Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Vyovyote vile watu watakavyo elewa
Kisha sema
Kama wamebeba bunduki lengo sio kuichezea au maonyesho.

Tumechoka
Dawa ya moto ni moto

Waje sasa wale walio poteza netwerk wakati wa kuzaliwa waanze kuwatetea Majambazi waone
Naunga mkono hoja. MACHADEMA yanatokwa na mapovu kutetea majambazi.
 
ukiliangalia kwa juu juu ni jambo zuri. lakini ukienda ndani ni balaa. time will tell...
 
Matokeo yake yanaweza kuwa hayo. Na hata pia yale ya akina Abdalah Zombe kule kwenye msitu wa pande ya kuwaua akina Sabinus Chigumbi na wenziye kisha kuja kutudanganya kuwa wameua majambazi.

Wenye akili finyu hilo wataliona
Lakini sisi ni kukomesha ujambazi
Kama una ndugu jambazi muandalie shimo
 
Acha kuzuga ww hujui kauli ya rais ina impact gani ktk utekelezaji?


Ngoja nikuulize swali, tangu Raisi wa JMTZ aliposema kwamba wanaovunja Sheria kwa kupita kwenye njiia za DART wakamatwe na magari yao yang'olewe matairi, je ni wangapi ambao magari yao yameng'olewa matairi mpka leo hii? Na je madereva wanaopita br. za Dart wameongezeka au wamepungua tangu Raisi aseme vile?
 
Safi sana. Nitashangaa UKAWA watakapoanza kutetea majambazi lakini wananchi wakiuawa na majambazi wanailaumu serikali
Ni kweli..... Hata wakina mwangosi walikuwa majambazi wa demokrasia na ndo maana waliuawa na polii-ccm!!
 
Nakunukuu ''Rais ameagiza kuua majambazi yenye silaha hata kama likijisalimisha''. Mkuu unauhakika Mh rais ametamka hayo maneno?. Hotuba ya rais ilikua wazi kabisa na yenye lengo la kuwapa moyo askari wakufanya kazi bila woga ili wananchi ukiwemo na wawe muwe salama. Unadhani jambazi akija na silaha kwako, anakua amekuja nayokwaajili ya maonesho?. Lakini sio mbaya kwa siasa zenu za namna hii, katika utawala huu mtakula magodoro.
 
 
UKAWA KUITISHA MAANDAMANO YA KUWATETEA MAJAMBAZI YASIULIWE NA POLISI.

TAARIFA ZINASEMA UKAWA WAKO TAYARI KUUNGANA NA POLISI WAKATI WA MAPAMBANO NA MAJAMBAZI ILI WAWEZE KUWATAMBUA MAJAMBAZI YENYE SILAHA NA KUJARIBU KUWABEMBELEZA WASIVAMIE RAIA.

KATIKA HARAKATI ZAO ..UKAWA WAMEENDA MBALI NA KUANZA KULIFIKISHA MAHAKAMANI JESHI LA POLISI KISA TU LINAPAMBANA NA UHALIFU ULIOKITHIRI...

MASELA HAWA WA UKAWA PIA WANATARAJIA KUBADILI GIA ANGANI NA KUMPA MKUU WA KIKOSI CHA MAJAMBAZI UWANACHAMA WA CHADEMA FASTA FASTA ILI AWEZE KUGOMBEA URAIS WA NCHI HII MNAMO MWAKA 2020 ...

IKIWA UKAWA WATAFANIKIWA KATIKA HILI BASI ILE ADHMA YAO YA NCHI KUTOTAWALIKA ITAKUWA IMETIMIA NA WAO WATAENDA DUBAI NA UJERUMANI KULA BATA.

MAELEKEZO YA KAMATI KUU YAO KWA SASA NI KUSUSIA SHUGHULI ZOTE ZA POLISI IKIWEMO KUTOKUPIGA SIMU POLISU KWA KUTUMIA KITUO KIPYA CHA POLICE CALL CENTER PALE WANAPOVAMIWA MAJUMBANI MWAO WAMEWAASA WANANCHI KUFANYA HIVYI HIVYO ILI KUWALINDA WAPIGA KURA WAO YAANI MAJAMBAZI VIBAKA NA WALA NDUMU.

NIKIRIPOTI KUTOKA UFIPA NI MIMI MWANDISHI WENU NILIYESOMEA SPECIAL DIPLOMA
 
mtu ukifuatilia vzr mauaji ya polisi na raia yaliyotokea "Mkuranga" na "bunju" hyo ni hapa dar tu kamwe huwez kuja na judgement za kijinga hivo kupinga uamuz wa rais,,,,
ID yako inaonesha kabisa ww team pinzani wale wenye tabia ya kutafutw kiki kupitia hoja za watawala,kwa taarifa yako mnafeli sana safar hii,nyumbu ni nyumbu tu.
 
Hahaha basi kazi ipo
 
 
Hii Magu tumuunge mkono! Je Majambazi wasio na bunduki walijilimbikizia Mali na wamejificha serikalini? je hao vp?
 

Unaongea hivyo kwa vile hujawahi kukumbwa na tukio la ujambazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…