Mungu ana Mipango yake!Hapo lazima dunia nzima itatushangaa na kutuona sisi ni watu wa ajabu kuwahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia kwani ni juzi tu tulikuwa tunaibeza Chanjo ya corona kwa kutangaza kuwa tupo salama na hatuna Korona kabisa alafu leo Hii Makamu wa Rais anakutwa na virusi vya korona
. Ni aibu ya mwaka
Usichangie hii mada.Baharini
Usichangie hii mada.
Ahahahaaaàa [emoji23][emoji1787]. chagu wa malunde . Kwa hiyo ulikuwa hujaamini kuwa Corona ipo ?!. Kikwete aliwahi kukwambia za kuambiwa changanya na za kwakoKwanza kabisa limewashutua watu wengi sababu kwa mujibu wa muongozo utoji taarifa ni Rais,waziri mkuu au waziri wa afya, kwa nini hawajatupa taarifa kuwa kuna maabukizi ya covid 19 hapa nchini?
Ok fine kama kiongozi wa serikali ambae ni makamu wa kwanza wa rais Zanzibar amepata Covid 19,je muuza vitumbua huko forodhani Zanzibar? Je, haiwezi kuwa imeshavuka mpaka Dar es salaam maana kuna muingiliano mkubwa wa watu kati ya Zanzibar na Dar es salaam.
Kwa nini serikali ya rais JPM haitaki kutupa ukweli kuwa kuna maambukizi ya Covid 19? Mnataka yaliyotokea Brazili yatokee hapa Tanzania? Maana kama kuna maambukizi kwa nini tusiambiwe ukweli ili tuchukue tahadhali kwa hali ya juu?
Watanzania tuchukue hatua kujilinda maana tutapukukutika kama njugu. Maana kama viongozi wakubwa wanapata maambukizi alafu serikali inafanya siri,je sisi makabwela tukipata maambukizi tutaweza kutoboa?
Sidhani kama upo sahihi.Ahahahaaaàa [emoji23][emoji1787]. chagu wa malunde . Kwa hiyo ulikuwa hujaamini kuwa Corona ipo ?!. Kikwete aliwahi kukwambia za kuambiwa changanya na za kwako
Jamaa yetu ana arllegy na Corona. Ikitajwa tu anabadilika , unaona anacrash kila kitu kuanzia maabara, chanjo, lockdown na hata barakoa !!
Odhis *
Hospital ya mnazimoja Zanzibar huna imani nayo?Wametumia kipimo gani?
Acha ufala,Bwana asipoulinda mji, walindao wakesha bure.
Akina nani waache kupaniki? Sisi au wale ambao wamekutana naye for the past 10 to 30 days?acheni kupanic .
Akina nani waache kupaniki? Sisi au wale ambao wamekutana naye for the past 10 to 30 days?
Ishu ni kuambiana ukweli.Kama alipata trump sembuse Maalim?
Kwanza kabisa limewashutua watu wengi sababu kwa mujibu wa muongozo utoji taarifa ni Rais,waziri mkuu au waziri wa afya, kwa nini hawajatupa taarifa kuwa kuna maabukizi ya covid 19 hapa nchini?
Ok fine kama kiongozi wa serikali ambae ni makamu wa kwanza wa rais Zanzibar amepata Covid 19,je muuza vitumbua huko forodhani Zanzibar? Je, haiwezi kuwa imeshavuka mpaka Dar es salaam maana kuna muingiliano mkubwa wa watu kati ya Zanzibar na Dar es salaam.
Kwa nini serikali ya rais JPM haitaki kutupa ukweli kuwa kuna maambukizi ya Covid 19? Mnataka yaliyotokea Brazili yatokee hapa Tanzania? Maana kama kuna maambukizi kwa nini tusiambiwe ukweli ili tuchukue tahadhali kwa hali ya juu?
Watanzania tuchukue hatua kujilinda maana tutapukukutika kama njugu. Maana kama viongozi wakubwa wanapata maambukizi alafu serikali inafanya siri,je sisi makabwela tukipata maambukizi tutaweza kutot
Huenda itakuwa busara sn ikiwa mamlaka itatoka na kauli ya kiserikali juu ya jambo hili. Nimeona UTV wameiripoti kupitia Hamad Rashid Mohamed,inazidisha utata na hasa ikizingatiwa unyeti wa jambo lenyewe. Hata hivyo Mh.Rais alishasema tuendelee kuchukua hatua za kujikinga,so pengine hatuhitaji sn kusubri tamko la serikali ikizingatiwa anayeongelewa hapa ni mmoja wa viongozi wa juu serikalini.Kwanza kabisa limewashutua watu wengi sababu kwa mujibu wa muongozo utoji taarifa ni Rais,waziri mkuu au waziri wa afya, kwa nini hawajatupa taarifa kuwa kuna maabukizi ya covid 19 hapa nchini?
Ok fine kama kiongozi wa serikali ambae ni makamu wa kwanza wa rais Zanzibar amepata Covid 19,je muuza vitumbua huko forodhani Zanzibar? Je, haiwezi kuwa imeshavuka mpaka Dar es salaam maana kuna muingiliano mkubwa wa watu kati ya Zanzibar na Dar es salaam.
Kwa nini serikali ya rais JPM haitaki kutupa ukweli kuwa kuna maambukizi ya Covid 19? Mnataka yaliyotokea Brazili yatokee hapa Tanzania? Maana kama kuna maambukizi kwa nini tusiambiwe ukweli ili tuchukue tahadhali kwa hali ya juu?
Watanzania tuchukue hatua kujilinda maana tutapukukutika kama njugu. Maana kama viongozi wakubwa wanapata maambukizi alafu serikali inafanya siri,je sisi makabwela tukipata maambukizi tutaweza kutoboa?