Hili la Prof. Assad kumaliza kipindi chake limekaa kisiasa zaidi na siyo kisheria

Hili la Prof. Assad kumaliza kipindi chake limekaa kisiasa zaidi na siyo kisheria

Taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Prof.Mussa Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano kwenye nafasi hiyo. Lakini Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (ambayo ndio sheria mama) haelezi hicho kinachoitwa "kipindi cha miaka mitano"
_
Katiba inaeleza kuwa CAG atakoma utumishi wake atakapotimiza umri wa miaka 60. Yani akifikisha umri wa miaka 60 anapumzika bila kujalisha ametumikia nafasi hiyo kwa muda gani. Iwe miezi miwili, miaka nane, au miaka kumi.

Ndio maana maCAG wote waliotangulia wameongoza ofisi hiyo kwa vipindi tofauti. Mzee Mohamed Aboud aliongoza kwa miaka 27 tangu 1969 hadi 1996. Thomas Kiama akaongoza kwa miaka 9 tangu 1996 hadi 2005. Ludovick Utouh akaongoza kwa miaka 8 tangu 2006 hadi 2014. Sasa hii kauli ya kusema Assad amemaliza kipindi chake cha "miaka mitano" imetoka wapi?

Matakwa ya kikatiba ni umri wa miaka 60, unless aondolewe kwa kushindwa kutimiza majukumu yake. Na ikitokea hivyo Katiba imeweka utaratibu wa kumuondoa kwa kuunda tume.

Lakini taarifa ya Ikulu inaeleza Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano. Je hiki kipindi cha miaka mitano Ikulu wamekitoa wapi? Kwenye sheria ipi? Kama ipo sheria hiyo ipo ni batili maana inapingana na katiba.

Na kwa kawaida unapotokea mgogoro kati ya sheria na katiba, basi Katiba ndiyo inayoshika hatamu (When a state law conflicts with a Constitution, then constitution prevails because constitution rules supreme above all state laws).
_
Prof.Assad amezaliwa tar.06 October mwaka 1961. Kwa sasa ana umri wa miaka 58. Atafikisha umri wa miaka 60 October 06 mwaka 2021. Hivyo kwa mujibu wa KATIBA alipaswa kustaafu nafasi yake ya CAG akifikisha umri huo, na si kwa hiki kinachoitwa "miaka mitano". I stand to be corrected.!View attachment 1253068
Kipindi hiki tunawaomba waKaskazini, Waislamu na wapinzani mtusamehe kwakuwa tuko bize tunaijenga nchi
 
logic fails you miserably. does he believe in everything the present government says? if no, then you must be a hopeless imbecile. you have written to let us know that there's one nincompoop in the name of Babel!
Hahahahaha it's funny...
 
Taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Prof.Mussa Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano kwenye nafasi hiyo. Lakini Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (ambayo ndio sheria mama) haelezi hicho kinachoitwa "kipindi cha miaka mitano"
_
Katiba inaeleza kuwa CAG atakoma utumishi wake atakapotimiza umri wa miaka 60. Yani akifikisha umri wa miaka 60 anapumzika bila kujalisha ametumikia nafasi hiyo kwa muda gani. Iwe miezi miwili, miaka nane, au miaka kumi.

Ndio maana maCAG wote waliotangulia wameongoza ofisi hiyo kwa vipindi tofauti. Mzee Mohamed Aboud aliongoza kwa miaka 27 tangu 1969 hadi 1996. Thomas Kiama akaongoza kwa miaka 9 tangu 1996 hadi 2005. Ludovick Utouh akaongoza kwa miaka 8 tangu 2006 hadi 2014. Sasa hii kauli ya kusema Assad amemaliza kipindi chake cha "miaka mitano" imetoka wapi?

Matakwa ya kikatiba ni umri wa miaka 60, unless aondolewe kwa kushindwa kutimiza majukumu yake. Na ikitokea hivyo Katiba imeweka utaratibu wa kumuondoa kwa kuunda tume.

Lakini taarifa ya Ikulu inaeleza Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano. Je hiki kipindi cha miaka mitano Ikulu wamekitoa wapi? Kwenye sheria ipi? Kama ipo sheria hiyo ipo ni batili maana inapingana na katiba.

