Hili la Prof. Assad kumaliza kipindi chake limekaa kisiasa zaidi na siyo kisheria

Hili la Prof. Assad kumaliza kipindi chake limekaa kisiasa zaidi na siyo kisheria

Taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Prof. Mussa Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano kwenye nafasi hiyo. Lakini Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (ambayo ndio sheria mama) haelezi hicho kinachoitwa "kipindi cha miaka mitano"
_
Katiba inaeleza kuwa CAG atakoma utumishi wake atakapotimiza umri wa miaka 60. Yani akifikisha umri wa miaka 60 anapumzika bila kujalisha ametumikia nafasi hiyo kwa muda gani. Iwe miezi miwili, miaka nane, au miaka kumi.

Ndio maana maCAG wote waliotangulia wameongoza ofisi hiyo kwa vipindi tofauti.

Mzee Mohamed Aboud aliongoza kwa miaka 27 tangu 1969 hadi 1996. Thomas Kiama akaongoza kwa miaka 9 tangu 1996 hadi 2005. Ludovick Utouh akaongoza kwa miaka 8 tangu 2006 hadi 2014. Sasa hii kauli ya kusema Assad amemaliza kipindi chake cha "miaka mitano" imetoka wapi?

Matakwa ya kikatiba ni umri wa miaka 60, unless aondolewe kwa kushindwa kutimiza majukumu yake. Na ikitokea hivyo Katiba imeweka utaratibu wa kumuondoa kwa kuunda tume.

Lakini taarifa ya Ikulu inaeleza Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano. Je, hiki kipindi cha miaka mitano Ikulu wamekitoa wapi? Kwenye sheria ipi? Kama ipo sheria hiyo ipo ni batili maana inapingana na katiba.

Na kwa kawaida unapotokea mgogoro kati ya sheria na katiba, basi Katiba ndiyo inayoshika hatamu (When a state law conflicts with a Constitution, then constitution prevails because constitution rules supreme above all state laws).
_
Prof. Assad amezaliwa tarehe 06 October mwaka 1961. Kwa sasa ana umri wa miaka 58. Atafikisha umri wa miaka 60 October 06 mwaka 2021. Hivyo kwa mujibu wa KATIBA alipaswa kustaafu nafasi yake ya CAG akifikisha umri huo, na si kwa hiki kinachoitwa "miaka mitano". I stand to be corrected!
Mkuu hiyo Katiba unayo peke yako?
 
Pasco umekuwa bush lawyer siku hizi
Unajua maana ya neno "shall" kwenye context ya kisheria?
Najua unajua ila siku hizi akili zako zimepotelea kwenye kunyemelea uteuzi
Mkuu Nyabhingi, ile "shall" ya pale imetumika kama preposition ya subject to eligibility. Mteuzi halazimishwi kumteua tena. Presidential appointments is at his pleasure, kama ilivyo kwa mgombea urais, the term ya urais ni miaka mitano but shall be eligible for re election, haimaanishi lazima aendelee but ni subject ya kuteuliwa tena na chama chake. Jee unajua kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, sio lazima Magufuli ndiye ateuliwe kuwa mgombea wa CCM mwakani, ila kwa CCM, huo ndio utaratibu wao.
P
 
Ha ha ha ha ha, unachekesha sana bro, sijui nikuite bush lawyer, doo! Mbona hiyo Article ipo very clear. C.A.G atahudumu kwa miaka mitano

