Hili la maambukizi ya ajabu ya COVID-19 litapita na mtabaki mmeumbuka

Hili la maambukizi ya ajabu ya COVID-19 litapita na mtabaki mmeumbuka

Mungu yupo na sisi.
Mungu sio mjinga Ndugu yangu! Kasome maandiko ya akina Mfalme Naamani aliyekua na ukoma. Kuna very special cases ambazo Mungu yeye mwenyewe hutenda miujiza ya Uponyaji na mengine. Mungu hashurutishwi na Wana siasa, tusimdhihaki Mungu, ametupa akili tuzitumie, tusizitumie kwenye kuibia kura tu
 
Mimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake.

Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu juu ya maambukizi mapya ya Covid 19 yamevamia nchini kwetu.

Mimi binafsi nasubiri tamko la waziri wa afya,waziri mkuu au rais wa JMT ndio niwe na uhakika juu ya maambukizi haya mapya.

Lakini nini kinawasukuma baadhi ya watu kuizodoa serikali juu ya kutoweka uwazi kama kuna maambukizi mapya?

Nimeshangaa hadi mwenyekiti wa Chadema ameibuka akidai kuwa watanzania tunafichwa juu ya maambukizi ya covid 19. Na ameenda mbali akidai kuwa serikali ikiwa wazi tutapata misaada ya tiba na madakari.

Maoni; Hata hili mnaloshobobokea mkidhani litawabeba kisiasa nalo litapita,maana Mungu yupo na Tanzania. Maambukizi ya mwanzo yalipoingia nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.
Acha ujinga na propaganda za Uccm.
Corona is there to stay. Kinachotakiwa ni Magufuli kuacha mkwara mbuzi akubaliane na matakwa ya WHO ambayo Tanzania kama nji imesaini kuridhia mikataba ya Kimataifa kulinda Afya za Watz na Dunia kwa ujumla.
 
Ni

Akili zako ni sawa na huyu unayemshabikia. Kwa sababu alishasema ''hilo nalo litapita'' umeamua kukariri. Au pengine ni yeye mwenyewe ameingia kwa ID ya kificho. Likipita wewe huoni litapita kwa kusababisha hasara kubwa ya vifi ambavyo vingeweza kuzuilika?
Nani huyo unaemsema? Kwani Mbowe alipohojiwa Aljazeera mwaka jana na kusema Dar wanakufa watu 30 elfu kwa siku hamkujua kuwa kuna vifo vingetokea? Mungu alikuwa pamoja na Tanzania.
 
Mungu sio mjinga Ndugu yangu! Kasome maandiko ya akina Mfalme Naamani aliyekua na ukoma. Kuna very special cases ambazo Mungu yeye mwenyewe hutenda miujiza ya Uponyaji na mengine. Mungu hashurutishwi na Wana siasa, tusimdhihaki Mungu, ametupa akili tuzitumie, tusizitumie kwenye kuibia kura tu
Hakuna mwanasiasa anayemshurutisha Mungu. Watanzania wanamuomba Mungu.
 
Acha ujinga na propaganda za Uccm.
Corona is there to stay. Kinachotakiwa ni Magufuli kuacha mkwara mbuzi akubaliane na matakwa ya WHO ambayo Tanzania kama nji imesaini kuridhia mikataba ya Kimataifa kulinda Afya za Watz na Dunia kwa ujumla.
Wewe ndio mjinga na mpumbavu. Wapi imeandikwa kwa kuwa Tanzania ni mwanachama wa WHO basi tukubaliane na dawa au chanjo hata kama zima madhara? Pumbavu.
 
Mungu sio wa kuchezea! Tutumie akili hata kama ni ndogo, ni zetu! Tutumie kutatua changamoto zetu huku tukimuomba! Nenda kasome kwenye Bible Kisa cha wale Washkaji waliokua na Ukoma, hawakukaa pale, waliamua kuondoka kwa "imani" hawakubaki pale ili Mungu awatendee muujiza pale, no walichukua hatua!

