
Hili lita reinforce na kuustawisha umoja wetu
-Bara imiliki miradi zanzibar ya kiubia, na zanzibar imiliki miradi bara mfano, liquidation ya gasi asilia zanzibar imiliki hisa kwa 25%,bara 50% mwekezaji 25%,
.
Haya yatafanya yeyote mwenye hila chafu ashindwe mapema sana, na usiwezekane kuvunjika forever ever!
#mafioso_crocodiletooth
CC, #Ionwe!
Tatizo la Tz na pia Muungano, ni wa kisiasa, pili kama ilivyo kwenye vitu vingi, haujengi nidhamu na usawa, Bali unajenga, uhuni, upendeleo, na hujuma.hivyovkuondoavfaida za Muungano na kujenga picha hasi juu ya uwepo wa Muungano.Ni suala la muda tu Zanzibar itakuja kujitenga, Unajua why SSH anamkubali lissu sababu lissu haungi muungano wa kitapeli huu hata mama yenu pia hakubali huu muungano coz upo kihuni kihuni.
Kama/sawa na Benjamin Netanyahu wa JF.Wewe kama nani?
Ndio za waafrika hizo kukuinga sahani mbili kwenye sherehe. Hiyo inaitwa huku na huku.Tumeona picha ya ujumbe wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania ukiwa katika kikao huko China unavibao viwili. Kimoja kimeandikwa Tanzania na zingine kina wajumbe wameweka Bangor akiwa kibao cha Zanzibar. Hizi ndio Sera ya Nchi yetu sasa, baada ya kupata Waziri Mpya wa Mambo ya Nje au ilikuwepo kabla. Na nini tafsiri yake kimataifa na ndani ya nchi
Pia soma:Nchi zilizoungana ni Tanganyika na Zanzibar, kwanini Zanzibar ipo na sisi ni Tanzania bara, kwanini wasioitwe Tanzania Visiwani?
Waliotupigania uhuru wangekuwa na akili kama zako, sina shaka mpaka leo hii, tungekuwa hatujapata uhuru!Umekomaa na vibao vowili huna kazi za kufanya aisee hata kikiwa kimoja utalipwa nini?acha ukinga fanya mambo yako yanayokuhusu hayo ya vibao viwili hayakuhusu
Basi hakukuwa na haja kuweka bango la tanzania hapo lingewekwa TanganyikaZanzibar ni nchi ila Viongozi wengi huuogopa huu ukweli 😄
Lipi ni jepesi kufanyika?unaniuliza mimi nchi ya tanganyika iko wp? Yaulize maccm wenzio mbona hushangai zanzibar ipo na ina kila ktu chake kama nchi wakati huohuo tanganyika hata kutajwa tu ni kosa. Nenda katafute katiba ya zanzibar uisome uone yaliyomo ajabu tanganyika haipo hakuna bendera, hakuna katiba, hakuna wimbo wa taifa nk. Ila tanganyka imemezwa na tanzania wkt huohuo zanzibar haikumezwa. Au nikuulize tu kwann zanzibar kuptia katiba yao inasema n nchi wkt tanganyka haisemwi popote. Funguka akili wewe hata mtoto mdogo nikimwelewesha ananielewa we unaleta propaganda za kiccm kwa watu wenye uelewa haya kawaambie vijijin huko.