Uchaguzi 2020 Hili la Sheikh Ponda liacheni. Hatua ya Ponda ni kwa maslahi ya Waislam na Watanzania

Sheikh Ponda siku zote ni mtu wa kuaminika na haoni woga wala aibu kusimamia kile anachokiamini. Hali hii imemfanya kuwa mmoja wa masheikh pendwa na wanaoaminiwa na umma wa waislamu. Sheikh Ponda kwa kuaminiwa kwake amepata uungwaji mkono na makundi mbalimbali ya kijamii waislamu na wasio waislamu, wasomi na watu wa kawaida.

Sioni uhalisia wa madai ya wahadhiri wetu juu ya Sheikh Ponda. Hata kama yana ukweli fulani, lakini naona Kama hayakuja wakati muafaka au wametumwa kukinusuru chama changu kisiangamie? Wasiwasi wangu ni mmoja tu, Sheikh Ponda si miongoni mwa watu wenye makandokando. Sheikh Ponda ana population kubwa nyuma yake ukilinganisha na hao wahadhiri au masheikh wa bakwata na taasisi zetu nyingine.

Anachokisema Sheikh Ponda ana uhakika kwa sababu anajua ana kubalika na umma. Wanaotaka kufanya makubaliano na Sheikh Ponda nani kuwatuma?
 
Comparative religions we fala unatulete midhara kwenye nchi ambayo haina udini.
Udini upo Tanzania. Angalia uteuzi wa JPM amejaza Wakristo tu. Ila usilete hoja ya Majaliwa na Samia kwa kuwa hakuwa na options
 
Udini upo Tanzania. Angalia uteuzi wa JPM amejaza Wakristo tu. Ila usilete hoja ya Majaliwa na Samia kwa kuwa hakuwa na options
Kabisa Mkuu,
Kwa jinsi teuzi za jamaa zilivyo basi Bakwata wangekua sio wanafiki wangejitenga nae kitambo tu.

Swala la pili la Bakwata kujitenga na Jamaa ni kuhusu kesi ya wale Masheikh wa Uamsho namna wanavyotendewa.
 
Kabisa Mkuu,
Kwa jinsi teuzi za jamaa zilivyo basi Bakwata wangekua sio wanafiki wangejitenga nae kitambo tu.

Swala la pili la Bakwata kujitenga na Jamaa ni kuhusu kesi ya wale Masheikh wa Uamsho namna wanavyotendewa.
Kwani wale Masheikh walifanya nini ?
 
mimi sijui,ila tareh 28 waislamu watatumia akili zao binafsi,sio mahaba ya sheikh ponda.
Bado hujui km hujui.wewe ni msemaji wa waislamu.? Ponda waislamu wanamwelewa.Najua hujui ni kwann waislamu wanamwelewa Ponda.Hujui kinachoendelea Bakwata.
 
mimi sijui,ila tareh 28 waislamu watatumia akili zao binafsi,sio mahaba ya sheikh ponda.
Labda waislamu wanafiki lakini waislamu wa haki tunaosononeshwa na mateso ya mashekh wetu tupo na Sheikh Ponda
Kura zetu kwa Lissu
Waislamu wanafiki wapo na BAKWATA kura zao kwa yule katili anaetutesa
 
Labda waislamu wanafiki lakini waislamu wa haki tunaosononeshwa na mateso ya mashekh wetu tupo na Sheikh Ponda
Kura zetu kwa Lissu
Waislamu wanafiki wapo na BAKWATA kura zao kwa yule katili anaetutesa
Huko Jela kuna waislamu wangapi ambao wako huko bila hatia? ila wewe umeona hao masheikh tu na ndio unataka kumpigia mtu kura awe rais ili tu akawatoe masheikh jela?

Ndio maana waislamu huwa tunadharaulika tunaoneka hatuna akili na hatujakwenda shule.