Na kwa kawaida unapotokea mgogoro kati ya sheria na katiba, basi Katiba ndiyo inayoshika hatamu (When a state law conflicts with a Constitution, then constitution prevails because constitution rules supreme above all state laws).
_
Prof.Assad amezaliwa tar.06 October mwaka 1961. Kwa sasa ana umri wa miaka 58. Atafikisha umri wa miaka 60 October 06 mwaka 2021. Hivyo kwa mujibu wa KATIBA alipaswa kustaafu nafasi yake ya CAG akifikisha umri huo, na si kwa hiki kinachoitwa "miaka mitano". I stand to be corrected.!View attachment 1253068
Lugha ya kisheria huijui wewe dada!! Tulia dawa iwaingie sawasawa. Mchangie pesa akafungue kesi mahakamani.
 
Aisee wakuu,naona kabisa katiba imekiukwa. Yaani kila nikisoma hizo sections watu wanazotupia hewani, kichwa kinapata moto. Joto ni kali sana.
Kichwa kitaungua kabisa hiyo lugha inahitaji wataalamu wa lugha ya kisheria siyo nyumb mkuu. Pole!!
 
Nchi hii Imepata mharibifu kweli anafanya massive abuse of power openly.
 
Taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa Mdhibiti na Mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali Prof.Mussa Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano kwenye nafasi hiyo. Lakini Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (ambayo ndio sheria mama) haelezi hicho kinachoitwa "kipindi cha miaka mitano"
_
Katiba inaeleza kuwa CAG atakoma utumishi wake atakapotimiza umri wa miaka 60. Yani akifikisha umri wa miaka 60 anapumzika bila kujalisha ametumikia nafasi hiyo kwa muda gani. Iwe miezi miwili, miaka nane, au miaka kumi.

Ndio maana maCAG wote waliotangulia wameongoza ofisi hiyo kwa vipindi tofauti. Mzee Mohamed Aboud aliongoza kwa miaka 27 tangu 1969 hadi 1996. Thomas Kiama akaongoza kwa miaka 9 tangu 1996 hadi 2005. Ludovick Utouh akaongoza kwa miaka 8 tangu 2006 hadi 2014. Sasa hii kauli ya kusema Assad amemaliza kipindi chake cha "miaka mitano" imetoka wapi?

Matakwa ya kikatiba ni umri wa miaka 60, unless aondolewe kwa kushindwa kutimiza majukumu yake. Na ikitokea hivyo Katiba imeweka utaratibu wa kumuondoa kwa kuunda tume.

Lakini taarifa ya Ikulu inaeleza Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano. Je hiki kipindi cha miaka mitano Ikulu wamekitoa wapi? Kwenye sheria ipi? Kama ipo sheria hiyo ipo ni batili maana inapingana na katiba.

Na kwa kawaida unapotokea mgogoro kati ya sheria na katiba, basi Katiba ndiyo inayoshika hatamu (When a state law conflicts with a Constitution, then constitution prevails because constitution rules supreme above all state laws).
_
Prof.Assad amezaliwa tar.06 October mwaka 1961. Kwa sasa ana umri wa miaka 58. Atafikisha umri wa miaka 60 October 06 mwaka 2021. Hivyo kwa mujibu wa KATIBA alipaswa kustaafu nafasi yake ya CAG akifikisha umri huo, na si kwa hiki kinachoitwa "miaka mitano". I stand to be corrected.!View attachment 1253068

Jamani, tusiwe tu tunataka kuleta ubishi mahali usipokuwepo. Uteuzi wa CAG si wa maisha. Katika kipindi chake cha miaka mitano hawezi kuondolewa na mtu yeyote isipokuwa kwa taratibu zilizowekwa kumuondoa au kuondoka. Ikipita miaka mitano anaweza (eligible) kuteuliwa tena kwa miaka mingine mitano. Asipoteuliwa hawezi kudai "niteueni tena"!
 
Kwa serikali hii kuvunja katiba Ni kawaida sana, tatizo wabunge wanafiki hasa Wa upinzani wameshindwa hata kutumia bunge kumshitaki rais kwa kuvunja katiba wanalalama tu.
 
Je kulikuwa na sababu za msingi kumng'oa Assad?
Assad hajang'olewa, bali miaka yake mitano ilifikia ukomo, na hakuwa re appointed ili kusubiria umri wa miaka 60.

Katika uteuzi huu mpya, JPM amefanya kama walivyomfanyia Tido pale TBC, mkataba ulipoisha tuu, akateuliwa. Kikawaida muda wa mkataba wenye reappointiment extention, ukifika, kama huna nia ya kumpa extension, anatakiwa kuwa notified in writing 28 days prior to due date.
Prof Assad has never been notified.

