Hili la maambukizi ya ajabu ya COVID-19 litapita na mtabaki mmeumbuka

Najua mnategemea muone watu wakizikwa kwa maelfu ili mfurahi.Mmezaliwa ni wapumbavu wa kisiasa.
Hata wewe unafurahia kufichwa kwa taarifa za ugonjwa huo ilihali mataifa mengine yanatoa takwimu kila wakati ili kuwatahadharisha wananchi wao kuchukua tahadhari! Jiulize, ni lini waziri wa afya aliwahi kuusemea ugonjwa wa covid-19 au huu mpya wa nimonia? Au wizara ya afya Haina waziri Wala msemaji wake? Kuna Jambo gani la ajabu wasilotaka wananchi walijue?
 
Huyu bado hajapoteza wapendwa wake kwa pneumonia bado. Time will tell
Wewe umeshapoteza? Tuwekee list hapa na vyeti vya vifo ili tuthibitishe ukali wa maambukizi haya ya ajabu,acha ushabiki wa kipuuzi.
 
Wewe una taarifa za kisayansi kuthibitisha maambukizi? Unajuaje kuna maambukizi mapya ya covidi 19?
 
Chochote atakachosema Waziri wa Afya, Waziri Mkuu au Rais kitakuwa kweli?
 
Ni
Akili zako ni sawa na huyu unayemshabikia. Kwa sababu alishasema ''hilo nalo litapita'' umeamua kukariri. Au pengine ni yeye mwenyewe ameingia kwa ID ya kificho. Likipita wewe huoni litapita kwa kusababisha hasara kubwa ya vifi ambavyo vingeweza kuzuilika?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…