Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Anae teua wenzie na yeye mwisho wake ni miaka 5 (mwakani) baada ya hapo akajiajiri, mapori yapo mengi tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanasema hivi...
![]()
Neno (Shall) wanasheria watatusaidia.
Kwa muono wangu ikaa kisheria na kisiasa kwa sheria inaruhusu yeye aongezewe muda wa kuongoza tena. Na kama Mh pamoja na mamlaka aliyonayo je hapendi watu wa weledi na kaliba ya simba Dume kwa kiarabu Assad
You must be the first one in the list..I can assure you
Na umri Wa kustaafu vipi? Umri Wa kustaafu Ni miaka 60 Na CAG Assad kwa sasa ana 58.
Huo muda anaongezewa akishatimiza umri Wa kustaafu Na rais akipenda.kwa Assad bado hajafika huko alipaswa kuendelea.Hill ni lazima sio hiari ya rais ni hitaji la kikatiba.Mbona neno la kawaida tu. Kuwa Anaweza ongezewa muda. Siyo Lazima kuongezewa.
Inakagua na nnNadhani ofisi ya CAG haikagui Doc pekee.
Mhh kama hardcopy tu utunzaji wake sheeeda seuze softcopies?Huyu anayekuja aanzishe utaratibu wa kukagua doc online, huu utaratibu wa NAO kwenda halmashauri kukaa mwezi unaitia serikali hasara. Halmashauri ziwe zinatuma doc.online zinakaguliwe unatandikwa query zako unajibu na kufuta huko huko online
Tumia akili wewe,CAG yupo kwa mujibu wa katiba na si mamlaka au utashi wa mtu fulani....Kama Kamati ya "MADILI",kinga na madaraka ya bunge yametoa recommendation ya kumfukuza CAG basi ilitakiwa iundwe tume kwa mujibu wa katiba imeelezea taratibu za kufata.Iko hivi, tenure ni miaka 5. Iwapo CAG akiwa chini ya any kind of investigation (yeye Bunge lilimuita kujieleza/kujibu tuhuma), sasa huwezi jua recommendation ya huo muhimili ilikuwaje. Be matured, na mamlaka hailazimiki kuendelea na mtu kama inaona ana kiuka miiko ya kazi zake.
Uteuzi wa CAG umekiuka katiba.Ya kweli haya?
Acha jazba, nadhani imejieleza maana si lazima aongezewe muda (eligibility)We mjinga katiba haijaongelea hilo
Katiba imesema CAG ataaachia nafasi akifikisha miaka 60/65
Assad kafikisha huo umri?
Halafu unajoita ifrs nipe namba yako yako pale NBAA kama ni GA,ACPA au FCPA
unaandika kama kilaza flani