The Controller and Auditor General shall hold office for the fixed term of five years and shall be elligible for renewal for one term only.
Kwa wale tuliosoma Legal drafting tena ile ya Prof. Humud Majamba pale nyuma ya Mawasiliano a.k.a SIM2000 Aarticle hii ina sentence mbili ambazo zenye maana mbili kama ifuatavyo na hapa ni kwa kuzingatia neno "Shall" ambalo limetumika mara2.
1. C.A.G lazima atumikie nafasi hiyo kwa muda wa miaka mitano( unless zitokee sababu zilizoainishwa ambazo zinaweza kufanya aondolewe kabla ya miaka hiyo.
2.C.A.G anaweza kuongezewa muda wa miaka mingine mitano tu baada ya miaka mitano ya kwanza kuisha.
Mkuu karibu unapatia ila umechemka, Ni hivi CAG ili aondoke madarakani lazima kwanza atimize miaka ya kustaafu 60, pia lazima atumikie vipindi vya miaka mitanomitano kama term ya kwanza inaisha kabla ya umri Wa kustaafu.kwa Mfano Assad alipaswa kuongezewa term ya pili kwa vile hajatimiza umri Wa kustaafu.ila angemaliza kipindi cha pili rais angeweza kumuongezea angetaka au lah.
 
Mkuu Nyabhingi, ile "shall" ya pale imetumika kama preposition ya subject to eligibility. Mteuzi halazimishwi kumteua tena. Presidential appointments is at his pleasure, kama ilivyo kwa mgombea urais, the term ya urais ni miaka mitano but shall be eligible for re election, haimaanishi lazima aendelee but ni subject ya kuteuliwa tena na chama chake. Jee unajua kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, sio lazima Magufuli ndiye ateuliwe kuwa mgombea wa CCM mwakani, ila kwa CCM, huo ndio utaratibu wao.
P
Duh, nimeamini wanasheria wanapindisha maneno duh.hongera Mkuu.lakini uteuzi utapata tu.
 
Mkuu karibu unapatia ila umechemka, Ni hivi CAG ili aondoke madarakani lazima kwanza atimize miaka ya kustaafu 60, pia lazima atumikie vipindi vya miaka mitanomitano kama term ya kwanza inaisha kabla ya umri Wa kustaafu.kwa Mfano Assad alipaswa kuongezewa term ya pili kwa vile hajatimiza umri Wa kustaafu.ila angemaliza kipindi cha pili rais angeweza kumuongezea angetaka au lah.
Hakuna sehemu katiba imesema lazima aongozewe miaka mitano. Soma vizuri sentence ya kwanza. Imeweka wazi kabisa C.A.G atahudumu kwa fixed term ya miaka mitano and shall be eligible, hapa maana yake incase mamlaka ya uteuzi ikiona Kuna haja ya kuendelea inaweza kumteua kwa miaka mingine mitano. Period!
 
Kisheria CAG anatumikia miaka 5, na yuko open for reappointed kwa miaka 5 mingine ila akifikisha miaka 60 ndio amestaafu

Kwenye reappointiment, rais halazimishwi kum reappoint, hivyo Rais Magufuli yuko right kumteua mtu mwingine yoyote na CAG Prof. Assad is sent to early retirement. Ataendelea kulipwa mshahara na marupurupu yote ya CAG hadi atakapotimiza umri wa miaka 60, ndipo atastaafu rasmi na kulipwa mafao yake na kiinua mgongo cha 80% ya the current CAG.
P

Sasa hii early retirement emu fafanua vizuri huwa kisheria aliyekuteua ndo ana mamlaka kukustaafisha mapema akitaka au Prof. Assad mwenyewe tuseme alipeleka maombi ya kustaafu mapema??

Nyoosha vizuri kwa kifungu hadi kifungu ili tusiojua tufumbue macho angalau.,
 
Mkuu Nyabhingi, ile "shall" ya pale imetumika kama preposition ya subject to eligibility. Mteuzi halazimishwi kumteua tena. Presidential appointments is at his pleasure, kama ilivyo kwa mgombea urais, the term ya urais ni miaka mitano but shall be eligible for re election, haimaanishi lazima aendelee but ni subject ya kuteuliwa tena na chama chake. Jee unajua kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, sio lazima Magufuli ndiye ateuliwe kuwa mgombea wa CCM mwakani, ila kwa CCM, huo ndio utaratibu wao.
P
Eligibility hapo imemaanisha vigezo gani?vitaje..
Usinichefue na mifano ya ccm(angalizo)
 
