Hili la mkopo wa SGR hebu tuwekane sawa na MaCCM maana naona nyie ndio mumeumia sana

Tell them maana macho yao yamezoea story za kutunga na kuona bad news, wanajuaga sijui chuki chuki zao zitavuka border [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nakumbuka nikiwa shule ya msingi, somo la GHC mwalimu alinifunza kutumia nyuzi kupima urefu wa barabara iliyo na corners. Hivi kina geza ulole hawajui kitu cha msingi kama hicho?
SGR nbi to mbsa ni 500km.
Jipange urudi tena
 
Yani magu ameshindwa kabisa na km200 hadi morogoro na vile mnapiga kelele kila siku. tuusan weka aeriel view ya hiyo 50% complete ama ukubali hiyo ni kiki tu.
 
😁😁😁😁 Taifa fukara na mufilisi kama Kenya halina uwezo hata wa kukwangua kutu kwenye rail ya mkoloni kwa pesa zake lenyewe, juzi JPM katoa down payments ya hundreds of millions of USD almost 800 billion kwa mkandarasi wa stiglierz pesa ya ndani hiyo

Wao wamebebana Ikulu yote na upinzani wote kwenda China kulilia vijipesa vya kufufua rail ya mkoloni, kweli hii dharau ya karne
 
Sie vijana wapo kazini Kufufua Reli ya Mkoloni ya kati na ile ya Tanga na wala hatuna taabu
Vidume na Milingoti yao Wima kwa mwanaume mwenzie kuomba Dunia Gunia
 
Tell them maana macho yao yamezoea story za kutunga na kuona bad news, wanajuaga sijui chuki chuki zao zitavuka border [emoji23][emoji23][emoji23]
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mbona wataelewa show
 

Sasa Dangagiza sijui tutaliitaje. LIINCHI masikini kuliko Haiti. Ptaah
 
Sie vijana wapo kazini Kufufua Reli ya Mkoloni ya kati na ile ya Tanga na wala hatuna taabu
Vidume na Milingoti yao Wima kwa mwanaume mwenzie kuomba Dunia Gunia
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hawajui kama tumefufua mpaka rail ya Uganda kwa pesa yetu wenyewe wala sio deni, kipande cha kutoka port bell mpaka Kampala almost 30 kilometres ni serikali ya Tanzania ndio imekitengeneza kwa pesa yake, hilo walijue
 
Huwa nawaeleza Uchumi wao Wakenya upo kwenye makaratasi
 
Eti Wakenya Wakikaa wakitazama wanaona Wametangulia Mbele ya Tanzania
hahaha!!
Kweli Mungu na Watanzania
Shetani na Wakenya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…