Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikujibu?Fala mwingine.
Huyu bado hajapoteza wapendwa wake kwa pneumonia bado. Time will tellsamahani chief, una miaka mingapi?
Mjadala uliouanzisha hautapata mawazo tofauti ya maana toka kwa wadau wengine kama utaendelea kuuchafua namna hii.Ahaaa. Madhara ya kufikiri kwa kutumia makalio.
Sorry,ila kunamijitu inauzi.Mjadala uliouanzisha hautapata mawazo tofauti ya maana toka kwa wadau wengine kama utaendelea kuuchafua namna hii.
Kiswahili fasaha tafadhali! Inauzi maana yake Nini?Sorrry,ila kunamijitu inauzi.
Sorry.Kiswahili fasaha tafadhali! Inauzi maana yake Nini?
Hata wewe unafurahia kufichwa kwa taarifa za ugonjwa huo ilihali mataifa mengine yanatoa takwimu kila wakati ili kuwatahadharisha wananchi wao kuchukua tahadhari! Jiulize, ni lini waziri wa afya aliwahi kuusemea ugonjwa wa covid-19 au huu mpya wa nimonia? Au wizara ya afya Haina waziri Wala msemaji wake? Kuna Jambo gani la ajabu wasilotaka wananchi walijue?Najua mnategemea muone watu wakizikwa kwa maelfu ili mfurahi.Mmezaliwa ni wapumbavu wa kisiasa.
Wewe umeshapoteza? Tuwekee list hapa na vyeti vya vifo ili tuthibitishe ukali wa maambukizi haya ya ajabu,acha ushabiki wa kipuuzi.Huyu bado hajapoteza wapendwa wake kwa pneumonia bado. Time will tell
nimenukuu maneno ya jiweWewe umeshaambukizwa?
Wewe una taarifa za kisayansi kuthibitisha maambukizi? Unajuaje kuna maambukizi mapya ya covidi 19?Hata wewe unafurahia kufichwa kwa taarifa za ugonjwa huo ilihali mataifa mengine yanatoa takwimu kila wakati ili kuwatahadharisha wananchi wao kuchukua tahadhari! Jiulize, ni lini waziri wa afya aliwahi kuusemea ugonjwa wa covid-19 au huu mpya wa nimonia? Au wizara ya afya Haina waziri Wala msemaji wake? Kuna Jambo gani la ajabu wasilotaka wananchi walijue?
Yapi?nimenukuu maneno ya jiwe
Ni kweli wewe huna chama! Naona Mungu katusahau kipindi hiki!nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.
Mungu yupo na sisi.Ni kweli wewe huna chama! Naona Mungu katusahau kipindi hiki!
Hapo, hayapo, yapo kidogoWewe una taarifa za kisayansi kuthibitisha maambukizi? Unajuaje kuna maambukizi mapya ya covidi 19?
Chochote atakachosema Waziri wa Afya, Waziri Mkuu au Rais kitakuwa kweli?Mimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake.
Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu juu ya maambukizi mapya ya Covid 19 yamevamia nchini kwetu.
Mimi binafsi nasubiri tamko la waziri wa afya,waziri mkuu au rais wa JMT ndio niwe na uhakika juu ya maambukizi haya mapya.
Lakini nini kinawasukuma baadhi ya watu kuizodoa serikali juu ya kutoweka uwazi kama kuna maambukizi mapya?
Nimeshangaa hadi mwenyekiti wa Chadema ameibuka akidai kuwa watanzania tunafichwa juu ya maambukizi ya covid 19. Na ameenda mbali akidai kuwa serikali ikiwa wazi tutapata misaada ya tiba na madakari.
Maoni; Hata hili mnaloshobobokea mkidhani litawabeba kisiasa nalo litapita,maana Mungu yupo na Tanzania. Maambukizi ya mwanzo yalipoingia nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.
Nafikiri hamkuelewa vizuri. Covid 19 inavyosambaa kwa kasi mpaka sasa tungekuwa tuko salama?Hapo, hayapo, yapo kidogo
Ndio mamlaka zinazotakiwa kutupa taarifa rasmiChochote atakachosema Waziri wa Afya, Waziri Mkuu au Rais kitakuwa kweli?
Akili zako ni sawa na huyu unayemshabikia. Kwa sababu alishasema ''hilo nalo litapita'' umeamua kukariri. Au pengine ni yeye mwenyewe ameingia kwa ID ya kificho. Likipita wewe huoni litapita kwa kusababisha hasara kubwa ya vifi ambavyo vingeweza kuzuilika?Mimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake.
Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu juu ya maambukizi mapya ya Covid 19 yamevamia nchini kwetu.
Mimi binafsi nasubiri tamko la waziri wa afya,waziri mkuu au rais wa JMT ndio niwe na uhakika juu ya maambukizi haya mapya.
Lakini nini kinawasukuma baadhi ya watu kuizodoa serikali juu ya kutoweka uwazi kama kuna maambukizi mapya?
Nimeshangaa hadi mwenyekiti wa Chadema ameibuka akidai kuwa watanzania tunafichwa juu ya maambukizi ya covid 19. Na ameenda mbali akidai kuwa serikali ikiwa wazi tutapata misaada ya tiba na madakari.
Maoni; Hata hili mnaloshobobokea mkidhani litawabeba kisiasa nalo litapita,maana Mungu yupo na Tanzania. Maambukizi ya mwanzo yalipoingia nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.