Mkuu Nyabhingi, ile "shall" ya pale imetumika kama preposition ya subject to eligibility. Mteuzi halazimishwi kumteua tena. Presidential appointments is at his pleasure, kama ilivyo kwa mgombea urais, the term ya urais ni miaka mitano but shall be eligible for re election, haimaanishi lazima aendelee but ni subject ya kuteuliwa tena na chama chake. Jee unajua kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, sio lazima Magufuli ndiye ateuliwe kuwa mgombea wa CCM mwakani, ila kwa CCM, huo ndio utaratibu wao.
P
Rudi kwenye katiba kuhusu suala la CAG maana hilo la vipindi vya Urais ulilotuwekea hapo umelitoa kwenye katiba. Sasa wewe unachukua upande mmoja wa kwenye katiba unalinganisha na upande mwingine wa kanuni. Katiba ilinganishe kwa katiba tafadhali.
 
Nendeni EU mkuu. Kama raundi ile.
Hakuna UE wajibu wetu Ni kumuhoji MTU tuliyeingia naye mkataba Wa kulinda katiba yetu, mbaya zaidi aliapa kwa kutumia biblia ila kakiuka.kwa mtazamo wangu huu Ni usaliti kwa taifa letu pendwa.
 
Hakuna UE wajibu wetu Ni kumuhoji MTU tuliyeingia naye mkataba Wa kulinda katiba yetu, mbaya zaidi aliapa kwa kutumia biblia ila kakiuka.kwa mtazamo wangu huu Ni usaliti kwa taifa letu pendwa.
Wewe si ulichagua chadema?
 
Mkuu Nyabhingi, ile "shall" ya pale imetumika kama preposition ya subject to eligibility. Mteuzi halazimishwi kumteua tena. Presidential appointments is at his pleasure, kama ilivyo kwa mgombea urais, the term ya urais ni miaka mitano but shall be eligible for re election, haimaanishi lazima aendelee but ni subject ya kuteuliwa tena na chama chake. Jee unajua kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, sio lazima Magufuli ndiye ateuliwe kuwa mgombea wa CCM mwakani, ila kwa CCM, huo ndio utaratibu wao.
P
Tafsiri sahihi ya hiyo Ibara ni kuwa,

Baada ya kumaliza muda wake wa Miaka mitano, ataweza kuteuliwa tena kwa kipindi kisichozidi miaka mingine mitano.

Sio sahihi kuweka ulazima wa uteuzi wa miaka mingine mitano baada ya mitano ya awali kuisha.

ILA, kuondoka kabla ya miaka mitano, taratibu za kisheria lazima zifuatwe, ibara hiyo, imeainisha namna.
 
Mkuu Nyabhingi, ile "shall" ya pale imetumika kama preposition ya subject to eligibility. Mteuzi halazimishwi kumteua tena. Presidential appointments is at his pleasure, kama ilivyo kwa mgombea urais, the term ya urais ni miaka mitano but shall be eligible for re election, haimaanishi lazima aendelee but ni subject ya kuteuliwa tena na chama chake. Jee unajua kikatiba, kisheria, kikanuni na kiutaratibu, sio lazima Magufuli ndiye ateuliwe kuwa mgombea wa CCM mwakani, ila kwa CCM, huo ndio utaratibu wao.
P

CAG si mkuu wa mkoa ambaye unaweza kumbadilisha every 5 years. Kazi yake inahitaji uhuru na uhakika wa kibarua chake ile aweze kuifanya kiuadilifu. Kama hii ni precedent basi hii ofisi it's as good as dead.

Hii ni sababu katika historia hakuna CAG aliyekaa miaka mitano na kuondoka kabla ya retirement age.

Unatumia "may" in place of "shall" kuelezea appointment ya CAG ukijua vizuri kabisa tofauti kubwa tu kati ya "shall" na "may" kisheria.

Let's serve the country, not "a" man!
 
