Huijui Zanzibar. SikulaumuHajui kwamba raisi wake amesign blue economy na Mzungu hao changu, kolekole atawasikia tu mtaletewa kambale kwa kwenda mbele.
Kolekole ni wa Mzungu na Mchina meli kubwa za uvuvi za EU zinavua kila kitu mpaka watoto wa samaki wameruhusiwa, Magufuli (RIP) angekuwepo mngekula hao kolekole na changu, ila kwa sasa zoeeni tu kambale mpaka mshike adabu!
Ukeshakuwa na mtazamo wako wa awali ni vigumu kuelewa na hasa lugha ikiwa sio ya kuzaliwa. Kule Zanzibar watu 99 9% wanakula samaki wa maji chumvi. Ni kama ilivyo Mwanza ambao watu takriban 97% wanakula samaki wa maji baridi. Kumbuka: Huyu anazungumza kwenye Baraza la Wawakilishi la Zanzibar kuhusu Zanzibar.Ubaguzi ni kitu kibaya sana
Huijui Zanzibar. Sikulaumu
Wote hao ni mazao ya kuhujumumiwa kwa uchaguzi
Ndiyo ni wa ajabu ajabu,sasa kama hatuwez kuwala na hawana ladha tueaiteje sheikh?? Kuleni wenyewe
Si uoneshe au mnukuu kasema nini zaidi ya kambare? Au wewe kambare?Najua wewe unamtetea huyo aliyesema hayo kisa ni mdini mwenzako.
Unamshangaa hyo wakati wengine huyo kambare kwao ni haramu kabisa, wa sabato.Tumia akili wewe , tangu lini chakula anachokula ndugu yako ukakiita cha HOVYO HOVYO?
Wewe tunakujua kuwa ni mbaguzi wa dini na unaichukia sana dini tofauti na uislmUnamshangaa hyo wakati wengine huyo kambare kwao ni haramu kabisa, wa sabato.
Au nguruwe, biblia inasema nruruwe ni najisi na mnafakamia. Mbona hamsemi biblia inawabagua?
Pamoja sana kiongoziSawa, hiyo ndio ingekua hoja kuu Mkuu. Shida yangu ilikua kwenye kuuhususha Muungano na hii kauli.
Nakupongeza kwa kutoa somo la uadilifu.Mtukufu mtume (saw) alipokuwa anakaribishwa kula chakula, kama alikuwa hapendi chakula fulani alichokaribishwa basi yeye alikula kidogo tu licha ya kwamba hakupenda chakula hicho, hapo lazima tujifunze adabu na heshima ya vyakula halali japokuwa wewe hupendi chakula hicho, usidharau chakula alichotupatia Allah kwani inawezekana ikatokea siku njaa ikakupiga kiasi kwamba hata hicho chakula cha "ajabu ajabu" ukakikosa na ukaishia kula nguruwe aliyeharamishwa.
Heshimu chakula halali japokuwa kwako wewe hukipendi kwani ni Allah ndiye aliyeleta hivyo vyakula.
Mbona unahangaika sana wewe kigagu?Si uoneshe au mnukuu kasema nini zaidi ya kambare? Au wewe kambare?
Mbona wewe unaitamani sana kiti moto?Unamshangaa hyo wakati wengine huyo kambare kwao ni haramu kabisa, wa sabato.
Au nguruwe, biblia inasema nruruwe ni najisi na mnafakamia. Mbona hamsemi biblia inawabagua?
Almost the same... tofauti hawa wapo Zanzibar!Nashindwa kuelewa tofauti zao hao wawili ...msaada please
Mbona wewe unaitamani sana kiti moto?
Nahangaika mimi au wewe uliyekosa jibu?Mbona unahangaika sana wewe kigagu?
Wewe tunakujua kuwa ni mbaguzi wa dini na unaichukia sana dini tofauti na uislm
Haitakusaidia kitu wewe ajuzaLukuvi: Nina Hofu na Uislaam aka "Islamophobia".
Kabla ya kutoka bungeni baadhi ya wabunge wa UKAWA jana, Professor Lipumba aliweka wazi aliyoyaongea kanisani waziri mmoja wa Serikali ya Muungano. Lipumba alisema kuna waziri kaenda kuhutubia kanisani kuwa "ikiwa Zanzibar itapewa mamlaka kamili basi mjuwe itaanzisha dola ya Kiislam". Jana...www.jamiiforums.com
Siwezi kuoandisha uzi husika alafu nikose jibuNahangaika mimi au wewe uliyekosa jibu?