Tetesi: Hili la Polisi kupitia hotuba za wanasiasa kabla ya kuwahutubia wananchi ni udikteta au kulinda 4R?

Tetesi: Hili la Polisi kupitia hotuba za wanasiasa kabla ya kuwahutubia wananchi ni udikteta au kulinda 4R?

Wtf cares? Democracy is a scam..unaweza ukafanya research yako kuhusu wagombea na sera zao na ukapiga kura kwa ueledi, lkni kikura chako kimoja kinaenda kuwa invalidated na mtu mmoja aliehongwa jero huko mkoa mwengine.

It is a stupid way to choose leaders and the sooner we realize this, the better
 
Na huku jf na mitandai mingine watakuwa wanafanya the same? Hawa Polisi wanasumbuliwa na kuto kuwa na shule, na wenye shule wote ni wanatumia vyeti vya ndugu zao. hili ndio Tatizo.
Polisi wanatimiza maelekezo toka CCM ili hotuba za wapinzani zipelekwe CCM kabla hawajawhutubia wananchi ili zifanyiwe marekebisho.
 
Wanasiasa wengi wa upinzani hutoa hotuba zao vichwani bila kuandika popote, hata wakipewa hotuba za kuandikwa mara nyingi huishia kutokuzisoma na kusema zaidi yaliyopo vichwani mwao. Sijui polisi watapiga marufuku hotuba zilizopo vichwani?
Ukitoa hotuba ambayo haijapitiwa na Polisi utakamatwa.
 
Social media zipo? kwanza mikutano ya hadhara inaelekea kupitwa na wakati
Hata ukitumia mitandao bado ni hotuba, hivyo utalazimika kupeleka Polisi wakipitie kwanza unachotaka kuandika kwenye mtandao, usipofanya hivyo ni kosa.
 
Hii habari ambayo inawataka wanasiasa wapeleke hotuba zao wazipitie kabla ya kuzitoa kwenye majukwaa, inania ya kukomaza demokrasia au kuifuta demokrasia?
Huenda mimi ndio sijaelewa ila kama nimekuelewa basi huyo aliyeagiza hivyo ni mpumbavu.

Hakuna hotuba ya kuandikwa katika mikutano ya hadhara, hotuba inatoka kichwani, sifa kuunya mwanasiasa ni kuweza kuitwka hadhara kwa ushawishi kutoka kichwani kwako na siyo kuandikiwa.
 
Tumalize TATIZO...CCM itatuua mentally na MWISHO TAIFA litaitaji watu kutoka nje kuboost thinking yetu. Kuna mikoa DNA zao zimefumaa . Alafu mengi ndo umepewa uwaziri...PWANI DNA hajawahi kuwa thinking stronger.
 
Huenda mimi ndio sijaelewa ila kama nimekuelewa basi huyo aliyeagiza hivyo ni mpumbavu.

Hakuna hotuba ya kuandikwa katika mikutano ya hadhara, hotuba inatoka kichwani, sifa kuunya mwanasiasa ni kuweza kuitwka hadhara kwa ushawishi kutoka kichwani kwako na siyo kuandikiwa.
Watuambie wao vichwa maji wanataka tuandike Insha tuwapatie waikague ilihali shule walizengua huu utakuwa ufala.
 
Hii habari ambayo inawataka wanasiasa wapeleke hotuba zao wazipitie kabla ya kuzitoa kwenye majukwaa, inania ya kukomaza demokrasia au kuifuta demokrasia?
Huenda mimi ndio sijaelewa ila kama nimekuelewa basi huyo aliyeagiza hivyo ni mpumbavu.

