Hili la maambukizi ya ajabu ya COVID-19 litapita na mtabaki mmeumbuka

Hili la maambukizi ya ajabu ya COVID-19 litapita na mtabaki mmeumbuka

Lazima jitu pumbavu kama wewe upanick. Mpe ujumbe wake Mbowe anaumbuka tena,na ndio maana alikosa ubunge.
Anaumbuka wapi? Lini? Ubunge upi alikosa? Tanzania hakunuwa na uchaguzi bali CCM imeulawiti na kuubaka kuunajisi uchaguzi mkuu kwa njia haramu za kishetani na nyinyi wavuta Bangi mnashabikia haramu zao
 
Watetezi wa CCM mara baada ya kuvuta Bangi huja mitandaoni kusumbua watu ndiyo hutetea ujinga wote wa Serikali ya CCM bila Haya, wameshindwa hata kumshauri waziri wa Afya ahamasishe kinga kwa watanzania wamekalia kutetea maambukizi yaongezeke pasipo kujali afya za watanzania wenzao
 
Mwambie Mbowe amechemka,ndio maana alikosa ubunge. Mliobaki kumtetea na upuuzi wake ni wapuuzi hamna hoja za msingi.
Huna Akili timamu alafu wewe ni mpuuzi unawezaje kujua Hoja? Mpaka ukiacha kuvuta Bangi ndipo utazinduka na kujua kumbe wewe ni bado ni fala na hupaswi kuwa kioo cha kujitetea CCM mitandaoni kwani badala ya kuisaidia Serikali ya CCM unazidi kuiaibisha zaidi na kibaya zaidi unajiona una Akili wakati huna Ubongo kichwani
 
Mimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake.

Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu juu ya maambukizi mapya ya Covid 19 yamevamia nchini kwetu.

Mimi binafsi nasubiri tamko la waziri wa afya,waziri mkuu au rais wa JMT ndio niwe na uhakika juu ya maambukizi haya mapya.

Lakini nini kinawasukuma baadhi ya watu kuizodoa serikali juu ya kutoweka uwazi kama kuna maambukizi mapya?

Nimeshangaa hadi mwenyekiti wa Chadema ameibuka akidai kuwa watanzania tunafichwa juu ya maambukizi ya covid 19. Na ameenda mbali akidai kuwa serikali ikiwa wazi tutapata misaada ya tiba na madakari.

Maoni; Hata hili mnaloshobobokea mkidhani litawabeba kisiasa nalo litapita,maana Mungu yupo na Tanzania. Maambukizi ya mwanzo yalipoingia nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.
Kwani chanjo ikiletwa, watanzania wakachanjwa, mwenyekiti wa CHADEMA atanufaika vipi kisiasa? Umesema siyo shabiki wa chama Cha siasa,Ila kumbe ni shabiki wa chama tawala.
 
Mimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake.

Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu juu ya maambukizi mapya ya Covid 19 yamevamia nchini kwetu.

Mimi binafsi nasubiri tamko la waziri wa afya,waziri mkuu au rais wa JMT ndio niwe na uhakika juu ya maambukizi haya mapya.

Lakini nini kinawasukuma baadhi ya watu kuizodoa serikali juu ya kutoweka uwazi kama kuna maambukizi mapya?

Nimeshangaa hadi mwenyekiti wa Chadema ameibuka akidai kuwa watanzania tunafichwa juu ya maambukizi ya covid 19. Na ameenda mbali akidai kuwa serikali ikiwa wazi tutapata misaada ya tiba na madakari.

Maoni; Hata hili mnaloshobobokea mkidhani litawabeba kisiasa nalo litapita,maana Mungu yupo na Tanzania. Maambukizi ya mwanzo yalipoingia nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.
In short you are stupid!
Vaa barakoa uwakinge wengine
 
Mimi kama mtanzania nisiemfuasi wa chama chochote sipendi ushabiki wa kishamba hasa juu ya suala ambalo linagusa maslahi ya kila mtanzania bila kubagua itikadi zake.

Hapa nchini kwetu kumetokea vifo vingi kipindi cha mwezi huu wa kwanza na vifo hivi vimewashutua watu watanzania na kuwa na hofu juu ya maambukizi mapya ya Covid 19 yamevamia nchini kwetu.

Mimi binafsi nasubiri tamko la waziri wa afya,waziri mkuu au rais wa JMT ndio niwe na uhakika juu ya maambukizi haya mapya.

Lakini nini kinawasukuma baadhi ya watu kuizodoa serikali juu ya kutoweka uwazi kama kuna maambukizi mapya?

Nimeshangaa hadi mwenyekiti wa Chadema ameibuka akidai kuwa watanzania tunafichwa juu ya maambukizi ya covid 19. Na ameenda mbali akidai kuwa serikali ikiwa wazi tutapata misaada ya tiba na madakari.

Maoni; Hata hili mnaloshobobokea mkidhani litawabeba kisiasa nalo litapita,maana Mungu yupo na Tanzania. Maambukizi ya mwanzo yalipoingia nchini,mlitengeneza clip kuonyesha watu wanazikwa usiku ,lakini hamkufanikiwa kisiasa. Mungu alitulinda watanzania.

Wewe usiamini kama kuna covid19 21 , na endelea kusubiri kupata taarifa za vifo vya ndugu na jamaa hata wewe ukiwa marehemu mtarajiwa
 
Mleta uzi huu ni mfano wa akina Pascal Mayalla na Cyprian Musiba.There for a gain,no gain no thread.
 
Back
Top Bottom