Huyo ndiye JPM.
P
 
Hii kitu imekaa vibaya. Kwa kifupi ni kwamba JPM kamtumbua Assad kwa sababu anazozijua mwenyewe. CAG hajastaafu kwani bado hajagonga 60 years. Inaleta ukakasi sana kama JPM ana nia ya dhati kabisa ya kupambana na wizi wa fedha za Umma
Hahaha achana na JPM afanye kazi yake..tafuta na wewe urais utimize matakwa yako.. Kila kitabu na zama zake. Unadhani urais mchezo. Pambana na wewe jomba..wananchi asilimia 90 tupo nyuma ya Magufuli na tunakubaliana na anayofanya...
 
Tunataka waimba mapambio wa kusifu na kuabudu, otherwise unatolewa kwenye nafasi yako.
 
Jamani, tusiwe tu tunataka kuleta ubishi mahali usipokuwepo. Uteuzi wa CAG si wa maisha. Katika kipindi chake cha miaka mitano hawezi kuondolewa na mtu yeyote isipokuwa kwa taratibu zilizowekwa kumuondoa au kuondoka. Ikipita miaka mitano anaweza (eligible) kuteuliwa tena kwa miaka mingine mitano. Asipoteuliwa hawezi kudai "niteueni tena"!
Hivi mkuu utawaweza hao nyumb kwa ubishi?
 
Nchi hii Imepata mharibifu kweli anafanya massive abuse of power openly.
Leo mmeibukia wapi..Kama Kuna massive abuse of power si mwende mahakamani mkatafute tafsiri ya sheria inasemaje..acheni ukibaraka mmetumwa na m..a..b.w..a.na zenu sasa naona...nendeni mjipange kivingine. Hii mbinu imefeli
 
Tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...

Wanataka yale yanayowapendeza wao...


Cc: mahondaw
Na wengine wanatumiwa tu..wamekuwa watumwa wa matumbo yao..wabinafsi. hawajali maisha ya majority ambao ni watu wa hali ya kipato Cha chini na wanataka kupata vipngozi wanaowajali
 
Umeandika pumba tu me nilijua utaweka hicho kifungu cha sheria kutoka kwenye katiba lakini umeandika taarab tu

Adjustments.JPG
IMG_3304.JPG




Inahitaji akili ya Ziada kuelewa
 
Tunaomba kujua hiyo sehemu uliyonukuu hicho kifungu
Katiba inasema atatumikia miaka mitano na anaweza kuteuliwa miaka mitano mingine. Kuteuliwa kipindi cha pili ni mapenzi ya mteuaji.
 
Kazi zote za kuteuliwa YOU SERVE AT THE PLEASURE OF THE APPOINTING AUTHORITY!! Assad lazima alijua kuwa contract yake ikiisha lazima angeondoka; kutokana na kufichua matumizi mabaya ya Serikali [ wizi wa shs 1.5 trillion] na matumizi mabåya ya Ofisi ya Spika[ Ndugai amekomba mabillioni ya fedha kwa matumizi ya safari za India}!! Contract ya Assad imefikia ukomo hivyo Jiwe ametumia mwanya huo kumtema.
Sasa Yale yanayohusu mavyama vyetu mbona hujayataja..Yale mabilioni yaliyofisadiwa huku kwenye vyama vya upinzani..kwanini hamuyataji hayo ambayo ya ukweli mnarukia Mambo ambayo hayana hata ushahidi..Mambo ya kutunga..na mlaaniwe mnaopindisha ukweli kuwa uongo na uongo kuwa ukweli..sisi wananchi ili mradi ukweli tunaujua sasa hatudanganyiki Tena...tafuteni gia nyingine
 
Iko hivi, tenure ni miaka 5. Iwapo CAG akiwa chini ya any kind of investigation (yeye Bunge lilimuita kujieleza/kujibu tuhuma), sasa huwezi jua recommendation ya huo muhimili ilikuwaje. Be matured, na mamlaka hailazimiki kuendelea na mtu kama inaona ana kiuka miiko ya kazi zake.

Adjustments.JPG
IMG_3304.JPG


Adjustments.JPG


Watu wangu mtaangamia kwa kukosa maarifa
 
Back
Top Bottom