Hakuna hotuba ya kuandikwa katika mikutano ya hadhara, hotuba inatoka kichwani, sifa kuunya mwanasiasa ni kuweza kuitwka hadhara kwa ushawishi kutoka kichwani kwako na siyo kuandikiwa.
Ukitoa hotuba ambayo haijapitiwa na Polisi utakamatwa.
Polisi wanatimiza maelekezo toka CCM ili hotuba za wapinzani zipelekwe CCM kabla hawajawhutubia wananchi ili zifanyiwe marekebisho.
Bado hawajajifunza kusoma alama za nyakati au watu wa zama hizi wanawadekeza.Haki haiombwi.
Hii ni dalili ya mwisho kabisa ya kushindwa kwa Jeshi la Polisi, tangu lini Watu wanaopiga kampeni za kwenye mikutano ya hadharani hotuba zao zikawa zimeandikwa?
 
Hyo ndio kazi police CCM wanayoiwezaa.....maana wao ndio wahalifu uku wakijidai walinda amanii

Km taifa tunasafari ndefu sanaa
 
Hii ni dalili ya mwisho kabisa ya kushindwa kwa Jeshi la Polisi, tangu lini Watu wanaopiga kampeni za kwenye mikutano ya hadharani hotuba zao zikawa zimeandikwa?
Mliona hotuba ya Msigwa aliyoandikiwa aisome alipohamia CCM, tulimcheka bila kujua kuwa ule ulikuwa utambulisho wa siku zijazo.
 
Huenda mimi ndio sijaelewa ila kama nimekuelewa basi huyo aliyeagiza hivyo ni mpumbavu.

Hakuna hotuba ya kuandikwa katika mikutano ya hadhara, hotuba inatoka kichwani, sifa kuunya mwanasiasa ni kuweza kuitwka hadhara kwa ushawishi kutoka kichwani kwako na siyo kuandikiwa.
Wenye nchi yao wanataka wakuandikie ili wakupunguzie stress, wewe jukumu lako ni kusoma tu, mbona Msigwa aliandikiwa na akaweza kuisoma japo alibabaika kidogo.
 
Na huku jf na mitandai mingine watakuwa wanafanya the same? Hawa Polisi wanasumbuliwa na kuto kuwa na shule, na wenye shule wote ni wanatumia vyeti vya ndugu zao. hili ndio Tatizo.
JF mbona washaanza. Kuna mods wana kazi ya kufuta comments wanazohisi zinakinzana na maoni yao binafsi, hata kama si za kichochezi ama kudhalilisha.

Maxence Melo kuweka public staff wako kumeleta matatizo, maana sasa baadhi yao kwa kujua wanajulikana basi wanaingiza itikadi zao binafsi kwenye maoni huru ya wachangiaji kwa matumaini ya teuzi kutoka kwa wale wanaohisi wanawatetea.

Imekuwa kama watangazaji wa radio na tv na kuonyesha dhahiri mirengo yao ya kisiasa in hopes of kupewa teuzi za kisiasa.

Nahisi hata hii comment aidha itafutwa au nitalimwa ban.
 
JF mbona washaanza. Kuna mods wana kazi ya kufuta comments wanazohisi zinakinzana na maoni yao binafsi, hata kama si za kichochezi ama kudhalilisha.

Maxence Melo kuweka public staff yako imeleta matatizo, maana sasa baadhi yao kwa kujua wanajulikana basi wanaingiza itikadi zao binafsi kwenye maoni huru ya wachangiaji kwa matumaini ya teuzi kutoka kwa wale wanaohisi wanawatetea.

Imekuwa kama watangazaji wa radio na tv na kuonyesha dhahiri mirengo yao ya kisiasa in hopes of kupewa teuzi za kisiasa.

Nahisi hata hii comment aidha itafutwa au nitalimwa ban.
Where we dare to talk openly haipo tena.

Kuna censorship ya content mpaka intention.

Mods wamejitwisha mamlaka ya kujua dhamira ya muandishi na alichomaanisha kiasi cha kuhariri kilichoandikwa mpaka kupotosha maana iliyodhamiriwa.
 
Mifumo haibadiliki kwa sanduku la kura.... damu lazima zimamwigike.

Leo wanataka "wapitie" hotuba....

Kesho watasema wanataka kabla kura haijawekwa kwenye boksi wakague
 
Back
Top Bottom