Mwaka 2010 huyo Sheikh Ponda alimpigia kampeni Kikwete kwa waislamu sababu tu ni muislamu mwenzetu na sasa kageuka tena anampigia kampeni Asiye muislamu,ama kweli waislamu wa Tz ni wajinga Ponda anawageuza geuza tu anavyotaka.
 
Labda waislamu wanafiki lakini waislamu wa haki tunaosononeshwa na mateso ya mashekh wetu tupo na Sheikh Ponda
Kura zetu kwa Lissu
Waislamu wanafiki wapo na BAKWATA kura zao kwa yule katili anaetutesa

masheikh wale kama alivyo ponda,wanatumia uma wa waislam vibaya ku backup ajenda zao za siri.

walifanya harakati za siasa chafu,zikafanya wafungwe.sasa wanatafuta kuungwa mkono na waislamu kwa kusema walikuwa wanawasemea.
 
Maa shaa Allah
You sound like you went to school
Kwa hio kwa sababu kuna watu wengi jela bila hatia Ndio iwe halali kwa huyu katili kuendelea kutesa mashekh?
I wish I could know your education level

Mimi nimefuatilia kampeni za Magufuli. Samia. Majaliwa na Jakaya hakuna anazungumzia kwa kukana au kukiri jambo Hilo
Sasa ndugu ilituonekane tumesoma lazima tufurahie mateso ya mashekh jela?
 
Bado hujui km hujui.wewe ni msemaji wa waislamu.? Ponda waislamu wanamwelewa.Najua hujui ni kwann waislamu wanamwelewa Ponda.Hujui kinachoendelea Bakwata.

waislam hawana utawala wa kidini nchi hii,lakini kupitia ponda baadhi yao wanadhani wanaweza kupewa mamlaka kamili.

ndipo hapo bakwata inaposimama kama msaliti.

yote kwa yote waislam hawawezi kukubali kutumika kisiasa,hii ni dharau kubwa.
 
masheikh wale kama alivyo ponda,wanatumia uma wa waislam vibaya ku backup ajenda zao za siri.

walifanya harakati za siasa chafu,zikafanya wafungwe.sasa wanatafuta kuungwa mkono na waislamu kwa kusema walikuwa wanawasemea.
Mkuu huyu ponda hakuna ushahidi kwa unayosema
Na sisi waislamu wa kweli ukiwaacha wanafiki hatujasema waachiwe huru ila kilio chetu ni kwamba,,,,,
Wapelekwe mahakamani ili haki itendeke kama wanakosa wahukumiwe kama LAA waachiwe sio kila kukicha wanawatesa kwa kuwaminya korodani mpaka wanawahasi wengine wanakufa na kufukiwa kama mzoga
Kama kinacho fanyika ni Sawa mbona Magufuli. Samia. Majaliwa wala Jakaya hawatoi tamko kama Lako kukubali au kukataa
Kwa kweli ummah wa kiislamu tumeguswa Sana Ndio maana kura kwa Lissu
 
Ndio umeongea nini hapo? bado unawazungumzia masheikh tu yani kana kwamba hao masheikh ndio tatizo pekee la waislamu Tz.

Yani wewe hao masheikh tu ndio roho inakuuma kuwa huko jela wakati kuna waislamu wengine kibao tu huko ila huna habari nao.
 
Ndio umeongea nini hapo? bado unawazungumzia masheikh tu yani kana kwamba hao masheikh ndio tatizo pekee la waislamu Tz.

Yani wewe hao masheikh tu ndio roho inakuuma kuwa huko jela wakati kuna waislamu wengine kibao tu huko ila huna habari nao.
Sasa swali Lina Kuja kwa sababu kuna watu wengi jela bila hatia Ndio sisi tufurahie mateso wanayo pata viongozi wetu wa dini?
Kama wewe unafurahia ili uone Kane umesoma haupo peke yako ndani ya waislamu wapo wanafiki wengi hata Enzi za MTUME SAW walikuwepo na watakuwepo
I wish unajua kusoma Quran soma surat almunafiquun
Ni sura Ina husu wanafiki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…