Hili la kuweka vibao viwili Kwa Nchi Moja Tanzania na Zanzibar limekaaje?

Ndiyo sababu uhai wa muungano wetu unategemea kulindwa kwa nguvu zote.
 
Mama ni amiri jeshi mkuu wa majeshi ya jamhuri ya muungano wa Tanzania, zanzibar ikiwemo,

Endelea kufrahisha baraza
Kwahiyo atatumia hayo majeshi kumlazimisha DC wa Zanzibar kutekeleza jambo ambalo amekaidi kulifanya! Basi sawa.
 
Ndiyo sababu uhai wa muungano wetu unategemea kulindwa kwa nguvu zote.
Uhai wake unalindwa kivipi?

Kitu kisichoeleweka utaweza kujilinda kwa usahihi?

Nguvu gani unazungumzia zitumike zote?
 
Uyaratibu ni kwamba, kama ni mkopo, Seriksli ya Muungano itaenda yenyewe kukopa halafu Zanzibar lazima wapate sehemu yao ya mkopo sababu Zanzibar ni sehemu ya Muungano, na Serikali ya Muungano ndiyo itakayolipa.
Kama ni msaada ni lazima ziende serikali zote mbili, ya Muungano na Zanzibar sababu Zanzibar ni nchi kamili hivyo inatakiwa ikachukue fungu lake, pia itatakiwa ipewe sehemu yake kwenye ule msaada uliochukuliwa na Serikali ya Muungano sababu zanzibar ni sehemu ya Muungano
 
Hakika. Miaka yote nimekaa Unguja na Pemba huo ndo msimamo wa wenyeji!
Sijui kwanini wadanganyika hawaamki usingizini!
Au ni Raha sana kuwa na koloni?
Wanasheria Mzee Warioba na wengineo wanaelea ndio maana wakaja na Muungano wa sirikali tatu.
 
Jibu lako linahitaji tafakari kubwa Sana.
Kwenye mkopo ambao kuna kulipa Zanzibar haiendi maana sio nchi.

Kwenye msaada ambao hauna kulipa Zanzibar wanafuata mzigo wao maana ni nchi.
 
Jibu lako linahitaji tafakari kubwa Sana.
Kwenye mkopo ambao kuna kulipa Zanzibar haiendi maana sio nchi.

Kwenye msaada ambao hauna kulipa Zanzibar wanafuata mzigo wao maana ni nchi.
Katika serikali ya Jamhuri ya Muungano kuna Wizara za Muungano na kuna Wizara zisizo za Muungano.
Wizara za Muungano huwa zinafanya kazi pande zote za Muungano, hivyo huwa moja tu mfano Wizara ya mambo ya ndani ya nchi, Wizara ya Ulinzi na Jeshi la kujenga taifa, Wizara ya mambo ya nje n.k. Mawaziri wa Wizara hizi wanaweza wakatika upande wowote wa Muungano.

Kuna wizara zisizo za Muungano, hizi hufanya kazi upande mmoja tu Muungano. Mfano wizara ya ardhi, Kilimo, TAMISEMI, Elimu, Afya, Fedha.
Wizara hizi zanzibar pia wanazo zao kwa mifumo yao, sababu Zanzibar ni nchi kamiki na ili kuwa waziri katika hizo wizara ni lazima uwe Mzanzibar.
Pamoja na kwamba Wizara hizo siyo za Muungano, lakini kwa upande wa bara Mzanzibar naye ana haki sawa ya kuziongoza wizara hizi sababu ingawa si za Muungano lakini zipo kwenye serikali ya Muungano na Zanzibar ni sehemu ya Muungano na wao pia ni wa Tanzania na seriksli ni ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ndivyo ilivyo kwa wakuubwa mikoa na wakuu wa wilsya.
Kwa Kifupi Muungano huu unamfanya Mtanganyika ainekane ni kubwa Junga lililoamua kuuza Uhuru wake na ndiyo maana hata viongozi hawana ile feeling patriotism sanabu nchi (Tanganyika) walishaiua, hawakuiunganisha, waliiua, huu siyo muungano.
 
Kwahiyo atatumia hayo majeshi kumlazimisha DC wa Zanzibar kutekeleza jambo ambalo amekaidi kulifanya! Basi sawa.
Mkapa akiwa rais aliingia pale Zanzibar akatandika kuanzia mesenja mpaka viongozi na amani abeid karume rais wao aliwepo na alikuwa kimya,
Usichezee mamlaka ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
 
Kiongezeke na cha Tanganyika hakina ubaya.
 
Mkapa akiwa rais aliingia pale Zanzibar akatandika kuanzia mesenja mpaka viongozi na amani abeid karume rais wao aliwepo na alikuwa kimya,
Usichezee mamlaka ya rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
Nafikiri tunazungumza lugha tofauti,nikutolee mfano wa juzi tu hapo DC wa Longido alipozingua alitengua uteuzi wake mara moja sasa je ikitokea hali kama hiyo kwa DC wa Zanzibar anaweza kumtengua? Mimi sijazungumzia habari ya kupiga watu sasa naona unarukaruka kama maharage yanayochemka!
 
Mbona nilishakueleza mda tu, huyo namba moja wao tu anawajibika kwa mama ndio iwe dc?haijalishi ni wa longido au kusini magharibi wote ni mali ya mama, labda kichwa hapo juu imejaa tope au uji ndio uminyanie hili
Endelea kufrahisha baraza
 
Mbona nilishakueleza mda tu, huyo namba moja wao tu anawajibika kwa mama ndio iwe dc?haijalishi ni wa longido au kusini magharibi wote ni mali ya mama, labda kichwa hapo juu imejaa tope au uji ndio uminyanie hili
Endelea kufrahisha baraza
Kumbe tunasumbuana muda wote na mtu mpumbavu! Hujui lolote.
 

Kuna watu wana vichwa vigumu sana kuelewa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…