Hili la Maalim Seif kupatikana na maambukizi ya COVID19 linatia ukakasi. Ni aibu kubwa kwa Serikali yetu

RAIS MSTAAFU WA MAREKANI ALIPATA KORONA ... huyu makamu ya PILI ndio nani asipate?
 
Watanzania tunajua kulaumu sana ... kwani kuna mtu amezuiwa kuchukua tahadhari ? MIPASHO MINGI BONGO KWELI NYOSO
 
Sawa Sina akili,kwaiyo unataka watu wafanyeje? maana hata huko mnaowategeme awana dawa ya corona,hayo malimau unayoyadharau yameisha saidia wengi sana Ndio maana unaona kwetu corona sio tishio tena,ila jifunze kuandika vizuri.
Yaani malimau na tangawizi yawe msaada? Unadhani Covid 19 ni mafua ya kawaida?
 
Watanzania tunajua kulaumu sana ... kwani kuna mtu amezuiwa kuchukua tahadhari ? MIPASHO MUNGI BONGO KWELI NYOSO
Wewe mburula unajua maana ya serikali? Na unajua majukumu ya wizara ya afya? Kwa nini tulichagua Ccm iunde serikali?
 
Watanzania tunajua kulaumu sana ... kwani kuna mtu amezuiwa kuchukua tahadhari ? MIPASHO MUNGI BONGO KWELI NYOSO
Cha msingi acheni propaganda kwenye gonjwa hili la hatari viongozi wenye dhamana wanyoonyeshe maelezo juu ya tahadhari zote muhimu na sio kujificha nyuma ya kichaka cha maombi.
 
Cha msingi acheni propaganda kwenye gonjwa hili la hatari viongozi wenye dhamana wanyoonyeshe maelezo juu ya tahadhari zote muhimu na sio kujificha nyuma ya kichaka cha maombi.
Sasa kaa usubiri viongozi wakuambie ujilinde.
 

Kinacho sikitisha zaidi ni pale nionapo Viongozi wanatumia microphone ile ile kwenye mikutano na makongamano nimejaribu kulifatilia hili kwa muda mrefu - hakuna tahadhali yoyote inayo chukuliwa kusema kweli, hii inashangaza sana.
 
Maalim Seif ni mpinzani, taarifa zozote za kumhusu zinataka kuleta taharuki kati ya Serikali na watu wake.

Tanzania hakuna corona.
 
INASHANGAZA SANA KWANINI WASIUTANGAZIE UMMA WA WATANZANIA TU KUWA JANGA LIPO ILI TUCHUKUE TAHADHARI ZOTE,WASIHOFU TUNACHOHITAJI NIKUAMBIWA KWELI NAWALA SIKUJIFUNGIA NDANI COZ GVNMT HAITAKI KUWAJIBIKA KWA WATU WAKE
Serikali ya Jiwe haitaki kuwajibika kwa watu wake. Jiwe anapenda mamlaka lakini hawathamini waliomchagua na ndio maana anaweka mkazo kwenye miradi inayomfaidisha kuliko maisha ya watu .

Akili yake inamtuma kuwa akikubali uwepo wa corona, serikali Itabidi utumie fedha nyingi kukabiliana na huo ugonjwa kwa kununua chanjo hivyo miradi yake kudorola!! Ndio maana anahimiza watu watu mie nyungu!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…