Kisheria CAG anatumikia miaka 5, na yuko open for reappointed kwa miaka 5 mingine ila akifikisha miaka 60 ndio amestaafu

Kwenye reappointiment, rais halazimishwi kum reappoint, hivyo Rais Magufuli yuko right kumteua mtu mwingine yoyote na CAG Prof. Assad is sent to early retirement. Ataendelea kulipwa mshahara na marupurupu yote ya CAG hadi atakapotimiza umri wa miaka 60, ndipo atastaafu rasmi na kulipwa mafao yake na kiinua mgongo cha 80% ya the current CAG.
P
60 au 65?
 
Kisheria CAG anatumikia miaka 5, na yuko open for reappointed kwa miaka 5 mingine ila akifikisha miaka 60 ndio amestaafu

Kwenye reappointiment, rais halazimishwi kum reappoint, hivyo Rais Magufuli yuko right kumteua mtu mwingine yoyote na CAG Prof. Assad is sent to early retirement. Ataendelea kulipwa mshahara na marupurupu yote ya CAG hadi atakapotimiza umri wa miaka 60, ndipo atastaafu rasmi na kulipwa mafao yake na kiinua mgongo cha 80% ya the current CAG.
P

Labda Kwa sababu "NCHI ILIYOPATA MAENDELEO FEDHA HAINA SAMANI" jamaa anamkwanja Sana atakuwa anadharau report Kwa sababu ni story "FEDHA KUINGIA KWENYE MZUNGUKO"
 
Taarifa ya Ikulu imeeleza kuwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali Prof. Mussa Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano kwenye nafasi hiyo. Lakini Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya mwaka 1977 (ambayo ndio sheria mama) haelezi hicho kinachoitwa "kipindi cha miaka mitano"
_
Katiba inaeleza kuwa CAG atakoma utumishi wake atakapotimiza umri wa miaka 60. Yani akifikisha umri wa miaka 60 anapumzika bila kujalisha ametumikia nafasi hiyo kwa muda gani. Iwe miezi miwili, miaka nane, au miaka kumi.

Ndio maana maCAG wote waliotangulia wameongoza ofisi hiyo kwa vipindi tofauti.

Mzee Mohamed Aboud aliongoza kwa miaka 27 tangu 1969 hadi 1996. Thomas Kiama akaongoza kwa miaka 9 tangu 1996 hadi 2005. Ludovick Utouh akaongoza kwa miaka 8 tangu 2006 hadi 2014. Sasa hii kauli ya kusema Assad amemaliza kipindi chake cha "miaka mitano" imetoka wapi?

Matakwa ya kikatiba ni umri wa miaka 60, unless aondolewe kwa kushindwa kutimiza majukumu yake. Na ikitokea hivyo Katiba imeweka utaratibu wa kumuondoa kwa kuunda tume.

Lakini taarifa ya Ikulu inaeleza Assad amemaliza kipindi chake cha miaka mitano. Je, hiki kipindi cha miaka mitano Ikulu wamekitoa wapi? Kwenye sheria ipi? Kama ipo sheria hiyo ipo ni batili maana inapingana na katiba.

Na kwa kawaida unapotokea mgogoro kati ya sheria na katiba, basi Katiba ndiyo inayoshika hatamu (When a state law conflicts with a Constitution, then constitution prevails because constitution rules supreme above all state laws).
_
Prof. Assad amezaliwa tarehe 06 October mwaka 1961. Kwa sasa ana umri wa miaka 58. Atafikisha umri wa miaka 60 October 06 mwaka 2021. Hivyo kwa mujibu wa KATIBA alipaswa kustaafu nafasi yake ya CAG akifikisha umri huo, na si kwa hiki kinachoitwa "miaka mitano". I stand to be corrected!

Labda Kwa sababu "NCHI ILIYOPATA MAENDELEO FEDHA HAINA SAMANI" jamaa anamkwanja Sana atakuwa anadharau report Kwa sababu ni story "FEDHA KUINGIA KWENYE MZUNGUKO"
 
Back
Top Bottom