Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Jamani kama taifa tuna kazi ya kufanya kweli kweli.
Wakati viongozi wakuu wa wizara zinazo husika na muungano wakiumiza vichwa kuimarisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar bado kuna wabunge wanaharibu juhudi hizo.
Sikikizeni hapo ili kwa umoja wetu tunajadili.
Wakati viongozi wakuu wa wizara zinazo husika na muungano wakiumiza vichwa kuimarisha muungano wa Tanganyika na Zanzibar bado kuna wabunge wanaharibu juhudi hizo.
Sikikizeni hapo ili kwa umoja wetu tunajadili.