Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Hili la Polisi kuruhusiwa 'kuwanyanganya' silaha majambazi na kupandishwa vyeo limekaaje?

Wakuu habari za leo?
Nimemsikia Mh Rais wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo yandani kuwa endapo askari polisi akifanikiwa kumuua mtuhumiwa wa ujambazi basi yeye hataki kusikia eti askari wake amewekwa mahabusu kwajili ya uchunguzi. Amemtaka IGP kumpandisha cheo na kumpatia zawadi zingine ikiwemo kumuongezea mshahara wake badala ya kumsweka rumande kwa uchunguzi.
Je ni sahihi kwa Mkuu wa nchi kutamka maneno yale tena hadharani??

Kila mara tumekuwa tukiwalalamikia Polisi kwa kuwabambikizia kesi raia vp kwa maneno yale kweli Mh Rais ni Mtetezi wa Wanyonge au ndiye kitanzi kwa Wanyonge??
Kauli ya rais inakatisha tamaa juu ya haki za binadamu!hapo ina maana polisi hata akimpuga risasi mpenzi wake kwa wivu wa mapenzi hana kesi.KATIBA MPYA NDIO SOLUTION YA HAYA YOTE
 
Kauli ya rais inakatisha tamaa juu ya haki za binadamu!hapo ina maana polisi hata akimpuga risasi mpenzi wake kwa wivu wa mapenzi hana kesi.KATIBA MPYA NDIO SOLUTION YA HAYA YOTE
Hopeless comments
 
Wakuu habari za leo?
Nimemsikia Mh Rais wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo yandani kuwa endapo askari polisi akifanikiwa kumuua mtuhumiwa wa ujambazi basi yeye hataki kusikia eti askari wake amewekwa mahabusu kwajili ya uchunguzi. Amemtaka IGP kumpandisha cheo na kumpatia zawadi zingine ikiwemo kumuongezea mshahara wake badala ya kumsweka rumande kwa uchunguzi.
Je ni sahihi kwa Mkuu wa nchi kutamka maneno yale tena hadharani??

Kila mara tumekuwa tukiwalalamikia Polisi kwa kuwabambikizia kesi raia vp kwa maneno yale kweli Mh Rais ni Mtetezi wa Wanyonge au ndiye kitanzi kwa Wanyonge??
Makosa yalifanyika ile siku ya jumapili tarehe 25/10/2015 wakati wa kupiga kura kuchagua rais
 
Ndio maana aliyemuuwa AQWILINA yupo huru...
polisi nyongaaa
ila na nyinyi mkiua tena ndugu zetu mjiandae, maana mmepanga hukuhuku kwenye miji yetu..
jitoeni ufahamu kwa ajili ya mshahara mlitumikie kafiri !
 
Wakuu habari za leo?
Nimemsikia Mh Rais wakati akizungumza na Wafanyakazi wa Wizara ya Mambo yandani kuwa endapo askari polisi akifanikiwa kumuua mtuhumiwa wa ujambazi basi yeye hataki kusikia eti askari wake amewekwa mahabusu kwajili ya uchunguzi. Amemtaka IGP kumpandisha cheo na kumpatia zawadi zingine ikiwemo kumuongezea mshahara wake badala ya kumsweka rumande kwa uchunguzi.
Je ni sahihi kwa Mkuu wa nchi kutamka maneno yale tena hadharani??

Kila mara tumekuwa tukiwalalamikia Polisi kwa kuwabambikizia kesi raia vp kwa maneno yale kweli Mh Rais ni Mtetezi wa Wanyonge au ndiye kitanzi kwa Wanyonge??
Alaaniwe WA awamu ya 3
 
Mleta mada ni mpumbavu! Hujaelewa alichosema!

Ifike hatua moods, kama mtu akileta habari kama hizi alete na video ili kuthibisha alicholeta maana upotoshaji ni mwingi sana humu siku hizi
 
Ahaha siku hizi majambazi nao ni wanyonge?
Ua kabisa.
 
Back
Top Bottom