Hili la Prof. Assad kumaliza kipindi chake limekaa kisiasa zaidi na siyo kisheria

Mkuu unafikiri kila kitu kinaandikwa kwenye Katiba tuuu?? Nenda kasome sheria iliyoanzisha ofisi ya CAG. Nafikiri wameshaiweka humu jamvini.
 
Mnayaona tu yale mnayooneshwa lakini yaliyofichwa nyuma hamuwezi kuyaona kwasababu ya umbumbumbu wenu!! Huko nyuma msikokuona ndio kumejaa uchafu usiosafishika!!!
Hahaha wewee hii sio Kama chadome..yanayofichwa nyuma Yana madhara yapi labda tuambie basi..kwa sababu haya tunayoyaona tuu ni makubwa kuzidi kawaida..sasa yaliyofichwa Kama yapo hayana impact..umensoma
 
Pasco umekuwa bush lawyer siku hizi
Unajua maana ya neno "shall" kwenye context ya kisheria?
Najua unajua ila siku hizi akili zako zimepotelea kwenye kunyemelea uteuzi
 
Mnayaona tu yale mnayooneshwa lakini yaliyofichwa nyuma hamuwezi kuyaona kwasababu ya umbumbumbu wenu!! Huko nyuma msikokuona ndio kumejaa uchafu usiosafishika!!!
Jomba huwezi tudanganya wananchi kwa biashara za kufikirika..tafuta mbinu nyingine..hii imefeli
 
CAG amestaafu kwa mujibu wa sheria

Km wapinzani wanampenda wamwajiri maana kila mwaka wanapata upotevu wa pesa
CAG ana miaka 58, sheria inasema umri Wa kustaafu, hivi kila anayepinga uvunjwaji Wa katiba Ni upinzani tu?
 
Do you know the word "eligible" means in law?
 
Na umri Wa kustaafu vipi? Umri Wa kustaafu Ni miaka 60 Na CAG Assad kwa sasa ana 58.
 
Wanasheria pamoja na asasi za kijamii kama LHRC waombe Mahakama Mkuu itoe tafsiri ya katiba kuhusu muda wa utumishi wa CAG baada ya kuteuliwa uko kinyume na vifungu vya katiba tajwa hapo #32
Pia hata wabunge wetu kama wako serious wamfungulie rais mashtaka ya kuvunja katiba, hasa wabunge wetu Wa upinzani.
 
Pascal umesoma sheria hilo neno ‘SHALL’ kwenye sheria lina maana kuwa ni uamuzi wa mteuaji kuongeza au kutoongeza mkataba? Au halina maana nyingine ambayo haijazingatiwa.

Kwasaaa wanajitoa ufahamu.
Anajua sana analoliongea na anajua walio weka hilo neno SHALL walimaaisha nini . Ni basi tu amechagua ujinga kwenye hili ili kutafua teuzi.
 
Ha ha ha ha ha, unachekesha sana bro, sijui nikuite bush lawyer, doo! Mbona hiyo Article ipo very clear. C.A.G atahudumu kwa miaka mitano
The Controller and Auditor General shall hold office for the fixed term of five years and shall be elligible for renewal for one term only.
Kwa wale tuliosoma Legal drafting tena ile ya Prof. Humud Majamba pale nyuma ya Mawasiliano a.k.a SIM2000 Aarticle hii ina sentence mbili ambazo zenye maana mbili kama ifuatavyo na hapa ni kwa kuzingatia neno "Shall" ambalo limetumika mara2.
1. C.A.G lazima atumikie nafasi hiyo kwa muda wa miaka mitano( unless zitokee sababu zilizoainishwa ambazo zinaweza kufanya aondolewe kabla ya miaka hiyo.
2.C.A.G anaweza kuongezewa muda wa miaka mingine mitano tu baada ya miaka mitano ya kwanza kuisha.
 
Unamuuliza Nani sasa jomba..aliyemteua ndio anajua undani na kwanini..wewe inakuhusu. Usipoteze muda wako jomba..mpigie simu aliyemteua akuambie sababu..sisi huku tutakuwa tunaongopeana tu
Hapana mkuu.Mimi ni mtanzania.Na Assad aliteuliwa atulindie mali yetu ya umma.Nina haki kujua mkuu.
 
Safi sana kwa kasomo kafupi
 
Angekuwa Hana Nia ya dhati hivi ingewezekana vipi akanunua madege karibu kumi ndani ya miaka minne..hujiulizi..wewe...hata kidogo..haya mapesa si yote angeyatia ndani..angeyalamba yote, wee vipi bana..
Pole ndugu, huko kwenye manunuzi ndo watu hasa viongozi wanakojipatia 10%
 
Hahaha wewee hii sio Kama chadome..yanayofichwa nyuma Yana madhara yapi labda tuambie basi..kwa sababu haya tunayoyaona tuu ni makubwa kuzidi kawaida..sasa yaliyofichwa Kama yapo hayana impact..umensoma

Si mnafurahia na kushangilia ndege hata kama hamna uwezo wa kununua tiketi za kupanda hizo ndege; ombeni basi muoneshwe mahesabu ya mapato na matumizi toka hizo ndege zilipoanza biashara. Mbona JIWE anaficha hayo mahesabu na yeye mwenyewe alisema angekwenda kuzikagua ingawa sina hakika kama anaujuzi huo!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…