Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Mmeyajuaje wakati hatujachanjwa na wala "hatuna maambukizi"?? Sasa mmejuaje hayo yote? Narudia Mungu hakutupa akili za kuvalia nguo na kwendea chooni na kuibia kura tu! Ametupa akili tuzitumie ili yeye aweze kuwakuza na kuwalinda watoto wetu. Mungu hadhihakiwiNi kwamba kuna chanjo ya Covid 19 imesababisha kuwe na maambukizi ya ajabuajabu.