Kwenye hii Corona, issue ya ku-relax na kujiaminisha kuwa tuko salama, ni kumjaribu Mungu wetu. Mungu hajaribiwi
 
Mungu sio wa kuchezea! Tutumie akili hata kama ni ndogo, ni zetu! Tutumie kutatua changamoto zetu huku tukimuomba! Nenda kasome kwenye Bible Kisa cha wale Washkaji waliokua na Ukoma, hawakukaa pale, waliamua kuondoka kwa "imani" hawakubaki pale ili Mungu awatendee muujiza pale, no walichukua hatua!

Kwenye hii Corona, issue ya ku-relax na kujiaminisha kuwa tuko salama, ni kumjaribu Mungu wetu. Mungu hajaribiwi
Nani amerelax? Tunasali kumuomba Mungu mchana na usiku. Kumbuka hata mizimu ya mababu tunaiomba pia.
 
Mimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake.

Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu juu ya maambukizi mapya ya Covid 19 yamevamia nchini kwetu.

Mimi binafsi nasubiri tamko la waziri wa afya,waziri mkuu au rais wa JMT ndio niwe na uhakika juu ya maambukizi haya mapya.

Lakini nini kinawasukuma baadhi ya watu kuizodoa serikali juu ya kutoweka uwazi kama kuna maambukizi mapya?

Nimeshangaa hadi mwenyekiti wa Chadema ameibuka akidai kuwa watanzania tunafichwa juu ya maambukizi ya covid 19. Na ameenda mbali akidai kuwa serikali ikiwa wazi tutapata misaada ya tiba na madakari.

Maoni; Hata hili mnaloshobobokea mkidhani litawabeba kisiasa nalo litapita,maana Mungu yupo na Tanzania. Maambukizi ya mwanzo yalipoingia nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.
Wewe kama Mtanzania siyo Mtanzania ni Mgeni Raia tokea mbali kwani hutaki kuona watanzania wanaanza kunawa mikono kupaka vitakasa mikono kuvaa barakoa kwa bidii kama awali Mbona waziri wa Afya wa Zamani alizuia mpaka salam za kushikana mikono? Huyu waziri wa sasa Hataki hata kuhamasisha tahadhari
 
Wewe kama Mtanzania siyo Mtanzania ni Mgeni Raia tokea mbali kwani hutaki kuona watanzania wanaanza kunawa mikono kupaka vitakasa mikono kuvaa barakoa kwa bidii kama awali Mbona waziri wa Afya wa Zamani alizuia mpaka salam za kushikana mikono? Huyu waziri wa sasa Hataki hata kuhamasisha tahadhari
Nani amekuambia haya?
 
Mimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake.

Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu juu ya maambukizi mapya ya Covid 19 yamevamia nchini kwetu.

Mimi binafsi nasubiri tamko la waziri wa afya,waziri mkuu au rais wa JMT ndio niwe na uhakika juu ya maambukizi haya mapya.

Lakini nini kinawasukuma baadhi ya watu kuizodoa serikali juu ya kutoweka uwazi kama kuna maambukizi mapya?

Nimeshangaa hadi mwenyekiti wa Chadema ameibuka akidai kuwa watanzania tunafichwa juu ya maambukizi ya covid 19. Na ameenda mbali akidai kuwa serikali ikiwa wazi tutapata misaada ya tiba na madakari.

Maoni; Hata hili mnaloshobobokea mkidhani litawabeba kisiasa nalo litapita,maana Mungu yupo na Tanzania. Maambukizi ya mwanzo yalipoingia nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.
Unajidanganya, chukua tahadhali. Rais awali alikana kwa nguvu zote gonjwa hilo halipo, maombi yameliteketeza. Juzi ulimi uliteleza akakiri ipo, tena ya ajabu na imeletwa na walio enda kuchanjwa nje ya nchi. Amesahau kuwa mipaka ya nchi ya anga na nchi kavu iko wazi na waingiao wanashukuriwa kwa kutovaa barakoa.
 
None of your business.
Sasa kama uliona hatuna business na huu ugolo wako umeleta humu wa nini? Hakuna group la chama chenu huko ili mjadiliane hotuba za mtukufu wenu? Au unadhani kujibalaguza huna chama kunatosha kutidanganya wewe siyo mwanachama wa Zuzu Party?
 
Back
Top Bottom