Hili la Maalim Seif kupatikana na maambukizi ya COVID19 linatia ukakasi. Ni aibu kubwa kwa Serikali yetu

Hili la Maalim Seif kupatikana na maambukizi ya COVID19 linatia ukakasi. Ni aibu kubwa kwa Serikali yetu

Hapo lazima dunia nzima itatushangaa na kutuona sisi ni watu wa ajabu kuwahi kutokea tangu kuumbwa kwa dunia kwani ni juzi tu tulikuwa tunaibeza Chanjo ya corona kwa kutangaza kuwa tupo salama na hatuna Korona kabisa alafu leo Hii Makamu wa Rais anakutwa na virusi vya korona
. Ni aibu ya mwaka
Mungu ana Mipango yake!
 
Kwanza kabisa limewashutua watu wengi sababu kwa mujibu wa muongozo utoji taarifa ni Rais,waziri mkuu au waziri wa afya, kwa nini hawajatupa taarifa kuwa kuna maabukizi ya covid 19 hapa nchini?

Ok fine kama kiongozi wa serikali ambae ni makamu wa kwanza wa rais Zanzibar amepata Covid 19,je muuza vitumbua huko forodhani Zanzibar? Je, haiwezi kuwa imeshavuka mpaka Dar es salaam maana kuna muingiliano mkubwa wa watu kati ya Zanzibar na Dar es salaam.

Kwa nini serikali ya rais JPM haitaki kutupa ukweli kuwa kuna maambukizi ya Covid 19? Mnataka yaliyotokea Brazili yatokee hapa Tanzania? Maana kama kuna maambukizi kwa nini tusiambiwe ukweli ili tuchukue tahadhali kwa hali ya juu?

Watanzania tuchukue hatua kujilinda maana tutapukukutika kama njugu. Maana kama viongozi wakubwa wanapata maambukizi alafu serikali inafanya siri,je sisi makabwela tukipata maambukizi tutaweza kutoboa?
Ahahahaaaàa [emoji23][emoji1787]. chagu wa malunde . Kwa hiyo ulikuwa hujaamini kuwa Corona ipo ?!. Kikwete aliwahi kukwambia za kuambiwa changanya na za kwako

Jamaa yetu ana arllegy na Corona. Ikitajwa tu anabadilika , unaona anacrash kila kitu kuanzia maabara, chanjo, lockdown na hata barakoa !!

Odhis *
 
Kwani hukusikia alivyosema kuna watu wameleta Corona ya ajabu ajabu na Jaffo ametangaza nyungu season 3 inaanza kesho. Au ulitaka kutangaziwaje?
 
Ahahahaaaàa [emoji23][emoji1787]. chagu wa malunde . Kwa hiyo ulikuwa hujaamini kuwa Corona ipo ?!. Kikwete aliwahi kukwambia za kuambiwa changanya na za kwako

Jamaa yetu ana arllegy na Corona. Ikitajwa tu anabadilika , unaona anacrash kila kitu kuanzia maabara, chanjo, lockdown na hata barakoa !!

Odhis *
Sidhani kama upo sahihi.
 
NI ugonjwa wa kawaida ila HOFU NDO ITAWAMALIZA.
1.paul dybala aliumwa kapona.
2.rolnado aliumwa kapona.
3.mo salaah aliumwa kapona n.k
Kama Kinga zako za mwili NI DHAIFU lazma utaichukia Corona na kupanic.
Malimao yapo tangawizi zipo.
Chaguo ni lako.
Akina nani waache kupaniki? Sisi au wale ambao wamekutana naye for the past 10 to 30 days?
 
Maalimu Seifu atakua kama anayo kweli atakua kipimo kizuri juu ya ukali wa huu ugonjwa.

Kama akifa basi tutachukua tahadhari, akipona bas tunaendelea na business as usual .
 
''Zanzibar’s First Vice President Seif Sharif Hamad is receiving treatment for the coronavirus, his party said Sunday. Hamad, 77, was on Friday admitted at a hospital in Tanzania’s semi-autonomous archipelago.

“His doctors have advised him to remain under strict medical supervision as he receives treatment against the coronavirus,” said Ado Shaibu, secretary general of his party, Alliance for Change and Transparency (ACT Wazalendo).

His wife and aides have also contracted the virus. The party said the condition of Hamad and his wife is improving.

This development comes days after Tanzania’s president provoked outrage when he urged health authorities to shun COVID-19 vaccines. Instead, he asked citizens to inhale steam to quash the virus''

Wacha wajifukize tu, hayo ni kama mafua tu!
 
Kwanza kabisa limewashutua watu wengi sababu kwa mujibu wa muongozo utoji taarifa ni Rais,waziri mkuu au waziri wa afya, kwa nini hawajatupa taarifa kuwa kuna maabukizi ya covid 19 hapa nchini?

Ok fine kama kiongozi wa serikali ambae ni makamu wa kwanza wa rais Zanzibar amepata Covid 19,je muuza vitumbua huko forodhani Zanzibar? Je, haiwezi kuwa imeshavuka mpaka Dar es salaam maana kuna muingiliano mkubwa wa watu kati ya Zanzibar na Dar es salaam.

Kwa nini serikali ya rais JPM haitaki kutupa ukweli kuwa kuna maambukizi ya Covid 19? Mnataka yaliyotokea Brazili yatokee hapa Tanzania? Maana kama kuna maambukizi kwa nini tusiambiwe ukweli ili tuchukue tahadhali kwa hali ya juu?

Watanzania tuchukue hatua kujilinda maana tutapukukutika kama njugu. Maana kama viongozi wakubwa wanapata maambukizi alafu serikali inafanya siri,je sisi makabwela tukipata maambukizi tutaweza kutot

Kwanza kabisa limewashutua watu wengi sababu kwa mujibu wa muongozo utoji taarifa ni Rais,waziri mkuu au waziri wa afya, kwa nini hawajatupa taarifa kuwa kuna maabukizi ya covid 19 hapa nchini?

Ok fine kama kiongozi wa serikali ambae ni makamu wa kwanza wa rais Zanzibar amepata Covid 19,je muuza vitumbua huko forodhani Zanzibar? Je, haiwezi kuwa imeshavuka mpaka Dar es salaam maana kuna muingiliano mkubwa wa watu kati ya Zanzibar na Dar es salaam.

Kwa nini serikali ya rais JPM haitaki kutupa ukweli kuwa kuna maambukizi ya Covid 19? Mnataka yaliyotokea Brazili yatokee hapa Tanzania? Maana kama kuna maambukizi kwa nini tusiambiwe ukweli ili tuchukue tahadhali kwa hali ya juu?

Watanzania tuchukue hatua kujilinda maana tutapukukutika kama njugu. Maana kama viongozi wakubwa wanapata maambukizi alafu serikali inafanya siri,je sisi makabwela tukipata maambukizi tutaweza kutoboa?
Huenda itakuwa busara sn ikiwa mamlaka itatoka na kauli ya kiserikali juu ya jambo hili. Nimeona UTV wameiripoti kupitia Hamad Rashid Mohamed,inazidisha utata na hasa ikizingatiwa unyeti wa jambo lenyewe. Hata hivyo Mh.Rais alishasema tuendelee kuchukua hatua za kujikinga,so pengine hatuhitaji sn kusubri tamko la serikali ikizingatiwa anayeongelewa hapa ni mmoja wa viongozi wa juu serikalini.
Tujikinge tu!!!
 
Back
Top Bottom