Hili la mkopo wa SGR hebu tuwekane sawa na MaCCM maana naona nyie ndio mumeumia sana


Taarifa za kwamba mumefika 50% huwa zinatoka kwako, sijawahi kuziona sehemu yoyote rasmi, lakini hata hivyo kwa mwaka mmoja uliosalia ni dhahiri hii reli hamtaitumia kwenye kampeni za mkulu kama alivyofanya rais Uhuru, kasafiri kwa treni ya SGR kutoka Mombasa hadi Nairobi akifanya kampeni, safu yote ya 500km aliijenga ndani ya awamu yake ya kwanza.
Anyway nawatakia kila la heri ila muache kubabaika kwa masuala ya SGR ya Kenya na mkopo wa Mchina, mnaiongelea hata kuwazidi Wakenya ilhali mnapotoshana wenyewe na kuongopeana.
 
wacha kutulisha matango pori. miaka minne ndio sasa munafika 50% kisha baada ya miezi sita inayokuja (Nov) mutakua munapokea nini wakati miaka minne sasa hamuelewekieleweki
Kwani shida yako nn?subiri November
 
Hufuatulii sasa ulitegemea kupata taarifa kwa style gani? TRC ndio wamesema ujenzi umefikia 50% sio taarifa zangu
 
Jamaa umeadimika, nilifikiria uhamiaji wamekushtukia.....
Huu mjadala wa mambo ya mkopo wa Mchina kweli umewagusa penyewe ikiwa hata wewe umechomoza kichwa.
Kabisaa Huyu jamaa kapotea sijui Bando taabu
Cc MOTOCHINI
 
Ila we mtu umekimbia Jf kabisa Kipi kimekusibu
Chakunikimbiza Jf kipi!!
Sipo Nyumbani Tz Na huku niliko Kuna shida kidogo Lakini haijawahi tokea siku kupita bila Kuingia Jf
 
Chakunikimbiza Jf kipi!!
Sipo Nyumbani Tz Na huku niliko Kuna shida kidogo Lakini haijawahi tokea siku kupita bila Kuingia Jf
Kwamba Ulikwea pipa!
Wapi bwana Haupo Tanzania!!
 
Nakumbuka nikiwa shule ya msingi, somo la GHC mwalimu alinifunza kutumia nyuzi kupima urefu wa barabara iliyo na corners. Hivi kina geza ulole hawajui kitu cha msingi kama hicho?
SGR nbi to mbsa ni 500km.
 
Shida yako nn
Hivi mada hujaiona!!
Wacha ujinga bas
Sawa
Hatukuoni Jf Tukajua Labda Umekubwa na Janga fulan
Sasa et haupo Tanzania niwapi hakuna Internet Au Kijijini Unalima
 
Uzuri wa Tanzania maendeleo kila kona, JPM akienda mahali lazima vitu vitatu vitokee kwa mpigo kuzindua kiwanda, hospitals, barabara kila mkoa kila wilaya, so far Tanzania ndio inaongoza ukanda huu kwa mtandao mkubwa wa barabara za lami zenye viwango

JPM 2020 wala hana muda wa kupanda jukwaani

 
Mchina kawakata ngebe kikatili [emoji16][emoji16][emoji16]
Mchina Mungu akuweke
Jamaa wamepanic
kinacho nishangaza et Kanyimwa SGR ila Kapewa yakukarabati Kitu cha mkoloni
Yaani hadi chamkoloni Unaomba!!
Mnauchumi gani
Magu anajenga SGR ya umeme Kesh pesa yetu yabila mkopo
Pia anarekebisha Njia ya Mkoloni Bila taabu
Jamaa hawana uwezo wa Kujenga hata 1Km kwa pesa yao!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…