Hili la maambukizi ya ajabu ya COVID-19 litapita na mtabaki mmeumbuka

Hili la maambukizi ya ajabu ya COVID-19 litapita na mtabaki mmeumbuka

Nisake uteuzi ili iweje? Nipo kijijini nalima na kufuga,sihitaji uteuzi.
Siku ukizinduka ukaacha zidumu fikra zisizo sahihi za mwenyekiti wa CCM ndipo utaweza kumwambia waziri wa afya aacha kuhangaika na zile sifa zake kwenye mitandao atangazie umma waache salam za kushikana mikono ambazo ndizo husambaza covid 19 kwa kasi kubwa kuliko chochote
 
Usihamishe hoja! Unadai Chanjo imeleta corona ya ajabu ajabu, nipe evidence! Yaani ulimwengu mzima wanajimbilia chanjo wewe unaongea vitu ambavyo havipo? Kila kitu kina controversy hilo ni la kawaida sana. India as we speak wameanza zoezi la chanjo kwa wananchi wake, Iran wameagiza Chanjo kutoka China etc wewe unapinga! Eti umesali? Acha kumdhalilisha Mungu
Kwani Tanzania tumekataa chanjo? Hii ni dola huru,hatutakiwi kupangiwa na nchin yoyote au taasisi yoyote kama tunatakiwa kukubali chanjo. Jiongeze juu hili.
 
Siku ukizinduka ukaacha zidumu fikra zisizo sahihi za mwenyekiti wa CCM ndipo utaweza kumwambia waziri wa afya aacha kuhangaika na zile sifa zake kwenye mitandao atangazie umma waache salam za kushikana mikono ambazo ndizo husambaza covid 19 kwa kasi kubwa kuliko chochote
Huna akili wewe mburula. Covid 19 ni airbone desease,jiongeze kutumia akili.
 
Huna akili na ninakupuuza kama kinyesi.
Hapo ulipo wewe mbumbumbu juha zuzu kilaza unawezaje kunipuuza wakati huna Ubongo? Anza kujichunguza kwanza utajitambua wewe ni fala namba moja huna cha kumpuuza mtu wakati wewe ni mpuuzi mshamba wa kutupwa
 
Kwani Tanzania tumekataa chanjo? Hii ni dola huru,hatutakiwi kupangiwa na nchin yoyote au taasisi yoyote kama tunatakiwa kukubali chanjo. Jiongeze juu hili.
Nadhani uelewa wako ni mdogo sana sana kwenye haya mambo! Tufanye umeshinda! La mwisho, nenda kasome alichokiongea Mkurugenzi wa WHO
 
Nadhani uelewa wako ni mdogo sana sana kwenye haya mambo! Tufanye umeshinda! La mwisho, nenda kasome alichokiongea Mkurugenzi wa WHO
Wewe usijifanye mjuaji. WHO hawana mandate ya kutulazimisha kukubali chanjo. Kama unabisha utaumbuka bro. Mimi sio saizi yako juu ya uelewa wa mambo.
 
Wewe usijifanye mjuaji. WHO hawana mandate ya kutulazimisha kukubali chanjo. Kama unabisha utaumbuka bro. Mimi sio saizi yako juu ya uelewa wa mambo.
Hahahaha hahahaha hahahaha sawa! Kama uelewa wako ndio huu basi umeshinda
 
Wewe ndio mjinga na mpumbavu. Wapi imeandikwa kwa kuwa Tanzania ni mwanachama wa WHO basi tukubaliane na dawa au chanjo hata kama zima madhara? Pumbavu.
Wewe mbweha acha kuwasemea watanzania kwani hawapo tayari kusemewa na kijitu kipumbavu kama wewe mburula
 
Wewe ndio mjinga na mpumbavu. Wapi imeandikwa kwa kuwa Tanzania ni mwanachama wa WHO basi tukubaliane na dawa au chanjo hata kama zima madhara? Pumbavu.

Pumbavu ni wewe usiyejitambua....!!!
Wee utakuwa ni mmoja wa watu wajinga ambao ni kama puppets wa Magufuli.
Ni upuuzi kutetea hoja za Magufuli za kupingana na WHO kuhusu chanjo ya Covid-19! Magufuli asiidanganye dunia kuwa ati chanjo za Covid-19 ni vita vya kiuchumi....That's nonsense and absurdity.
 
Pumbavu ni wewe usiyejitambua....!!!
Wee utakuwa ni mmoja wa watu wajinga ambao ni kama puppets wa Magufuli.
Ni upuuzi kutetea hoja za Magufuli za kupingana na WHO kuhusu chanjo ya Covid-19! Magufuli asiidanganye dunia kuwa ati chanjo za Covid-19 ni vita vya kiuchumi....That's nonsense and absurdity.
I am not a puppet,i just tell the truth.
 
Wewe usijifanye mjuaji. WHO hawana mandate ya kutulazimisha kukubali chanjo. Kama unabisha utaumbuka bro. Mimi sio saizi yako juu ya uelewa wa mambo.
Wewe mbweha unaelewa nini? Acha kuvuta Bangi kisha kuja kusumbua watu mitandaoni
 
Back
Top Bottom